Sijui, ila tutakuwa na Magufuli Day... Just a matter of time.
Ng'ombe Akifa Kupe Hana HabariIvi ukifa na chawa si zinakufaaa...???[emoji852][emoji852][emoji852][emoji852][emoji848][emoji848][emoji848]
Ni baba wa Uchumi wa taifa letu pendwa.Kwa sababu zipi?
Ni baba wa Uchumi wa taifa letu pendwa.
Mama wa uchumi wa taifa letu pendwa ni nani?Ni baba wa Uchumi wa taifa letu pendwa.
Watu walikutwa kwenye vifungashio hafu unataka mtu akumbukwe, iwekwe iyo siku ila yawe yanasema mazuri na mabaya aliyoyaasisi.Ndiyo iwe siku ya kusheherekea kifo Cha yule muovu.
Maana siku amekufa tulizuiwa kufanya sherehe.
Naunga mkono hojaView attachment 2153051
Mna uhakika kama alifariki machi 17?Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.
View attachment 2152994
Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.
Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.
Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.
View attachment 2152987
๐๐พ Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Pumbavu, yaani tu vitu huto ndio kwako unaona ni uthubutu?Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.
View attachment 2152994
Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.
Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.
Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.
View attachment 2152987
๐๐พ Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Alijenga kwa pesa zake?Nikiwa mdau wa watu wenye uthubutu na maamuzi magumu juu ya taifa lake.
View attachment 2152994
Kwa hapa nchini tarehe 17th.03.2022 inakuwa zimetimia siku 365 za mwaka toka alipofariki aliyekuwa Rais wa JMT JPM.
Jana na leo napita mitandaoni na kujifunza kitu ambacho ukiwa hapa jf unaweza kudhani kweli camarader legend John anachukiwa kwelikweli ila siyo kweli.
Naona hii siku March 17th iwe Magufuli day kama itapendeza nimeandika tu!, tukumbuke si kwa kipindi kifupi anatokea mtu mwenye haiba ya namna hii huwa ni kipindi kirefu sana na huenda akawepo ila hawezi kutambulika.
View attachment 2152987
[emoji1483] Picha haina uhusiano na bandiko ila ukipenda kuishabihisha unaruhusiwa.
Ukitaka kujifunza usisome kitabu kimoja, vilevile ukitaka kujua jambo usisome gazeti moja.Aisee. Koments zinatoa fundisho kubwaa
View attachment 2152987Alijenga kwa pesa zake?
NyerereBaba wa siasa wa taifa letu pendwa ni nani?
Tuna Baba wa Uchumi, JPM.Mama wa uchumi wa taifa letu pendwa ni nani?