Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nashangaa wakati mwingine unaandika nyuzi ya kawaida tu, ila watu wanareply haiwezekani, chai, uongo. Mngejua, kuna mambo ya kustaajabisha watu wameyabeba moyoni, hawawezi tu kusema na hata wakisema hamtawaamini.
Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi baadhi ya yale ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)
View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE
View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg
Anyway, hivyo vibao viwaburudishe (mimi baadhi ya yale ya moyoni ambayo siwezi kuyasema yametajwa kidogo kwenye hizi nyimbo)
View: https://youtu.be/yM_0BhO4UAk?si=4RtKKNwAe54I4hLE
View: https://youtu.be/0wfWPRXHodY?si=UdiX9gVt73qvhHAg