Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kupatana zimejaa kibao mkuu, mimi nanunua huko.Chief kaka hizi pc zenye cpu ya intel hd 4600 used za 400-600 naweza zipata wap maaana nimehangaika kuztafuta sehem nyingi nimezkosa kaka,naomba msaada wako wa kwa kuzipata
ikigoma inatoa error gani?Naombn msaada jmn nimepewa pes 2016 lkn kila niki install inafka 42.2% ina goma nifanyaje
Inaandka sjui setup is not completedikigoma inatoa error gani?
vyema udownload mwenyewe maana hapo hata huna uhakika kama hio setup ipo completeInaandka sjui setup is not completed
Anasema kwa watu wengne inaplay frsh tu ila kwang sasa sjui ni kompyuta yang auvyema udownload mwenyewe maana hapo hata huna uhakika kama hio setup ipo complete
jaribu kurun setup kama admin,Anasema kwa watu wengne inaplay frsh tu ila kwang sasa sjui ni kompyuta yang au
Dah umeniacha hapo ndug hyo ADMN ndona run vpjaribu kurun setup kama admin,
right click hio setup halafu chagua run as administratorDah umeniacha hapo ndug hyo ADMN ndona run vp
Mkuu mkwawa nimejaribu kudownload game kupitia ocean of games nimefail kabisa imekuwa complex sana kwangu....pc nnayotumia ni hp probook g2 5200ujaribu kurun setup kama admin,
Mkuu chief mkwawa pc angu ni hp probook 450 g2 5200U......je cpu yake ni aina gan ktk hizo ulizotaja?hio sio bei sana ndio ipi? pc ya bei rahisi inayoweza kucheza hizo games atleast gpu yake iwe intel hd 4600,hizi unazipata around 400,000 hadi 600,000 hivi used. cpu kama hizi zina hd 4600
i3 400m
i3 4100m
i5 4200m
i5 4300m
i7 4600m
i7 4700mq
i7 4700hq
cheki kupatana, kaymu, jumia etc
Ok ngj nijarbright click hio setup halafu chagua run as administrator
Mkuu chief mkwawa pc angu ni hp probook 450 g2 5200U......je cpu yake ni aina gan ktk hizo ulizotaja?
Chief hko ndo kinanisumbua yan imekataa tena daah
hilo file lime corupt sababu error hio inatokea unapo extract file, hapo hata kuinstall halijaanza ndo kwanza lina unpack?Chief hko ndo kinanisumbua yan imekataa tena daah
Ok pw thnkshilo file lime corupt sababu error hio inatokea unapo extract file, hapo hata kuinstall halijaanza ndo kwanza lina unpack?
unga kifurushi cha usiku kama cha airtel au halotel download fasta fasta ucheze, mi huwa siamini hivyo vitu vya kupewa