Kila unaloliona katika utawala wa Rais Samia ni matokeo ya utawala wa Rais Magufuli

Hawa vijana wapumbavu hawajui chochote katika nchi hii. Wajinga sana achana nao
 
FLYOVERS
MADARAJA
UMEME RUFIJI
RELI YA UMEME
VYETI FEKI
ULAJI WA BAGAMOYO
ETC ETC
RIP JPM
Umessahau na kile kivuko cha bwagamoyo alichokabidhi geshi.
Umesahau na nyumba zilizogawiwa mahawara.
 
Unaudanganya Umma wazi wazi hivi hivi🤣🤣🤣🤣🤣

Pamoja na mapungufu yake, siezi andika Upumbavu na Ujinga wa 5G kuhusu marehemu Pombe Magufuli, pamoja na kuwa mimi ni CHADEMA

Sawa Kamwelle
 
Reactions: UCD
Sugu gang watasema wanaenda na Kibaraka Lisu cc johnthebaptist
 
FLYOVERS
MADARAJA
UMEME RUFIJI
RELI YA UMEME
VYETI FEKI
ULAJI WA BAGAMOYO
ETC ETC
RIP JPM
Baelezeeee baeleweee.

Kuna hao bengine banakaribia kurudishwa🤣🤣🤣🤣🤣 kwa uwongo yao.
 
Sera ya Uchawa ndiyo inachangia kuharibu regacy ya watu!
Aliyofanya Mkapa ni Kikwete alifanya,aliyofanya Kikwete ni Magufuri alifanya,aliyofanya Magufuri ni Mama aliyafanya!
One man show!
 
Wewe utakuwa fisadi au shoga mlionyooshwa na Magufuli na bado anawanyoosha mpaka sasa ndio maana unamkumbuka hadi leo.
 
Wewe utakuwa fisadi au shoga mlionyooshwa na Magufuli na bado anawanyoosha mpaka sasa ndio maana unamkumbuka hadi leo.
Mimi kipindi cha Magufuli nimepata sana pesa za serikali na kipindi hichi cha Samia napata sana pesa za serikali.
Maisha yangu hayajatikiswa na utawala wa Magufuli au Samia.
Ila Magufuli alikuwa Rais wa hovyo sana, kila mwenye akili timamu anajua hilo
 
Wa ovyo ni mama yako aliyekuzaa ndio maana unaongea ovyo kwa Rais mpendwa wa TZ.
 
Huna hizo akili timamu.
 
Reactions: UCD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…