Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben yuko kitengoni usiwe tutusa kama Retired 😀Hapana chake ndio kilikuwa halali, RIP Bensaanane.
we nitukaneBen yuko kitengoni usiwe tutusa kama Retired 😀
Wewe ni rafiki yangu 😄we nitukane
Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
Bandari ina nini?? Charge za umeme ? Mbuga za wanyama zimefanyaje? Au ile kuoeleka twiga chato burigi,mwendo kasi upi umekufa leo nimepanda,bunge live lilizuiwa kipindi cha nani?ziara ndio zimeleta mafanikio hadi uliyoyaona jana na leoBandari, machinga, installation charges za umeme for first time, mbuga za wanyama, 4R, kufa kwa mwendo kasi, kusua sua kwa ATC, bunge live, ziara za mara kwa mara nje ya nchi nk haya sio ya Magufuli . Tudanganye na mengine
JPM.Hakuongoza nchi kidhalili hivi.Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
Hakika kila kitu.Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
cc-Saanane.Cheti cha lile shetani lenu la Chato ndo kilikuwa fake
Unajua nyie vyeti fake mna matatizo ya akili sana.Mungu aongeze kuni kwa shetani yule.
Kila anayemkosoa magufuli alikuwa na cheti fake? Yeye mwenyewe kama PhD yake ingekuwa halali Ben Saa8 angepotea?Wewe na mleta mada wote wapuuzi tu, bila shaka nyie ni vyeti feki...Legacy ya JPM hamtaifuta Kwa kuandika vijisiredi vyenu humu, maana anaishi mioyoni mwa watanzania walio wengi na bado wanamlilia hasa baada ya nchi kuangukia Kwa wapiga madili na viongozi wakosa maono.
Kwaiyo mpaka unatowa pongezi uchawa umekwisha ?Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.