Sote ni wapangaji Hakuna mwenye hati ya kuishi milele,Kama unatoa roho za wenzio nawe itatolewa,kifo pekee ndo uunganisha mtawala na mtawaliwa, tajiri na masikini.
Maisha ya dunia ni ya kuukimbiza upepo.
Duuh serious aliwahi tabiri kuhusu Ben Saanane??????
DuuhhUkifa ndo utaelewa kama upo salama
Ukiingia mitandaoni hii mihemko utakayo kutana nayo waweza kudhani nchi inapunduliwa kesho
Eehhh inamaana aliongea haya kabla ya tukio !?? Mtoa post itakuwa ni undercoverMbowe kujeruiwa Dodoma, huyu mtoa post anatisha. Labda na mengine yanasubiri muda tu
HahaaaNdio maana tunasema humu kila siku, bible ni uzushi /story za kutunga tu, hivi wanyama walitubu vibi hapo kwamfano?
Na wewe mkubwa mzima / wenda una watoto nyumbani, lakini umeamini Nguruwe alitubu kwa mungu?
Jinga sana wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
So? Kipi ni kipi?Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
Amen!Mungu azidi kuliangalia Taifa letu kwa wema zaidi.
Uko sahihi kama mtu atatafakari na kuweka itikadi ya kidini pembeniGod will remember us! Yaani Mungu atukumbuke sisi kasumbufu ambazo hatuna dira wala maono! Tunasahau kuwa Mungu anao watu wengi sana wakuwahudumia sio watanzania pekee ambao tumekuwa wasumbufu kwa kuomba mara mbilimbili hata kabla hajatujibu; huko ni kumpigia makelele ya usumbufu, sema tujiandae kupambana na hali zetu.
inastahajabisha mkuuEehhh inamaana aliongea haya kabla ya tukio !?? Mtoa post itakuwa ni undercover
Mbona mnapenda kutia watu hofu nyie watu !!Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Ni kama mchezo wa masihara vile ila utaunguza Nyumba.
Ni moto mkali sana utakaobadilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. Tulishatabiri ila sasa itakuwa kweli.
Pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us.
Update
Mabadiliko ktk katiba
Lissu kuongea , watanzania jambo limetikisa siasa zetu hasa ikizingatiwa anautaka Urais
Mbowe kujeruiwa dodoma
Updates 24.07.2020
Kifo Cha mwanamapinduzi wa uchumi was Tanzania Mh Benjamin William Mkapa. Rest in peace Father
Next
Yasio julikana kujulikana...
Pray for the nation
Amen
Hatumtishi mtu ila True anatupenda katupa kuona wengine wasio yaonaMbona mnapenda kutia watu hofu nyie watu !!
HahahahaUkiingia mitandaoni hii mihemko utakayo kutana nayo waweza kudhani nchi inapunduliwa kesho
Hatari mkuu ... Wabongo bwana