Hajui huyu ๐ kwakua ashakubali ataishi tumempokea๐ Intelligent businessman Raisi wa majobless pro max mratibu mipango nasema atafutwe kijana wa kumfunza games asahau depression ๐๐๐ฟMtoto mpuuzi sana Huyu hivi anaujua utamu wa kumalizia asali inayobaki kwenye chupa ndogo ya nyagi Huyu mubaba Huyu ๐ค
Mwambie anifungulie Serengeti ya baridii ... Hapa nyegezi KonaMtoto mpuuzi sana Huyu hivi anaujua utamu wa kumalizia asali inayobaki kwenye chupa ndogo ya nyagi Huyu mubaba Huyu ๐ค
Hajui kiporo wali maharage kilivyo kitamu, nachemsha maharage na chai tu.Mtoto mpuuzi sana Huyu hivi anaujua utamu wa kumalizia asali inayobaki kwenye chupa ndogo ya nyagi Huyu mubaba Huyu ๐ค
Msemaji muoga hafai, siku nyingine nakufukuza kwenye chamaMwambie anifungulie Serengeti ya baridii ... Hapa nyegezi Kona
Mimi kama semaji nasema mada wa semaji kutaka kufa imefungwa rasmi. Kwa kuzingatia Katiba yetu yoyote atakaye endeleza mada hiyo. Sheria Kali zitachukuliwa dhidi yake!Msemaji muoga hafai, siku nyingine nakufukuza kwenye chama
Mimi Kama makamu wa majobless nitakupa ofa๐ uje kijijini uchukue kabinti kama miaka 18 kabikira makutupora uje na mbuzi bubu ilo ndo shartiHajui huyu ๐ kwakua ashakubali ataishi tumempokea๐ Intelligent businessman Raisi wa majobless pro max mratibu mipango nasema atafutwe kijana wa kumfunza games asahau depression ๐๐๐ฟ
Edo kissy kazi yako ni kutafuta mbuzi bubu ... Ukisema umekosa ntajua kabisa hupendi maendeleo yanguMimi Kama makamu wa majobless nitakupa ofa๐ uje kijijini uchukue kabinti kama miaka 18 kabikira makutupora uje na mbuzi bubu ilo ndo sharti
Nimefunga hapa๐ makutuporaHajui huyu ๐ kwakua ashakubali ataishi tumempokea๐ Intelligent businessman Raisi wa majobless pro max mratibu mipango nasema atafutwe kijana wa kumfunza games asahau depression ๐๐๐ฟ
Ewaaa lini hiyo mkuu๐, ofaa yangu au ya semaji๐Mimi Kama makamu wa majobless nitakupa ofa๐ uje kijijini uchukue kabinti kama miaka 18 kabikira makutupora uje na mbuzi bubu ilo ndo sharti
Mkuu wewe kwa vile uko fit nitakupa singo maza wa kikulya Ila kwenye ngumi uwe fresh, Maana kina bhoke wanapiga mkono sio poa na chuchu zao ngumu kama pera bichi,Ewaaa lini hiyo mkuu๐, ofaa yangu au ya semaji๐
Aisee, hadi mmemshawishi asife anymore ๐คฃ๐Babuuuu yaisheee nimesema sifiiiiiii ๐๐๐
Now umeamini Hawa ni ndugu zangu eeeh? Wananifariji sana na Spana za kutosha!Aisee, hadi mmemshawishi asife anymore ๐คฃ๐
Usitusagau kwenye sala zakoAisee, hadi mmemshawishi asife anymore ๐คฃ๐
๐๐๐Siwawezi mkuu Bora niwe chingo tu๐ Mimi na ugomvi hatuendani๐Mkuu wewe kwa vile uko fit nitakupa singo maza wa kikulya Ila kwenye ngumi uwe fresh, Maana kina bhoke wanapiga mkono sio poa na chuchu zao ngumu kama pera bichi,
ChaiNashangaa wakati mwingine unaandika nyuzi ya kawaida tu, ila watu wanareply haiwezekani, chai, uongo ๐ต. Mngejua, kuna mambo ya kustaajabisha watu wameyabeba moyoni, hawawezi tu kusema na hata wakisema hamtawaamini.
Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi baadhi ya yale ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)
View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE
View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg
Akiwa anatuombea atakuwa anatutaja kwa majina gani? Haya haya ya jamii forum eh ๐คUsitusagau kwenye sala zako
Ndio mkuu๐Akiwa anatuombea atakuwa anatutaja kwa majina gani? Haya haya ya jamii forum eh ๐ค