Zinafanya kazi
Fanya Uninstall uinstall upya labda
Tatizo la Bein sports karibia zote ni HD so jipange kidogo
wakati Sky sports karibu zote ni SD 480p una uhakika wa kucheki match nzima bila tatizo la maana
NJM Soccer
Shahid Arabic
Phoenix
Hata hivyo kuna baadhi ya addons zinategemea upo sehemu/nchi gani ili zifanye kazi...(IP dependant)
Ila mkuu kuna ujanja mwingi wa kutazama live tv kwa Kodi si lazima addon tu...
Pia nimeweka IPTV m3u link kwa kutumia simple pvr hivyo si wakati wote natumia addons...
Basi siku nyingi sikuwa nineifuatilia maana kitambo wakati wa frodo au gotham (matoleo nyuma ya helix), apk zake ilikuwa unazipata moja kwa moja mtandao wa xbmc(kodi)...
Hiyo taarifa muhimu sana mkuu, now umenitoa wasi wasi mkuu, nilikuwa naona maluwe luwe tu hapa
Maelezo hapo juu ni kwa windows pc na sio kwa simu
Okey sasa nahitaj hizo kodi kwa ajili simu kaka
nimeintall ila nikitaka kuilunch napata ujumbe huo
kamanda wang hzo bein sport unazpata plugin gan au sehem gan
Hata kwa simu taratibu ni huohuo tu, nimefanikiwa kuweka kwenye simu kwa kufuata utaratibu huo.
Sawa kaka ila usjal nimepata MOBDRO Imenipa kila kitu nilichohitaaj kaka,yaan iko powa wala haina buffer za ajabu ajabu tena speed yangu iko 322/723 kbps na inarun powa sana kwa hd na sd zote
Tufundshe na cc umeipataja mkuu
Bein utazipata kwenye pak india live add-on
Aisee kodi safi sana jana nimestream movie ya mad max mwanzo mwisho bila shida na quality nzuri kabisa coz me huwa nasubiria torrents za yify ndio nicheki movie na bado ya madmax hajatoka so kodi imenisave sana... Big up chief mkwawa❕❕❕
Umepataje movies...maana nimetafta sijapa movies humo
Mkuu jaribu ku-uninstall then install upya na itawork vizuri tu