Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna Malalamiko kwamba uteuzi wake uligubikwa na uvunjifu mkubwa wa Katiba ya nchi , inasemekana pia hakuwa na sifa za kuteuliwa kuwa AG baada ya kuokotwa kutoka mahali kusikojulikana , sheria za nchi zinakataza kuokoteza popote AG.
Katika uongozi wa Kilangi ndio mahali sheria nyingi za kijinga zimeletwa bungeni na kupitishwa , ikiwemo hii mpya ya kumlinda "mhalifu" Ndugai asije kufungwa jela mwaka ujao , ni sheria inayoitia aibu nchi bila sababu yoyote ya msingi , kama Mahakama ni yao wanaogopa nini wahalifu wa makusudi kushitakiwa ?
Wachunguzi wa mambo wanaona kwamba pamoja na Mapungufu ya Mh Chenge wakati alipokuwa AG enzi zile lakini rekodi yake imevunjwa na Kilangi .
Ngoja tuone mwisho wake .
Katika uongozi wa Kilangi ndio mahali sheria nyingi za kijinga zimeletwa bungeni na kupitishwa , ikiwemo hii mpya ya kumlinda "mhalifu" Ndugai asije kufungwa jela mwaka ujao , ni sheria inayoitia aibu nchi bila sababu yoyote ya msingi , kama Mahakama ni yao wanaogopa nini wahalifu wa makusudi kushitakiwa ?
Wachunguzi wa mambo wanaona kwamba pamoja na Mapungufu ya Mh Chenge wakati alipokuwa AG enzi zile lakini rekodi yake imevunjwa na Kilangi .
Ngoja tuone mwisho wake .