Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

Kila Machi 17 kwanini isiwe Magufuli Day?

Hapana kwa kweli, huyo mtu hastahili kuwekewa siku yake ya kukumbukwa, wacha akumbukwe tu na Jesca, kama taifa tuna mengi ya kukumbuka, ubakaji wa demokrasia, mauaji ya watu, utekaji nyara, mashambulizi kwa wapinzani, wizi wa fedha za umma uliotukuka mf Tr 1.5, ukabila, nk
 
Wapi Ben Saanane ?

Kijana mwanafunzi wa Phd, inauma saana.
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

👆🏾 Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Mna uhakika kama alifariki machi 17?
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

👆🏾 Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Pumbavu, yaani tu vitu huto ndio kwako unaona ni uthubutu?

Hivi madaraja yamesimama kujengwa?
 
Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.

View attachment 2152994

Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.

Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.

Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.

View attachment 2152987

[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Alijenga kwa pesa zake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee. Koments zinatoa fundisho kubwaa
Ukitaka kujifunza usisome kitabu kimoja, vilevile ukitaka kujua jambo usisome gazeti moja.

Wewe unaposoma hizi one man in two or three id ndizo zinakuchanganya, toka jf nenda other forum ujue tabia za watu.

Wengine hatupati kimuemue kwa hawa chawa wanaoAct positive thinker.
 
Back
Top Bottom