Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa

Yani kama huna sifa zinazokera (mijisifa, kuongea kwakupitiliza, kulopoka lopoka, n.k) basi kitaani kwako ushapigwa kinyamkera
Yawezekana hata ukoo wangu maana ni wachawi sana
 
Nme sikitika sana Kweli una maisha magumu Wale buku mbili 2 vp.. uwa hawakatai jarbu ao..naisi ndo level zako
Sana mkuu,nafikiria kuhamia huko ila nitahatarisha maisha yangu
 
Daaa, Mimi mwenzako nikitongoza nawapata lakin tunashindwana kwenye ela mbaka naona nina mikosi Naombwa ela sijajua tatizo likowapi
Daaah,umenichekesha mkuu ila bora wewe
 
Back
Top Bottom