Kila unaloliona katika utawala wa Rais Samia ni matokeo ya utawala wa Rais Magufuli

Kila unaloliona katika utawala wa Rais Samia ni matokeo ya utawala wa Rais Magufuli

Magufuli hakuhitaji watu wa kumpamba na kumuumbia sifa bali utendaji wake ndio ulimbeba.. unakumbuka watu kujaa kwenye tv kila saa 2 usiku kuangalia taarifa ya habari leo hayo yapo ?
 
... kila jambo ni muendelezo tokea kuumbwa kwa Dunia!
Ulitaka Samia atelekeze yote ya Magufuli aanze yake?
😅
 
Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.


❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫📛📛📛📛📛📛📛📛📛📛😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡

Acha uongo
 
Bandari, machinga, installation charges za umeme for first time, mbuga za wanyama, 4R, kufa kwa mwendo kasi, kusua sua kwa ATC, bunge live, ziara za mara kwa mara nje ya nchi nk haya sio ya Magufuli . Tudanganye na mengine
Bandari ina nini?? Charge za umeme ? Mbuga za wanyama zimefanyaje? Au ile kuoeleka twiga chato burigi,mwendo kasi upi umekufa leo nimepanda,bunge live lilizuiwa kipindi cha nani?ziara ndio zimeleta mafanikio hadi uliyoyaona jana na leo
 
Mao aliacha Mimba nyingi sana.
Sasa wajukuu chuki wamezaliwa na wamebalehe.
 

Attachments

  • IMG_1363.jpeg
    IMG_1363.jpeg
    99 KB · Views: 3
Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
JPM.Hakuongoza nchi kidhalili hivi.
 
Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
Hakika kila kitu.

Nishati Safi - SGR- ATL n.k
 
FLYOVERS
MADARAJA
UMEME RUFIJI
RELI YA UMEME
VYETI FEKI
ULAJI WA BAGAMOYO
ETC ETC
RIP JPM
 
Wewe na mleta mada wote wapuuzi tu, bila shaka nyie ni vyeti feki...Legacy ya JPM hamtaifuta Kwa kuandika vijisiredi vyenu humu, maana anaishi mioyoni mwa watanzania walio wengi na bado wanamlilia hasa baada ya nchi kuangukia Kwa wapiga madili na viongozi wakosa maono.
Kila anayemkosoa magufuli alikuwa na cheti fake? Yeye mwenyewe kama PhD yake ingekuwa halali Ben Saa8 angepotea?
Kuhusu uigaji wa dili, CAG Assad alipobainisha upotevu wa 1.5T, magu alimtendea nini? Pesa ya 'plea bargain' iliingia account ipi? Kwanini magu alizuis hesabu za Atcl zisikaguliwe na CAG?
 
Utakuja kufa ukiwa mchawi na bado utawasingizia wazazi wako kukufanya uwe mchawi
 
Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
Kwaiyo mpaka unatowa pongezi uchawa umekwisha ?
 
Back
Top Bottom