Hawaki
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 757
- 1,055
Atafanya sherehe na malaika wenzake waovu huko jehenamuTuna Baba wa Uchumi, JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafanya sherehe na malaika wenzake waovu huko jehenamuTuna Baba wa Uchumi, JPM.
Tutakuwa Chato kesho boss.Atafanya sherehe na malaika wenzake waovu huko jehenamu
Tuanze kwanza na mkapa day kama tunataka kuweka magufuli day
Halafu kuna kitu sikielewe hivi Magufuri alikufa tareh 17 na Tundu lisu tare 17 alipigwa lisasi ni kitendawili.Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.
View attachment 2152994
Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.
Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.
Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.
View attachment 2152987
👆🏾 Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Unatafuta laana?Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.
View attachment 2152994
Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.
Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.
Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.
View attachment 2152987
[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
[emoji817] [emoji817]Tuna Baba wa Uchumi, JPM.
Kwahiyo lini umekufa ni achievement?! Jiulize kwanini Nyerere ndio anakumbukwa?!Mkapa alifia madarakani ? 😿😿 Chuma Ni Raisi wa kwanza Tanzania kufia madarakani ukiacha uchapakazi wake ameacha alama hiyo ya kukumbukwa
Utaumia sana kwa kweliKwa wale ambao tuliumizwa na jiwe moja kwa moja au vinginevyo tunasikitika sana kuona kuna watu bado wanamshabikia.
Je wewe una ndugu waliotangulia kuacha dunia na umewatengea siku zao Maalum?Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.
View attachment 2152994
Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.
Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.
Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.
View attachment 2152987
[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Kwahiyo lini umekufa ni achievement?! Jiulize kwanini Nyerere ndio anakumbukwa?!
Acheni kulazimisha mambo. Apumzike tu kwa Amani inatosha.
Ni maumivu sana, kukumbuka muuaji.Dikteta awekewe siku maalum ya kukumbuka aliowaua au?
Kamwe hatuwezi kukubali kutenga siku ya kumkumbika fashisti. Mkamdamizaji wa haki za binadamu. Anaamuru mtu apigwe risasi kwa kuwa tu anatofautiana naye kimtazamo. Anaamuru wakurugenzi wa halmashauri wasitangazw wapinzani kuwa wameshinda uchaguzi. Aliyekataa waziwazi kupeleka maendeleo kwa sehemu zilizochagua wapinzani. Tanzania haijawahi kuwa na rais wa ovyo kama huyu. Sasa kwa nini tutengenge siku ya kumkumbuka?NSSF fao la Kujitoa ..watu wana roho za shetani....