Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.

Huyo ni "shosho" japo ana sura ya kitoto.Ana umri wa miaka 67 sasa hivi.
 
[emoji2089][emoji2089]
Duuu ngoja nitoke nduki.
Bora umekimbia, nimesha beba panga, shoka, mkuki, mishale, rungu na gobole (yani hapa nipo kama baba ubaya) kukusaka wewe.
images-15.jpeg
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.

Mzee wa Busara,
Kwakweli ya leo kali...
 
Kwenye jimbo la Msalala Mkoani Shinyanga kuna sehemu inaitwa Ukamba inasemekana ndio kitovu cha Asili ya Kabila la Wakamba kabla ya Kuhamia East Coasts na kupigana Wanamzizima kisha wakaenda North ambayo ndio leo ilipo Jamhuri ya Kenya.

Hilo eneo la Ukamba kuna Chemchem ya Maji na Kuna samaki ambao hata ukijaribu kuwaloa hawatoki Eneo hilo kwa sasa linakaliwa na watu wa Kabila la Wasukuma

Kunasimulizi nyingi za Wakamba kutoka kenya kuja kutambika hapo kwa hiyo kuna uwezekano mizimu yetu mimi na Charity ikawa inavutana ila hiyo elimu mimi sina ila nitahakikisha nafika Kitui kwa udi na Uvumba
Charity Ngillu ukuje huku iko nafasisi ya wewe kuwa mwanamke wa kwanza Kuingia Ikylu ya Kenya.
 
Kwenye jimbo Msalala Mkoani Shinyanga kuna sehemu inairwa Ukamba inasemekana ndio kitovu cha Asili ya Kabila la Wakamba kabla ya Kuhamia East Coasts na kupigana Wanamzizima kisha wakaenda North ambayo ndio leo ilipo Jamhuri ya Kenya.
Hilo eneo la Ukamba kuna Chemxhem ya Maji na Kuna samaki ambao hata ukijaribu kuwaloa hawatoki Eneo hilo kwa sasa linakaliwa na watu wa Kabila la Wasukuma
Kunasimulizi nyingi za Wakamba kutoka kenya kuja kutambika hapo kwa hiyo kuna uwezekano mizimu yetu mimi na Charity ikawa inavutana ila hiyo elimu mimi sina ila nitahakikisha nafika Kitui kwa udi na Uvumba
Kha!Mizimu tena ?Kwani mmekufa? We' jamaa unanifurahisha sana
 
Eclipses and Mercury Transit in Ukamba, Shinyanga Region, Tanzania
11 Nov 2019, 18:19

Nearest Sun's center in Ukamba
Global Event: Mercury Transit
Local Type: Mercury Transit, in Ukamba
Begins: Mon, 11 Nov 2019, 15:35
Midpoint: Mon, 11 Nov 2019, 18:19
Ends: Mon, 11 Nov 2019, 18:42
Duration: 3 hours, 7 minutes

Ukamba hata wanasiasa wa kutoka Kenya huja kufanya Matambiko Charity ni vizuri akuje asafishe nuksi za Wabaya wake.
 
Back
Top Bottom