casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
Chief-Mkwawa
Huu uzi unahitaji update ni 2021 now
Huu uzi unahitaji update ni 2021 now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikipata muda Mkuu, kama Kuna tatizo la haraka nambie kwenye commentChief-Mkwawa
Huu uzi unahitaji update ni 2021 now
uzi wa zamani sana mkuu, kwa around 180,000 sasa hivi unapata mashine ya pentium gen ya 2 mpaka ya 6 ambayo kwa baadae unaweza kui upgrade. na card zinauzwa ghali sana, ni almost impossible kuzipata kwa bei chini ya mara 3 ya bei halisi, watu wananunua gpu zote na kuchimbia bitcoins ama cryptocurrency zengine.Mkuu unasema kupata desktop yenye sifa hizo ni laki 1 na hamsini mpaka na 70? Au mi sijaelewa? Na je hizo card huwa zinapatikana kwa bei gani?
laptop za zamani mpaka gen ya 4 zinazoishiwa na M unaweza badili.Na naomba kuuliza je inawezekana kubadirisha processor ya laptop?
1377x.togtv 5 inapatikana wapi man,
Ram pekee sio issue, processor ni ipi?Komyuta yenye 4 ram inaweza kuplay magemu kama pes au call of duty?
Chief-Mkwawa
Mkuu hp probook 650 g1, i5-4310m intel hd graphics 4600 2.7ghz naweza kucheza euro truck 1.46?? Na gta 5Ram pekee sio issue, processor ni ipi?
Ndio unacheza mkuu gen ya 4 hio, gpu Hd 4600.Mkuu hp probook 650 g1, i5-4310m intel hd graphics 4600 2.7ghz naweza kucheza euro truck 1.46?? Na gta 5
Mkuu wanao hack hizi games ni warusi, moja ya sababu huoni Crack sana siku hizi ni kwamba ipo njia ya kuzipata hizi games kwa Bei rahisi kupitia Xbox Games pass Ultimate. FIFA 21 NA 22 zote zipo, pengine 23 nayo ikawekwa soon.Nauliza namna ya kupata hizi game hasa za fifa maana kila nikitafuta kwenye torrents sipati au kuna watu wanauza "cracked one" tofauti na kununua online .
weka crack huwezi weka key yeyote then ikafañya kazi.Naomba zile passward wanazohitajikwe EURO TRACK nimechoka kucheza demo
Mkuu chief
Mkuu nimejalibu kununua ila kwenye kuweka key naona kwangu tatizo game pass ya pcMkuu wanao hack hizi games ni warusi, moja ya sababu huoni Crack sana siku hizi ni kwamba ipo njia ya kuzipata hizi games kwa Bei rahisi kupitia Xbox Games pass Ultimate. FIFA 21 NA 22 zote zipo, pengine 23 nayo ikawekwa soon.
Gamepass kikawaida ni kama 30,000 kwa mwezi, unapata games kama 100 hivi bure unadownload na kucheza, muda ukiisha hazifanyi kazi mpaka ununue tena.
Sema kuna Account za magumashi online za Free trial, unanunua key unacheza.
Mfano kama hii nusu dola kwa mwezi
Hivyo ndo watu wanavyoishi siku hizi, hapo unapata access ya kila kitu mpaka Ultimate team, wewe na Bundle lako tu.
Pia kama unataka ya Long term ilikuwepo offer ya $55 kwa miaka 3 kama una hela, sema walikuwa wakitumia Vpn za Uturuki sina uhakika lakini kama bado ipo.
Umeeka Vpn ya Hio nchi key inapotoka?Mkuu nimejalibu kununua ila kwenye kuweka key naona kwangu tatizo game pass ya pc
Inasema ragional limitations: region-otherUmeeka Vpn ya Hio nchi key inapotoka?
Unaweza weka link ulionunulia mkuu nikuchekie?Inasema ragional limitations: region-other
Alafu awakuweka inch usika