Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

Ukitaka kujifunza usisome kitabu kimoja, vilevile ukitaka kujua jambo usisome gazeti moja.

Wewe unaposoma hizi one man in two or three id ndizo zinakuchanganya, toka jf nenda other forum ujue tabia za watu.

Wengine hatupati kimuemue kwa hawa chawa wanaoAct positive thinker.
Magufuli alikuwa ndio comedian of this century, kauli zake nyingi ni tata na vichekesho vitupu.

Utamsikia maendeleo hayana vyama.

Mara utamsikia wapinzani waliruchelewesha.

Mara uatamsikia haiwezekani mkurugenzi nikulipe mshahara nikupe na gari halafu utangaze mpinzani ameshinda.

For my opinion huyu mtu alikuwa ni mtu wa hovyo kabisa, katili na hakujari utu wa watu.

Tunamshukuru Mungu kwa kuingilia kati na kumtwaa nduli huyu ili wana wa nchi waweze kuishi kama binadamu.
 
Magufuli alikuwa ndio comedian of this century, kauli zake nyingi ni tata na vichekesho vitupu.
Utamsikia maendeleo hayana vyama.
Mara utamsikia wapinzani waliruchelewesha.
Mara uatamsikia haiwezekani mkurugenzi nikulipe mshahara nikupe na gari halafu utangaze mpinzani ameshinda.
For my opinion huyu mtu alikuwa ni mtu wa hovyo kabisa, katili na hakujari utu wa watu.
Tunamshukuru Mungu kwa kuingilia kati na kumtwaa nduli huyu ili wana wa nchi waweze kuishi kama binadamu.
Umeamua kujitoa ufaham kwa kuandika ugolo wenye sumu kuvu.
 
Hacha wivu wa kichawi . Nenda usome some upate angalau degree moja ugombee Uraisi ufie madarakani tukukumbuke kila mwaka
“Hacha” ndio lugha ya wapi na wewe?! Kwani kufia madarakani ndio kigezo cha kuwa na siku ya kukumbukwa.. !
Basi Marekani nao wangekuwa na Kennedy na Lincoln days.
We kama unajisikia kumkumbuka mtu, mkumbuke tu hujazuiwa. Ukitaka jipake hata unga au majivu usoni siku hiyo.
 
Naunga mkono hoja,na isiwe siku ya mapumziko,awe ni siku yakujitolea,kuchapa kazi na kuwassidia wanyonge,
 
Watumishi wa serikali ni wavivu kutwa mnapambana kupata siku za mapumziko na wakati wenzetu wanataka zipunguzwe muda hautoshi
Umenena mkuu, badala ya kujadili namna ya kuongeza uzalishaji na ufanisi ili tuweze kushindana kimataifa, wengine wanataka siku za mapumziko ziongezwe.
 
Kamwe hatuwezi kukubali kutenga siku ya kumkumbika fashisti. Mkamdamizaji wa haki za binadamu. Anaamuru mtu apigwe risasi kwa kuwa tu anatofautiana naye kimtazamo. Anaamuru wakurugenzi wa halmashauri wasitangazw wapinzani kuwa wameshinda uchaguzi. Aliyekataa waziwazi kupeleka maendeleo kwa sehemu zilizochagua wapinzani. Tanzania haijawahi kuwa na rais wa ovyo kama huyu. Sasa kwa nini tutengenge siku ya kumkumbuka?
Kwabahati mbaya huwezi kuzuiya chochote zaidi ya kulialiatu humu pekeako.

Wajombazenu walikuwa mafisadi sasa umaskini unawatafuna kwasababu mlizoea kula na kujazamishavu kama wacheza mieleka.

Mkisikia jina la Magu mnasikia joto na haja.
Muendelee kulaaniwa na umaskini uwaandame mbaka mtakapo tubu kwa hujuma mlizo fanya na vyetivyenu feki.

Magu atakumbukwa daima.
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli Day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Kuna Siku hii NCHI ITAKUWA NA SIKU 1 TU YA KUFANYA KAZI KWANI mara Nyerere day itakuja Mkapa day itakuja Karume Day na sasa Magufuli day
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli Day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

👆🏾 Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Hata wasipoweka me najua kila siku ni siku ya kumkumbuka Magufuli
na watanzania wengi wanamkumbuka kila siku.
Mungu amrehemu mpendwa wetu na jua anakula mema ya pepo huko aliko.
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli Day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Itakuwa ni matumizi mabovu ya rasilimali za nchi
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli Day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.

Naunga Mkono Hoja Hata Kama Wakikupinga Ila Anastahili[emoji3516][emoji736][emoji736][emoji123][emoji122]
 
Sijui, ila tutakuwa na Magufuli Day... Just a matter of time.
Screenshot_20220317-170827.png
 
Ni vizuri kuwa na makufuli day.lakini itoshe tu kwa mwasisi wetu wa taifa.baadaye tutakuwa na mkapaday na wengine.hivyo tuondokane na dhana hiyo.
 
Back
Top Bottom