Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

-Legacy ya mchapakazi ni kuchapa kazi.

-Badala ya kumpumzika nyumbani,ni vema wafanyakazi wote (wanaofanya kazi kwa masaa maalum),waongeza saa mbili za kufanya kazi;hiyo 17/03/ ya kila mwaka.

-Wakulima na wafanyabiashara wao Wana utaratibu wao wa kuchapa kazi.

-Serikali ifanye mapitio ya siku za mapumziko,zipo nyingi.
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

👆🏾 Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Naunga mkono hoja kwa mapana.
 
Naomba ikae kwenye records:
Hiyo tarehe ikipitishwa... siku chache kabla au baada au tarehe yenyewe kutakuwa na maafa makubwa sana!

Kila mwaka kuanzia watakapoanza maadhimisho hayo.
 
Back
Top Bottom