Kila napoangalia naona kazi ya kutukuka ya Rais Samia, Tunataka nini tena Watanzania ili turidhike?

Unaumwa mavi we,yaani unatuambia amepunguza bei ya mbolea.
Huku wanatupora mashamba hizo mbolea tunapiga huko nyuma kwako?
 
Mama yetu Samia Ni mkweli Sana maana mwaka Jana uchumi ulipokuwa mbaya aliwaambia ukweli watumishi wa umma kuwa asingeongeza mishahara mpaka Hali ya uchumi itengemae, akatusihi watanzania wote kufanya kazi kwa bidii na Sasa uchumi unazidi kuimarika
 
unataka tukuanike hadharani bila nguo ?
Acha vitisho vyako hapa, Anika unachotaka, lakini utuambie kwanini miaka yote ya kupokea Ruzuku mmeshindwa kujenga ofisi ya makao makuu? Kwanini mmeanza kukurupuka saiz kwa aibu kuzindua nyumba za watu na kusema Ni ofisi zenu baada ya kupata kiwewe kutokana na ACT kuzindua ofisi zao,wakati nyie hata rangi tu mmeshindwa kupaka hapo ufipa, Tuambie pesa za join the chain zipo wapi? Au nazo mmetafuna?
 
Mkuu
hujagusia ishu ya vitu kupanda bei holelaholela tuu, hujazungumzia ishu ya umeme na maji (kumbuka nchi ili kupata maendeleo thabiti, nishati ni muhimu sana, sasa huezi kuniambia kuwa mama anafanya maendeleo wakati wananchi wake wanakaa tu bila kufanya kazi kwa sababu ya ukosefu wa umeme(hasahasa wajasiriamali wadogo wadogo), mgao wa maji wa kijingajinga tuu!)haya yote huyaoni mkuu??jibu kwa hoja!uchama uweke pembeni
 
Kipindi cha CHUMA JPM ukame ulikuepo lkn hatukuona mgao wa ovyoovyo na ninakumbuka pale bungeni akitoa hotuba yake alisema kabisa kuwa anajua yanayofanywa na mameneja wa mabwawa!hvo waache mara moja!na hatukusikia mgao wala ujinga ujinga kama wa sasa hvi!
 
Hapana Sina matatizo ya akili
Maandishi yako tu yanaonyesha unaumwa......nenda hospital ya mkoa mtafute daktari au muuguzi anaehusika na kuwahudumia wagonjwa wa akili muelezee hali unayojisikia funguka kila kitu nina imani utapata msaada......pole sana mkuu
 
Maandishi yako tu yanaonyesha unaumwa......nenda hospital ya mkoa mtafute daktari au muuguzi anaehusika na kuwahudumia wagonjwa wa akili muelezee hali unayojisikia funguka kila kitu nina imani utapata msaada......pole sana mkuu
Nakukaribisha kwa mawazo mbadala mkuu yenye Afya njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…