Kila Waziri aliyeteuliwa na Rais Samia ajiulize ataifanyia nini Wizara aliyopewa ili kuwasha taa ya matumaini kwa Watanzania

Kila Waziri aliyeteuliwa na Rais Samia ajiulize ataifanyia nini Wizara aliyopewa ili kuwasha taa ya matumaini kwa Watanzania

60yrs on huku lingusenguse hatuna maji Safi na salama, mpwapwa hawana nao na Dar imeanza mgao wa maji, ushauri wa kujenga mabwawa kama metro nyingi duniani mlipuuzia, underground drainage systems ya Dar serikali hii imeua maana tungekua na uwezo wa kufanya recycling ♻ ya maji
Kama hayajafika msiwe na Shaka endeleeni kumwamini mh Rais wetu mpendwa maana mawazo yake yapo katika kuona watanzania Tunapata maji Safi na salama
 
Back
Top Bottom