Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana viburi na Wana kiu za kuonekana wajuvi was mapenzi na kujali ...ila Mwisho wanakufa na watu wanafaidi mapigano yao kizeembeYaani vijana kama mnaishi duniani kwa kutafuta kuwaridhisha na kuwafurahisha wanawake hakika mpo kwenye njia ya maangamizo......kwani historia inatanabaisha kuwa hakuna mwanaume aliyejaribu kumridhisha na kumfurahisha mwanamke na kubakia salama......tukianza na Samson na Farao ni ushahidi tosha..........
Usivuke mipaka ya utu wako na thamani kujaribu kumfurahisha mwanamke......
Word is enough for the wise...
Sie wafupi tunapaga tabu sana lakini bwana uzuri hao warwfu sio waoaji wao ni kula mbususu za wanawake na kutuachie sie andunje andunjeLeo hii kila mwanamke anasema hataki kuolewa na mwanaume mfupi, kila mwanamke anataka mwanaume mrefu na warefu ni wachache sana, sasa hao wanawake wataolewa na nani ikiwa wanaume warefu wanahesabika?
Ah unakuwa na hela na bado watu watakutombea tuu wakati matoluuu wanapelekewa mbususu bure kabisaaaTatizo siyo ufupi,tatizo ni uwe mfupi huna Hela,unajeuri na kisirani na kibri😠🙌
Mimi sina icho kisirani mbona?Njoo tuyajenge bibieTatizo siyo ufupi,tatizo ni uwe mfupi huna Hela,unajeuri na kisirani na kibri[emoji34][emoji119]
Kutombewa hapo ni inafuatana na dudu Yako inaperformjeAh unakuwa na hela na bado watu watakutombea tuu
Easy easy kamanda,tafuta Taratibu utapataMimi sina icho kisirani mbona?Njoo tuyajenge bibie
🤣🤣🤣 Almost wanakuwa na kirungu kifupi kinene but so sweet😘😘😋Wee uliona wapi mtu mfupinakawa na de libolo kubwa😂😂😂😂
Kwangu mie madem warefu huwa nawaona wanazinguaga kwa kujiskia skia huku wana hizo za kuchagua chagua sana ila wafupi hawanaga noma sana ukimuonesha love.Kitu kinachofurahisha ni kuwa hata sisi wanaUME warefu na sisi pia tunapenda wanawake wafupi. Sasa tukishazaa nao kizazi kinachokuja n cha wanaume wafupi pia. In 50 yrs hao warefu kupatikana itakua kwa mshale zaidi.
Yaan sijui nan katuloga, madem warefu huwaga wapole na wastaarabu sana, lakini hawa SEEDCO sasa, yaan pasua kichwa hatari!🤦🏽
Wafupi wana sweet spot🤣🤣🤣 Almost wanakuwa na kirungu kifupi kinene but so sweet😘😘😋
Mimi ni mfupi 5.5 naolewa na 5.5.
..😳natafuta nn kama siyo kuja kulaumiwa na wanangu Kwa kuzaliwa mojakimo🙄
Hapo kwenye nyenye nakubali kabisa. Tena nanyoosha mikono juu. Hapo nyie niafundi kwelikweli. Yaan kwenye chezo, ah nakubali mwanzo mwisho. Shida inakuja hiku kwimgineko kwenye maisha ya kila siku. Hua mnakua viraruraru hatariMy goshh! U said SEEDCO?😳 U can't call us like that wakati tunakufanya uenjoy k mbano.Tuheshimu kidogoo🤦
We're😳 Kwa Steve Bora nife single forever....afu kaongeaji balaa, mkiwa ndani mwamvuli wa kuzuia mate kukurukia lazima uhusike🥵Warefu mashauzi na ma player.
Wafupi hela na mapenzi ya kujali sana.
Matokeo:
Wanaliwa na matozi wanakuja kuolewa na kina steve nyerere
Jitahidi urefuke! Ukisimama pembezoni mwa Jaba watu wanakutafuta .Ukikaa baa Counter mbia mbili tu Ukishuka miguu imekufa ganzi kisa imenig'inia muda mrefu unamuona Nyadundo anachechemea demu wake wanaondoka kisa ganzi miguuni.Sie wafupi tunapaga tabu sana lakini bwana uzuri hao warwfu sio waoaji wao ni kula mbususu za wanawake na kutuachie sie andunje andunje