Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

hapana haiwezi, ila core 2 quad inaweza ambayo bei zake ni humo around 150,000 hadi 200,000, pia i5 2nd gen now zinapatikana 250,000 sio mbaya kuongeza kidogo, na i5 za 2nd gen motherboard zake nyingi zinakubali na 3rd gen cpu hivyo ni future proof.
poa nitatafua mashine yenye 2 quad q6660
 
hapana haiwezi, ila core 2 quad inaweza ambayo bei zake ni humo around 150,000 hadi 200,000, pia i5 2nd gen now zinapatikana 250,000 sio mbaya kuongeza kidogo, na i5 za 2nd gen motherboard zake nyingi zinakubali na 3rd gen cpu hivyo ni future proof.

lakina vipi kuhusu hii Benchmark
Untitled.png
 
lakina vipi kuhusu hii Benchmark
View attachment 434099
kuna games/software za single thread na multithread.

gta v linahitaji atleast core/thread nne, hivyo hio 8400 ita struggle sababu ina core/thread 2.

pia q6600 unaweza kui overclock hadi 3ghz na kufikia perfomance ya e8400 kwenye single thread.

software za single thread kwenye stock hio e8400 itaperform vizuri zaidi
 
Mi IT kidogo inanipiga chenga

Maana na download game kwanza inasave kwenye file linaitwa dowloads

Then nikifungu huko inafungua na program inaitwa WINRAR baada ya kuclik inaanza kudownload inafika mahalili napata msg 'CAN NOT START OR RUN DUE TO INCOMPATIBITY WITH 64-BIT VERSIONS OF WINDOW'na mimi natumia
ASUS X540LA-WS51 15.6" Ultra Slim Full HD Notebook i5-5200U 8GB 1TB Win10 Laptop
Naukumbuka computer za nyuma kunasehem kwenye contol panel unaweza change iwe 32 or 64 bit,hii sioni pakubadilishia
nisaidie hapo
Kuna games zinachagua either 32 or 64 bit OS, Had the same problems ku-install NFS HP2, I had to change file nkadownload upya, Chamsingi udownload game linaloendana na mode ya OS ya pc yako.
 
Nimeandika uzi huu kuwasaidia watu ambao wanataka kucheza games kwenye pc na wanashindwa au hawana pc na wanatamani kuwa na pc waweze kucheza games hizi.

Mahala pa kununulia pc za kuchezea games kwa bei rahisi
Ni ngumu kwa tanzania kupata desktop/laptop ambayo ina cpu yenye nguvu kuhandle games. nilitafuta solution hii mpaka mwisho nikaamua kutumia hizi hizi core 2 duo. nilitafuta best core 2 duo ambazo perfomance yake inasameheka na kwa tz nikaipata E8400, zipo maduka mengi.

Processor hii inahandle dolphin emulator kwa 60fps hivyo inauwezo wa kuhandle almost game yoyote ile kwa low setting hadi medium.
U6zl0ag.png

Kama unavyoona kwenye picha unapata full 60fps huku cpu ikiwa imetumika 69% tu.

Hivyo kama unataka gaming desktop kwa bei rahisi nashauri kuchukua machine hii ya core 2 duo e8400, specs zake nyengine ni kama 2gb ram na 160gb hdd. bei zake ni around 150,000 hadi 170,000 shilings.

Machine hii haina graphics card hivyo itabidi utafute low level card ili kuiboost gaming perfomance. sijui hata zinapatikana wapi hapa tz.

Mahala pa kudownload games
Njia rahisi kabisa ya kudownload games ni kutumia website ya oceangames ambayo wanatoa direct links

Ocean of Games

Solution kwa games zisizofanya kazi
Kama wewe unapenda games kabla hujaeka game lolote make sure una vitu hivi

-direct x zote
Download hapa ni web installer - Download DirectX End-User Runtime Web Installer from Official Microsoft Download Center

-.net framework 4.5 na 3.5
Download 4.5 hapa-Download Microsoft .NET Framework 4.5 from Official Microsoft Download Center
Download 3.5 hapa - Download Microsoft .NET Framework 3.5 from Official Microsoft Download Center

-redistributal c++
zipo nyingi hizi download zote au zinazohitajika na gamwe lako
https://support.microsoft.com/en-us/kb/2977003

Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
 
Nimeandika uzi huu kuwasaidia watu ambao wanataka kucheza games kwenye pc na wanashindwa au hawana pc na wanatamani kuwa na pc waweze kucheza games hizi.

Mahala pa kununulia pc za kuchezea games kwa bei rahisi
Ni ngumu kwa tanzania kupata desktop/laptop ambayo ina cpu yenye nguvu kuhandle games. nilitafuta solution hii mpaka mwisho nikaamua kutumia hizi hizi core 2 duo. nilitafuta best core 2 duo ambazo perfomance yake inasameheka na kwa tz nikaipata E8400, zipo maduka mengi.

Processor hii inahandle dolphin emulator kwa 60fps hivyo inauwezo wa kuhandle almost game yoyote ile kwa low setting hadi medium.
U6zl0ag.png

Kama unavyoona kwenye picha unapata full 60fps huku cpu ikiwa imetumika 69% tu.

Hivyo kama unataka gaming desktop kwa bei rahisi nashauri kuchukua machine hii ya core 2 duo e8400, specs zake nyengine ni kama 2gb ram na 160gb hdd. bei zake ni around 150,000 hadi 170,000 shilings.

Machine hii haina graphics card hivyo itabidi utafute low level card ili kuiboost gaming perfomance. sijui hata zinapatikana wapi hapa tz.

Mahala pa kudownload games
Njia rahisi kabisa ya kudownload games ni kutumia website ya oceangames ambayo wanatoa direct links

Ocean of Games

Solution kwa games zisizofanya kazi
Kama wewe unapenda games kabla hujaeka game lolote make sure una vitu hivi

-direct x zote
Download hapa ni web installer - Download DirectX End-User Runtime Web Installer from Official Microsoft Download Center

-.net framework 4.5 na 3.5
Download 4.5 hapa-Download Microsoft .NET Framework 4.5 from Official Microsoft Download Center
Download 3.5 hapa - Download Microsoft .NET Framework 3.5 from Official Microsoft Download Center

-redistributal c++
zipo nyingi hizi download zote au zinazohitajika na gamwe lako
https://support.microsoft.com/en-us/kb/2977003

Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
Heshima yako Chief Mkwawa, naomba msaada wa kunielkeza ni wapi naweza pata gaming desktop(cpu only) kwa bei nzuri, kama ulivyotaja hapo
 
Heshima yako Chief Mkwawa, naomba msaada wa kunielkeza ni wapi naweza pata gaming desktop(cpu only) kwa bei nzuri, kama ulivyotaja hapo

bei nzuri kama ipi?

maduka ni mtaa wa uhuru na likoma anzia pale nyoosha na likoma kama unaenda aggrey kuendelea mbele mpaka kanisa la kkkt, kuna duka moja pale linaitwa awale kuna desktop za kutosha tu.

sema inakuwa ni cpu tu bila gpu, hivyo itabidi utafute mwenyewe gpu.

i5 zinaanzia 250,000 hadi 500,000 itategemea na aina ya cpu na generation, hakikisha ni kuanzia generation ya pili.
 
Zaidi ya Need for Speed Most wanted sijawahi penda game yeyote kwenye PC. Au ile ya the tomb of montenezuma
mkuu vp,kama una kink ya kudownload NEED FOR SPEED MOST WANTED naomba nisaidie
 
Hivi wakuu ili nicheze game la euro truck 2 natakiwa nipate walau pc yenye sifa zipi?
 
laptop kuheat ni kawaida mkuu, angalia tu feni liwe mahala wazi, mfano kama lipo chini hakikisha laptop haigusi chini iekee vitu kama mbao au stand yoyote isiguse yote chini ili feni lifanye kazi vizuri, pia kama una hela inunulie feni la nje lile unalieka chini then laptop inakuja juu
1073-h_main-w.png
Inauzwaje hii feni ya njee mkuu?
 
Mkuu, natumia HP core i5 kwa specifications hizo hapo. Nimefuzu kweli kuweka na kucheza games kama fifa 18 kwenda mbele. Au washauri nini mkuu?

Core i5 - 3337U, CPU 1.80GHz, RAM - 4GB, 64 - bit
20190709_234839.jpg
 
Mkuu, natumia HP core i5 kwa specifications hizo hapo. Nimefuzu kweli kuweka na kucheza games kama fifa 18 kwenda mbele. Au washauri nini mkuu?

Core i5 - 3337U, CPU 1.80GHz, RAM - 4GB, 64 - bitView attachment 1150254
Ngumu mkuu, Engine ya hizi FIFA za kisasa ni nzito Sana.

Ila unaweza ukaforce kibishi bishi kwa kupunguza resolution Hadi 800x480 linaweza kuchezeka kiasi.
 
Ngumu mkuu, Engine ya hizi FIFA za kisasa ni nzito Sana.

Ila unaweza ukaforce kibishi bishi kwa kupunguza resolution Hadi 800x480 linaweza kuchezeka kiasi.
Kuchezeka kiasi kwamba litakuwa linastuck mkuu au? ... nifanyeje mkuu ili angalau nami nipate raha ya kucheza game asee.
 
Back
Top Bottom