Lumumba fanyeni kweli basi?Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Hili dude halijaandika bure...kuna moshi MWEUPEUlitabiri ya Ben Saanane, yakawa kweli, je hili nalo litakuwa kweli?
Nafikiri ni mwamba imara wa mauajiTanzania iko juu ya Mwamba imara sanaa hasa hiki kipindi cha awamu hii ya tano.
Mtikisiko wowote utakuwa ni wa kuimarisha zaidi wala si kubomoa.
"Tanzania is under His eyes"
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo! Huyu ni senior Lumumba buk 7, ameishaona ukweliUsidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu
Nchi ipo shwari
Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Sukari vipi?Taifa lipo IMARA kuliko WAZANDIKI wanavyofikiri.
Hakuna lolote endeleeni na maisha kwa wale wenye nia njema na nchi yenu kila kitu kipo under control.
TAIFA HILI LIPO KWENYE MSINGI WA MAWE SIO TOPE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tuna chakula cha kutosha nchi zote za ukanda huu zinatutegemea.Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Matapeli wa dini mnajilisha upepoVita hii ni ya Bwana!! Kwenye ulimwengu wa Giza kuna hasira Kali. Kuna kitu Rais Magufuli alikiamua na watu hawakizungumzii moja kwa moja lakini ndiyo chimbuko LA hasira japo baadhi ya waliokasirika sana hata hawajui kwa nini wana hasira kubwa hivyo. Kitu chenyewe ni kutokufungwa kwa nyumba za ibada!! Hapa Tanzania tumemheshimu sana Mungu na tumemtanguliza Mungu mbele kuliko mikakati mingine yote!! Watu wanakejeli!! Watu wanabeza!! Lakini nikwambie hao wote wanaobeza kuna siku watatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Mungu atailinda Tanzania kwa dhahiri kama alivyiheshimika kwa dhahiri!!
Kila mtu humu alishakuona kituko,kichwa wazi na limbukeni,hivyo pumzisha ujinga kidogoUsidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu
Nchi ipo shwari
Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Tusitishane,,mtikisko wa Nini kwa mfano?Kila mtu asali, sali kuliombea hili Taifa. Nikama mchezo wa wa masihara vile ila utaunguza. Nyumba.
Nimoto mkali sana utakao badilisha dira na mwelekeo wa taifa hili. tulisha tabiri ila sasa itakuwa kweli pray for the nation pray for your family. We as Tanzanian God will remember us. Amen
Masikini hata mleta mada humjui kama ni mlumumba mwenzio?Usidanganyike na mambo ya mihemuko mtandaoni Mkuu
Nchi ipo shwari
Hao Chadema wakishashiba lazima waingie mtandaoni kupiga umbeya
Vita hii ni ya Bwana!! Kwenye ulimwengu wa Giza kuna hasira Kali. Kuna kitu Rais Magufuli alikiamua na watu hawakizungumzii moja kwa moja lakini ndiyo chimbuko LA hasira japo baadhi ya waliokasirika sana hata hawajui kwa nini wana hasira kubwa hivyo. Kitu chenyewe ni kutokufungwa kwa nyumba za ibada!! Hapa Tanzania tumemheshimu sana Mungu na tumemtanguliza Mungu mbele kuliko mikakati mingine yote!! Watu wanakejeli!! Watu wanabeza!! Lakini nikwambie hao wote wanaobeza kuna siku watatafuta mahali pa kuficha nyuso zao!! Mungu atailinda Tanzania kwa dhahiri kama alivyiheshimika kwa dhahiri!!
Unaongelea yule aliyejificha kwao.Tanzania iko juu ya Mwamba imara sanaa hasa hiki kipindi cha awamu hii ya tano.
Mtikisiko wowote utakuwa ni wa kuimarisha zaidi wala si kubomoa.
"Tanzania is under His eyes"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tupo pamoja na Rais kwamba Mungu lazima aendelee kuabudiwa na yeye ndiyo tegemeo letu,lkn nyinyi mnaolaumu hv mnataka rais afanye Nini kwa Sasa? Mbona hamtoi muongozo mmebaki kulaumu tu? Huu ugonjwa mbona haukuanzia Tz? Kuna jambo gani marekani na ulaya wamelifanya ambalo TZ hatukulifanya? Hao waliopiga watu lockdown kwann vifo bado vinaendelea tena kwa kiwango Cha kutisha? Nasema hv sisi tutafuata maelekezo ya wataalam lkn kuabudu Mungu hatuachi, yeye tu ndo atakaetuepusha inshaallah.
[/QUOTLabda unisaidie Kuna uhusoano gani Kati ya Uzi wa jamaa na ulichokiandika Yani covid 19 kusali makanisa na rais? Hebu tusaidie kuunganisha dot.