60yrs on huku lingusenguse hatuna maji Safi na salama, mpwapwa hawana nao na Dar imeanza mgao wa maji, ushauri wa kujenga mabwawa kama metro nyingi duniani mlipuuzia, underground drainage systems ya Dar serikali hii imeua maana tungekua na uwezo wa kufanya recycling ♻ ya maji