KERO Kila mtoto anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1,500 (Shule ya Msingi Makabe)

KERO Kila mtoto anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1,500 (Shule ya Msingi Makabe)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Elimu Bure ilikuwa wakati wa mwalimu Nyerere sio leo hii, ukiambiwa elimu Bure usichukulie serious ni maneno na propaganda za siasa na wanasiasa
Waelekeze si ndo hawa hawaandai hata kumi mbovu kwa wake zao wanasema kujifungua bure
 
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali.

Hii imekua tofauti katika shule ya msingi Makabe ambapo kumeanzishwa mitihani ya kila weekend na kila weekend watoto wanatakiwa waende na pesa kwaajiri ya kufanya hiyo mitihani.

Kila mtoto mmoja anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1500 hivyo kama una watoto wawili kila kila wiki inabidi uandae Tshs 3000

Kwa mwingine Tshs 1500 ni pesa ndogo sana ila kuna mwingine hiyo pesa kwake ni kubwa sana mana unaweza kuta hana ajira ya kueleweka, sasa awaze kuitafutia familia walau mlo mmoja na wakati huo huo waalimu wanasubiri awapelekee hiyo 1500 kila wiki kwaajiri ya mitihani.

Serikali kupitia wizara husika naamini mpo humu na mtaluona hili andiko langu, naomba mtusaidie mana mtihani ni muhimu lakini hii ya kila wiki tena unatakiwa ulipie kiukweli inatuumiza baadhi yetu ambao hali zetu ni duni sana kwasasa.

Kibaya zaidi mtoto asipoenda kufanya hiyo mitihani weekend kwakukosa pesa Jumaatatu akienda shule wanampiga kwamba kwanini hakuenda.

Naamini serikali yetu ni sikivu sana itaenda kulifanyia kazi hili suala kwa haraka mana ni zaidi ta kero, wao walimu wana mishahara sasa wanadhani kwamba kila mtu anapokea mshahara.

Ahsante
Acha umqsikini buku ndo ya kuja kulalaamika humu hivi unamnunulia chili mkeo kweli
 
Walimu wa shule za kayumba wamedhidi na hawana utu kabisa, pale secondary ya kawe ukwamani wanawanyima wazazi report za watoto wao kisa hawajatoa elfu tano za walimu wakujitolea,tena wazazi wengine unakuta ni masikini haswa
Sasa ripoti ya nini na hela umegoma kulipa watu wana uhaba wa walimu unaambiwq uchange elfu 5 nayo unaleta shida
 
Ni wastan wa Tshs 30,000 kwa mwezi (siku za kazi 20/23 ) .

Ilq unawez ucmpe kwakuw hakuna wakalokufanya
 
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali.

Hii imekua tofauti katika shule ya msingi Makabe ambapo kumeanzishwa mitihani ya kila weekend na kila weekend watoto wanatakiwa waende na pesa kwaajiri ya kufanya hiyo mitihani.

Kila mtoto mmoja anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1500 hivyo kama una watoto wawili kila kila wiki inabidi uandae Tshs 3000

Kwa mwingine Tshs 1500 ni pesa ndogo sana ila kuna mwingine hiyo pesa kwake ni kubwa sana mana unaweza kuta hana ajira ya kueleweka, sasa awaze kuitafutia familia walau mlo mmoja na wakati huo huo waalimu wanasubiri awapelekee hiyo 1500 kila wiki kwaajiri ya mitihani.

Serikali kupitia wizara husika naamini mpo humu na mtaluona hili andiko langu, naomba mtusaidie mana mtihani ni muhimu lakini hii ya kila wiki tena unatakiwa ulipie kiukweli inatuumiza baadhi yetu ambao hali zetu ni duni sana kwasasa.

Kibaya zaidi mtoto asipoenda kufanya hiyo mitihani weekend kwakukosa pesa Jumaatatu akienda shule wanampiga kwamba kwanini hakuenda.

Naamini serikali yetu ni sikivu sana itaenda kulifanyia kazi hili suala kwa haraka mana ni zaidi ta kero, wao walimu wana mishahara sasa wanadhani kwamba kila mtu anapokea mshahara.

Ahsante
Toa hela mtoto wa kiume, yaani kama 1500 inafanya ulie lie hiyo familia unahudumia vipi boss?
 
Pamoja na hali ngumu ndugu mleta mada hebu jaribu kupambana tu uipate hiyo buku jero mwanao angalau apate elimu

Tena hao waalimu ilitakiwa muwapongeze maana watoto watakuwa wanakutana na mitihani tu ya kufunga shule ambayo haiwezi kumsaidia awe na tabia ya kujisomea hii ya kila wiki itakuwa inamfanya awe busy akirudi lzm asome maana anajua kuna pepa na hivyo kumfanya akili zichangamke siyo awe anawaza katuni na kula maandazi na aiskrimu

Mbona wazazi wetu walipambana kutulipia ada wakati tukiwa tunasoma kipindi ada zipo na unakuta mpo watoto watano!! Jitahidi mkuu dogo asome
 
Ila watu wa jf mna ujuaji mwingi sana,,,mtoa mada katoa kero yake ambayo sio lazima iwe ni changamoto kwake binafsi lkn huenda inawakilisha wazazi wengine ambao wanachangamoto hiyo

Wewe uliyejaaliwa kipato kizur na cha uwakika usidhani kila mtu yupo hivyo kuna wengine hali ni mbaya sana hata kula yao ni shida,,sasa mtu kama huyu hiyo buku miatano ni kitu kikubwa sana kwake na asisimangwe kwakuwa hana.

Mnatoa povu kana kwamba hamjui maisha ya watanzania wengi kuwa wana hali mbaya,,ebu mjaribu kuwafikiria na wengine tafadhali

Na mtu akitoa mada muijadili kama mada na si kumshambulia mtu binafsi,,,naamini tumeelewana
 
Mkuu hao wanafunzi wanaoambiwa waende na 1500 umewaona lakini?kama mwanafunzi anaenda shule na yeboyebo zimechakaa shati limebadilia rangi kabeba mfuko badala ya bag hiyo unadhani mzazi anauwezo wa kuitoa?
Umetafsiri kauli yangu ndivyo sivyo.
 
Mwanangu wa darasa la 3 wanaenda na kila jmos swiming lessons ni 30,000, meals 5000 usafiri 2000......kusomesha sio utajiri ni mwoyo na kujitambua hi nchi haina huruma.
Hizi after school zinakura hela sana..mara swimming,mara karate mara football., mara music ili mradi wazazi tutoe hela tu .inakula hela kila week ... inaboa sana
 
Lipeni jambo dogo hilo sana mtihani anafanya mwanao kwa 1500 tu unakuja kulalamika, hizo mentality za ujamaa msipo ziacha utashindwa kuishi katika mfumo wa ubepari.
Bukujero sio ishu lakini, mitihani ya kila week ni ya nini?
Hao watoto wanahitaji mitihani kila week? Au huo ni mfumo mpya wa elimu?

Bora wangesema madarasa ya mitihani la 4 na 7. Hao wengine mitihani ya nini?
 
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali.

Hii imekua tofauti katika shule ya msingi Makabe ambapo kumeanzishwa mitihani ya kila weekend na kila weekend watoto wanatakiwa waende na pesa kwaajiri ya kufanya hiyo mitihani.

Kila mtoto mmoja anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1500 hivyo kama una watoto wawili kila kila wiki inabidi uandae Tshs 3000

Kwa mwingine Tshs 1500 ni pesa ndogo sana ila kuna mwingine hiyo pesa kwake ni kubwa sana mana unaweza kuta hana ajira ya kueleweka, sasa awaze kuitafutia familia walau mlo mmoja na wakati huo huo waalimu wanasubiri awapelekee hiyo 1500 kila wiki kwaajiri ya mitihani.

Serikali kupitia wizara husika naamini mpo humu na mtaluona hili andiko langu, naomba mtusaidie mana mtihani ni muhimu lakini hii ya kila wiki tena unatakiwa ulipie kiukweli inatuumiza baadhi yetu ambao hali zetu ni duni sana kwasasa.

Kibaya zaidi mtoto asipoenda kufanya hiyo mitihani weekend kwakukosa pesa Jumaatatu akienda shule wanampiga kwamba kwanini hakuenda.

Naamini serikali yetu ni sikivu sana itaenda kulifanyia kazi hili suala kwa haraka mana ni zaidi ta kero, wao walimu wana mishahara sasa wanadhani kwamba kila mtu anapokea mshahara.

Ahsante
HApa adui sio shule, adui ni serikali
 
Majirani zangu kila ijumaa mtoto anatakiwa aende na 1000 ya mtihani siku zingine 500 ya tuition
Kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba.

Mtoto asipoenda nayo anachapwa fimbo
Ajabu iliyoje, darasa la 1 naye ana tuition
 
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali.

Hii imekua tofauti katika shule ya msingi Makabe ambapo kumeanzishwa mitihani ya kila weekend na kila weekend watoto wanatakiwa waende na pesa kwaajiri ya kufanya hiyo mitihani.

Kila mtoto mmoja anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1500 hivyo kama una watoto wawili kila kila wiki inabidi uandae Tshs 3000

Kwa mwingine Tshs 1500 ni pesa ndogo sana ila kuna mwingine hiyo pesa kwake ni kubwa sana mana unaweza kuta hana ajira ya kueleweka, sasa awaze kuitafutia familia walau mlo mmoja na wakati huo huo waalimu wanasubiri awapelekee hiyo 1500 kila wiki kwaajiri ya mitihani.

Serikali kupitia wizara husika naamini mpo humu na mtaluona hili andiko langu, naomba mtusaidie mana mtihani ni muhimu lakini hii ya kila wiki tena unatakiwa ulipie kiukweli inatuumiza baadhi yetu ambao hali zetu ni duni sana kwasasa.

Kibaya zaidi mtoto asipoenda kufanya hiyo mitihani weekend kwakukosa pesa Jumaatatu akienda shule wanampiga kwamba kwanini hakuenda.

Naamini serikali yetu ni sikivu sana itaenda kulifanyia kazi hili suala kwa haraka mana ni zaidi ta kero, wao walimu wana mishahara sasa wanadhani kwamba kila mtu anapokea mshahara.

Ahsante
Naona walimu wamevamia uzi wako kuja kutetea uwizi wao..
 
Back
Top Bottom