crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Ningekuwa msanii wa bongo fleva ningetunga ngoma kuiita hakimi kabla hii trend yake haijapoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani kila mwenye utimamu aisome hii comment Kwa utulivu..ila nimecheka Sana mkuuMnapigwa miti sana na waganga, tunalea sana watoto wa waganga ndo mana nyumba za moto tunalea misukule
💯💯💯😍😍😍❤️ I love my mamy so mochiNdo uyatafute Mkuu huku unawekeza kwa Mama ili uwe kama Hakimi. 😂
Kweli asee mondi akae vizuri hapoNingekuwa msanii wa bongo fleva ningetunga ngoma kuiita hakimi kabla hii trend yake haijapoa.
Piga kelelee Kwa hikimi Yake OyooooooooooooJana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Ni mbinafsi katili....anaweza kukufanyia lolote ndani coz anajua hata ukiondoka huambulii kitu.Afu ndo mseme mabinti wasisomeshwe,wasiwe na Kaz......haya binti kapoteza muda Kwa miaka mi3 na kuzalishwa juu afu kabaki maskini.MI KIUKWELI KATAA NDOA NIMEANZA KUWAELEWA.NDOA NI JEHANAMUMwanaume kama huyo sikubali amuoe hata dadangu au binti yangu
Muwe mnaheshima nyinyi wanawake na watoto wa kike. Walio fanya hivyo ni wanao jiita Wanaume, sisi Wanaume hatuna huo muda sababu tunafata misingi iliyo simikwa kale na tuna njia zetu.Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Wewe unamwelewa huyu mara hajawai tongozwa mara ndoa utumwa somwhtt🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬
🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱🥱
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mh sitaki naogopa UTInenda pm katest mitambo 😂
Bila Shaka wewe utakuwa shemeji yake Hakimi. Umeumia Sana maana kwenye mgao wa mali dadaako ametoka patupu,means hata wewe umeambulia hewa!!Mwanaume kama huyo sikubali amuoe hata dadangu au binti yangu
jay-millions
The best comment of the year🥰🥰🥰🥰🥰
Am super exited to see that there still Gentleman out there.
People are acting like she’s screwing him over when she’s just seeking assets she’s legally entitled to..especially because she’ll probably end up with majority custody of their child
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
Wewe nimekupenda. Maana huna povu, ni utani tu. Safi. Asante kwa kufurahisha jukwaa[emoji1787][emoji1787]Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake.
Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri ukishaingia kwenye Ndoa tunawaroga mtulie kila nachosema unisikilize huo muda wa kuandika jina la kizee kwenye Mali zako unautoa wapi.
Nyie ni kuwaroga tu ndo dawa yenu
Hutamjua. Kama vile ambavyo gold digger huwa hawajulikani mwanzoni. Hii game kuna mahalabtuliteleza, sasa haya ni mavuno. Chungu lakini dawaMwanaume kama huyo sikubali amuoe hata dadangu au binti yangu
Na vingeleza vyako sasa. Sasa iko hivi, Hakimi hamiliki chochote na Hiba ana ukwasi. Hivyo anatakiwa kulipa gharama zote na mahakama na kugawa mali zake 50/50 na Hakimi.jay-millions
The best comment of the year[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Am super exited to see that there still Gentleman out there.
People are acting like she’s screwing him over when she’s just seeking assets she’s legally entitled to..especially because she’ll probably end up with majority custody of their child
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
Mali zenyewe tunazo sasa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanamshabikia lakini ni wachache wanaoweza hilo.
Mzinguaji huyu. Kingeleza kiingii. Na kaumia kinoma sijui ni Ke huyuWe nae ongea Kiswahili bana wemzungu kwani