Kilangi aweza kuwa ndiye AG mbovu kuliko wote waliowahi kuhudumu nchini Tanzania tangu Wakoloni waondoke

Kilangi aweza kuwa ndiye AG mbovu kuliko wote waliowahi kuhudumu nchini Tanzania tangu Wakoloni waondoke

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuna Malalamiko kwamba uteuzi wake uligubikwa na uvunjifu mkubwa wa Katiba ya nchi , inasemekana pia hakuwa na sifa za kuteuliwa kuwa AG baada ya kuokotwa kutoka mahali kusikojulikana , sheria za nchi zinakataza kuokoteza popote AG.

Katika uongozi wa Kilangi ndio mahali sheria nyingi za kijinga zimeletwa bungeni na kupitishwa , ikiwemo hii mpya ya kumlinda "mhalifu" Ndugai asije kufungwa jela mwaka ujao , ni sheria inayoitia aibu nchi bila sababu yoyote ya msingi , kama Mahakama ni yao wanaogopa nini wahalifu wa makusudi kushitakiwa ?

Wachunguzi wa mambo wanaona kwamba pamoja na Mapungufu ya Mh Chenge wakati alipokuwa AG enzi zile lakini rekodi yake imevunjwa na Kilangi .

Ngoja tuone mwisho wake .
 
Wanasheria wa nchi hii hasa walioko serikalini ni bure kbs..eti naye anajiita mwanasheria msomi..shenz kbs. Historia itamkumbuka kwa upimbi wa kutumika na wanasiasa madikteta...wanasiasa wasiojitambua
 
Huyo AG alitafutwa makusudi kwa kazi maalum, lile sakata la 1.5t liliwashtua sana hawakutegemea, wakaona wamuweke wakufuata midundo ya ngoma zao, ili wawe huru kufanya mambo yao.
 
Huyo AG alitafutwa makusudi kwa kazi maalum, lile sakata la 1.5t liliwashtua sana hawakutegemea, wakaona wamuweke wakufuata midundo ya ngoma zao, ili wawe huru kufanya mambo yao.
AG alihusika vipi na hoja ya 1.5 tril ambayo PAC walishaitolea majibu siku nyingi tu?
 
Wanasheria wa nchi hii hasa walioko serikalini ni bure kbs..eti naye anajiita mwanasheria msomi..shenz kbs ... historia itamkumbuka kwa upimbi wa kutumika na wanasiasa madikteta...wanasiasa wasiojitambua
Ukiwa Msomi ukaingia CCM ile Taaluma yote hujifuta kichwani Automatic na kubakia na Elimu ya darasa la pili au la nne ndiyo maana hata Bungeni kibajaji na Msukuma ni darasa la saba lakini huaminika na Spika kuliko wale wanaojiita wasomi
 
Kutunga Sheria ya kumlinda Ndungai aliyepiga bilion 12 kule India ni uadilifu na weledi?
Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini? Sheria ipo wazi hii inamhusu kumshitaki kwa makosa ambayo yanahusu utendaji wake wa kazi.Ndio maana unapeleka mashitaka kwa Ag.

Lakini yeye binafsi kama akifanya ufisadi wapi imezuiwa kumshitaki?
 
Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini? Sheria ipo wazi hii inamhusu kumshitaki kwa makosa ambayo yanahusu utendaji wake wa kazi.Ndio maana unapeleka mashitaka kwa Ag.
Lakini yeye binafsi kama akifanya ufisadi wapi imezuiwa kumshitaki?
Minyoo huyu huwezi kubland Minyoo ukawa na akili
 
Back
Top Bottom