Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

agizia PEPSI kunywa afu jizungushe kwenye kiti kile cha saluni utalewa afu kesho unaamka huna angiova
 
Dawa ni kuacha pombe tu aina faida inapoteza muda na kuleta maradhi ya moyo na kisukari
 
Mtoto mzuri mwenye lips denda unalewa??? Aaah umenikata steam
 
Herb is the healing of a nation.
alcohol is the distruction.

Njoo huku mkuu.
 
Hakikisha unamsimamia asifunge maana naingiaga kwa spidi sana! Ndo nipo safari park ya kwanza we haya mambo huyawezi tuachie wenye fani zetu dada..😋
Vipi brother ulifanikiwa 😁😁😁
 
Vipi brother ulifanikiwa 😁😁😁
Nae si anapenda! Niliingia kwa spidi sana mpk nikamgonga na yeye! Hichi kidada Cha kazi mlikitolea wapi mbona kitamu hivi walai..😋
Mpk sahivi Bado nipo chumbani kwake! Mi nakaoa dada.
 
Back
Top Bottom