Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 AiseeeeeeeeeAnazungumzia urefu gani ?
Me mrefu kote asee😁
Na nawapata kweli kweli
Itungwe sheria ya kila mrefu awe na 10 lakini wajitegemee kwa msosi😂Leo hii kila mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi, kila mwanamke anataka mwanaume mrefu na warefu ni wachache sana, sasa hao wanawake wataolewa na nani ikiwa wanaume warefu wanahesabika?
Mada inahusu watu warefu ila haijaweka wazi ... Warefu was aina gani ?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Aiseeeeeeeee
Dada rudia Tena kauli yako.Sisi ambao hatujali pesa urefu n credit sometimes, warefu suti zinawakaa
sawaaMada inahusu watu warefu ila haijaweka wazi ... Warefu was aina gani ?