Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #41
Hawa vijana wapumbavu hawajui chochote katika nchi hii. Wajinga sana achana naoKila anayemkosoa magufuli alikuwa na cheti fake? Yeye mwenyewe kama PhD yake ingekuwa halali Ben Saa8 angepotea?
Kuhusu uigaji wa dili, CAG Assad alipobainisha upotevu wa 1.5T, magu alimtendea nini? Pesa ya 'plea bargain' iliingia account ipi? Kwanini magu alizuis hesabu za Atcl zisikaguliwe na CAG?
Hebu tupeni uzoefu wenu nyie mazombie wenye elimu ya kukariri?Unajua nyie vyeti fake mna matatizo ya akili sana.
Umessahau na kile kivuko cha bwagamoyo alichokabidhi geshi.FLYOVERS
MADARAJA
UMEME RUFIJI
RELI YA UMEME
VYETI FEKI
ULAJI WA BAGAMOYO
ETC ETC
RIP JPM
Katika Marais mafisadi waliowahi kutawala hii nchi jiwe ni nambari mojaUmesshau na kile kivuko cha bagamoyo alichokabidhi jwtz.
Umesahau na nyumba za serikali alizogawia mahawara.
Unaudanganya Umma wazi wazi hivi hivi🤣🤣🤣🤣🤣Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
Sugu gang watasema wanaenda na Kibaraka Lisu cc johnthebaptistMimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
Unakariri tu na huna ulijualo.Katika Marais mafisadi waliowahi kutawala hii nchi jiwe ni nambari moja
Sugu gang watasema wanaenda na Kibaraka Lisu cc johnthebaptist
Baelezeeee baeleweee.FLYOVERS
MADARAJA
UMEME RUFIJI
RELI YA UMEME
VYETI FEKI
ULAJI WA BAGAMOYO
ETC ETC
RIP JPM
Baeleze hao bana hasira banarudishwa na pingu, Trump kaamua.Magufuli hakuhitaji watu wa kumpamba na kumuumbia sifa bali utendaji wake ndio ulimbeba.. unakumbuka watu kujaa kwenye tv kila saa 2 usiku kuangalia taarifa ya habari leo hayo yapo ?
Ww ndio bwege lakutupwa, jinga ni ww hapa, akili huna na cc wa CHADEMA hatukuhitaji huku.Hawa vijana wapumbavu hawajui chochote katika nchi hii. Wajinga sana achana nao
Pia liongezewe moto kum la mama yako.Mungu aongeze kuni kwa shetani yule.
Wewe utakuwa fisadi au shoga mlionyooshwa na Magufuli na bado anawanyoosha mpaka sasa ndio maana unamkumbuka hadi leo.Mimi si muumini wa siasa za CCM, nilichukizwa zaidi na CCM ya Magufuli kuliko utawala wowote ule.
•Mambo ya watu kuishi kwa kutegemea uchawa Tanzania tulikuwa hatuyajui lakini kwenye utawala wa Magufuli ndipo uchawa ulipokuwa ajira rasmi. Kulikuwa na watu wao kazi yao asubuhi mpaka usiku ni kumsifia Magufuli tu.
Yanayofanyika sasa ni reflection tu ya utawala wa Magufuli.
Mmesahau akina Musiba, wasanii walivyopewa kofia za kijani na matukio mengine?
•Watu hawakuruhisiwa hata kutamka jina la Magufuli kwa mtazamo hasi, kumtaja Magufuli pasipo kumwagia sifa kwenye chombo chochote cha habari lilikuwa kosa kubwa la kuhatarisha uhai wako.
•Kikundi kidogo almaarufu Sukuma gang kilikuwa na nguvu ya kuamuru huyu afungwe, huyu atekwe, huyu apewe kesi ya uhujumu uchumi, yule apewe kesi ya madawa ya kulevya.
Hili sasa limepungua. Hongera utawala wa Rais Samia.
KumCheti cha lile shetani lenu la Chato ndo kilikuwa fake
Mimi kipindi cha Magufuli nimepata sana pesa za serikali na kipindi hichi cha Samia napata sana pesa za serikali.Wewe utakuwa fisadi au shoga mlionyooshwa na Magufuli na bado anawanyoosha mpaka sasa ndio maana unamkumbuka hadi leo.
Wa ovyo ni mama yako aliyekuzaa ndio maana unaongea ovyo kwa Rais mpendwa wa TZ.Mimi kipindi cha Magufuli nimepata sana pesa za serikali na kipindi hichi cha Samia napata sana pesa za serikali.
Maisha yangu hayajatikiswa na utawala wa Magufuli au Samia.
Ila Magufuli alikuwa Rais wa hovyo sana, kila mwenye akili timamu anajua hilo
Huna hizo akili timamu.Mimi kipindi cha Magufuli nimepata sana pesa za serikali na kipindi hichi cha Samia napata sana pesa za serikali.
Maisha yangu hayajatikiswa na utawala wa Magufuli au Samia.
Ila Magufuli alikuwa Rais wa hovyo sana, kila mwenye akili timamu anajua hilo