Kila mwanaume Jana amempost hakimi

Piga kelelee Kwa hikimi Yake Oyoooooooooooo
 
Mwanaume kama huyo sikubali amuoe hata dadangu au binti yangu
Ni mbinafsi katili....anaweza kukufanyia lolote ndani coz anajua hata ukiondoka huambulii kitu.Afu ndo mseme mabinti wasisomeshwe,wasiwe na Kaz......haya binti kapoteza muda Kwa miaka mi3 na kuzalishwa juu afu kabaki maskini.MI KIUKWELI KATAA NDOA NIMEANZA KUWAELEWA.NDOA NI JEHANAMU
 
Muwe mnaheshima nyinyi wanawake na watoto wa kike. Walio fanya hivyo ni wanao jiita Wanaume, sisi Wanaume hatuna huo muda sababu tunafata misingi iliyo simikwa kale na tuna njia zetu.
 

Hahaha there is no such thing as kurogwa.
Mwanaume si mjinga , the moment we see red flags we act.

Hakin is a hero
 

Tunawaruhusuni na nyie andiken mali zenu mama zenu, !!

Kama ni watoto kwani baba kasema hawezi kuwatunza, kalabaghao!
 
Wewe nimekupenda. Maana huna povu, ni utani tu. Safi. Asante kwa kufurahisha jukwaa[emoji1787][emoji1787]
 
Na vingeleza vyako sasa. Sasa iko hivi, Hakimi hamiliki chochote na Hiba ana ukwasi. Hivyo anatakiwa kulipa gharama zote na mahakama na kugawa mali zake 50/50 na Hakimi.

Hapo vepeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…