MAKUTUPULA
Member
- Dec 13, 2019
- 11
- 1
Hakuna Bure Duniani ,wanakariri maneno ya wanasiasa wanayachukua kama yalivyo matokeo yake wanapata nayo taabu kwelikweliWaelekeze si ndo hawa hawaandai hata kumi mbovu kwa wake zao wanasema kujifungua bure
ulivyo malizia iyo stupid teacher plus na limuandiko la herufi kubwa plus humo ndani ki Español ulicho andika maana Sio kiswahili mm uku Sina mbavu aiseNDUGU N KWELI KABISA KABISA HAPO NIKO NA WEWE MAISHA MAGUMU LAKINI UKUMBUKE KABLA YA ELIMU BIRE TUMESOMA MAZINGIRA HAYA HAYA NA ZAIDI YA HAYA NDUGU HAKUNA ELIMU RAISI TUGENDE TWA KENYAAA ABANTU RUGANDA KOTEEE HAYA MALIPO YAPOOO
HAWA WALIMU WANACHOFANYA N KUHAMASISHA WATOTO WAPENDE SHULE
ASILIMIA 40 YA KAYUMBA WANAENDA SHULE ILI MRADI WAENDE WENGINE HUCHAPWA ILI AENDE SHULE..SASA WALIMU WAMEANZJSHA HII MITIHANI HATA WALE WASIOELEWA WATASOMA
BINAFSI SINA KIPINGAMIZI NA HILI
SWALA.LA KUPIGA WATOTO AFISA ELIMU HUSIKA WA WILAYA TOKA UKO OFISINI KAONYE HAO WAPUUUZI
UNAMPIGA MTOTOO KISA AJAFANYA MTIHANI KISA MZAZI HANA HELAAA HUOO N USHENZIANA USIO NA AKILI PAMBAVUUU KABISA...
MATATIZO YA WAZAZI USIYAAMISHIE KWA WATOTO KAMWEEE STUPID TEACHERS
Swala lakuwa masikini ni sawa na je mtoto niwa nani? Siungi mkono kunyima report ila kama buku5 lipo wape tu sio mbaya...... hawa walimu kazi yao sio mchezo ni ngumu mshahara kiduchu na watoto ni wengi wanajaribu tu kufanya watoto wetu wapende shule na wawe na ufaulu mzuri. Buku5 kwa mtoto hata sio nyingi japo hali inaweza kuwa ngumu ila mjitaidi usirundike watoto wengi uwezo hamnaWalimu wa shule za kayumba wamedhidi na hawana utu kabisa, pale secondary ya kawe ukwamani wanawanyima wazazi report za watoto wao kisa hawajatoa elfu tano za walimu wakujitolea,tena wazazi wengine unakuta ni masikini haswa
Kama vipi waache kazi wajiajiri, ivyo vimishahara viduchu kuna wengine vitawafaa,,walimu wanachofanya ñikuleta chuki kwa serikali,Swala lakuwa masikini ni sawa na je mtoto niwa nani? Siungi mkono kunyima report ila kama buku5 lipo wape tu sio mbaya...... hawa walimu kazi yao sio mchezo ni ngumu mshahara kiduchu na watoto ni wengi wanajaribu tu kufanya watoto wetu wapende shule na wawe na ufaulu mzuri. Buku5 kwa mtoto hata sio nyingi japo hali inaweza kuwa ngumu ila mjitaidi usirundike watoto wengi uwezo hamna
Mkuu bajeti ya Serikali haitoshi kuendesha gharama za matumizi mashuleni hao Walimu wanaowachangisha ni kwafaida yako ww mzazi na watoto wako bila hiyo mitihani ya mara kwa mara Watoto wako hawawezi kupata ufaulu mzuriTunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali.
Hii imekua tofauti katika shule ya msingi Makabe ambapo kumeanzishwa mitihani ya kila weekend na kila weekend watoto wanatakiwa waende na pesa kwaajiri ya kufanya hiyo mitihani.
Kila mtoto mmoja anatakiwa aende na kiasi cha Tshs 1500 hivyo kama una watoto wawili kila kila wiki inabidi uandae Tshs 3000
Kwa mwingine Tshs 1500 ni pesa ndogo sana ila kuna mwingine hiyo pesa kwake ni kubwa sana mana unaweza kuta hana ajira ya kueleweka, sasa awaze kuitafutia familia walau mlo mmoja na wakati huo huo waalimu wanasubiri awapelekee hiyo 1500 kila wiki kwaajiri ya mitihani.
Serikali kupitia wizara husika naamini mpo humu na mtaluona hili andiko langu, naomba mtusaidie mana mtihani ni muhimu lakini hii ya kila wiki tena unatakiwa ulipie kiukweli inatuumiza baadhi yetu ambao hali zetu ni duni sana kwasasa.
Kibaya zaidi mtoto asipoenda kufanya hiyo mitihani weekend kwakukosa pesa Jumaatatu akienda shule wanampiga kwamba kwanini hakuenda.
Naamini serikali yetu ni sikivu sana itaenda kulifanyia kazi hili suala kwa haraka mana ni zaidi ta kero, wao walimu wana mishahara sasa wanadhani kwamba kila mtu anapokea mshahara.
Ahsante
Waaache kazi alafu watoto wako nani awasomeshe au wewe ni mwalimu utawasomesha mwenyewe? Tafuta icho kibunda jamaa yangu wape watoto usikubali aibu ndogo ndogo hiziKama vipi waache kazi wajiajiri, ivyo vimishahara viduchu kuna wengine vitawafaa,,walimu wanachofanya ñikuleta chuki kwa serikali,