Kilangi aweza kuwa ndiye AG mbovu kuliko wote waliowahi kuhudumu nchini Tanzania tangu Wakoloni waondoke

Kilangi aweza kuwa ndiye AG mbovu kuliko wote waliowahi kuhudumu nchini Tanzania tangu Wakoloni waondoke

Kuna Malalamiko kwamba uteuzi wake uligubikwa na uvunjifu mkubwa wa Katiba ya nchi , inasemekana pia hakuwa na sifa za kuteuliwa kuwa AG baada ya kuokotwa kutoka mahali kusikojulikana , sheria za nchi zinakataza kuokoteza popote AG.

Katika uongozi wa Kilangi ndio mahali sheria nyingi za kijinga zimeletwa bungeni na kupitishwa , ikiwemo hii mpya ya kumlinda "mhalifu" Ndugai asije kufungwa jela mwaka ujao , ni sheria inayoitia aibu nchi bila sababu yoyote ya msingi , kama Mahakama ni yao wanaogopa nini wahalifu wa makusudi kushitakiwa ?

Wachunguzi wa mambo wanaona kwamba pamoja na Mapungufu ya Mh Chenge wakati alipokuwa AG enzi zile lakini rekodi yake imevunjwa na Kilangi .

Ngoja tuone mwisho wake .
Usihangaike Erythrocyte, nakuhakikishia kuwa nafasi zote za uteuzi zilizofanyika baada ya 2016 ni watu wabovu ambao dunia haijapata kushuhudia kutokea Tanzania!
Jaribu kutafuta hata mmoja tuu unitajie ambaye ni bora aliyepo katika ofisi ya umma.
Kumbuka hata uwe mzuri kiasi gani, kama unayaona mabovu kwa nafasi yako hata kunyamaza kwako ni ubovu mkubwa
 
Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini? Sheria ipo wazi hii inamhusu kumshitaki kwa makosa ambayo yanahusu utendaji wake wa kazi.Ndio maana unapeleka mashitaka kwa Ag.
Lakini yeye binafsi kama akifanya ufisadi wapi imezuiwa kumshitaki?
Ondoa akili yako mbovu hapa. Yule mwendawazimu anayeingiza watu bungeni ambao wamehama vyama au kufukuzwa uanachama wa vyama vyao alindwe kwa faida ya nani!? Takataka sana.
 
Ondoa akili yako mbovu hapa. Yule mwendawazimu anayeingiza watu bungeni ambao wamehama vyama au kufukuzwa uanachama wa vyama vyao alindwe kwa faida ya nani!? Takataka sana.
Vijana wa ccm ndani ya vichwa vyao nadhani kumewekwa uji wa ulezi
 
Hapa nionacho ni ueledi wa jamaa unaibua madudu ya watu fulani. Huwezi mpenda ktk hilo!
 
ni kweli , si ndio kashauri Mwambe arudi bungeni kwa tiketi ya ccm bila uchaguzi !
Dah..
Nyie kweli bavicha! Hivi Mwambe yuko pale kwa tiketi ya sisiemu? Kweli acha Mungu aitwe Mungu, laana za usaliti kwa nchi sasa zinaonekana wazi. Bavicha wamewehuka laivu!
 
jana nilipoona huu uzi nikafanya tafiti,nikawauliza wajuba hapa ofisini wanitajie jina la AG. hakuna aliyeweza
 
inawezekana uko sahihi lakin mbona hoja yako iko general sana,hebu kuwa specific nasisi tupate mwanga,ni sifa gani ambazo AG anatakiwa awe nazo ambazo huyu wa sasa hana????
Mjadala huu umejadiliwa kwa kirefu sana humu jukwaani hatutarudia , tafuta uzi wa uteuzi wa Kilangi kila kitu kimejadiliwa mle mpaka kesi zilifunguliwa kupinga uteuzi wake , kwa sababu ulivunja sheria za nchi
 
Sifa ya kwanza lazima awe amehudumu ndani ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali
inawezekana uko sahihi lakin mbona hoja yako iko general sana,hebu kuwa specific nasisi tupate mwanga,ni sifa gani ambazo AG anatakiwa awe nazo ambazo huyu wa sasa hana????
Je sifa hiyo anayo?
 
Kilangi ni "Victim of Circumstances", hii hali inawakumba wote wanaohudumu katika utawala huu kwa sasa. Wanalazimika kucheza muziki wowote unaopigwa na DJ...!!!!

Sasa hivi taasisi zote zimekufa na zimebakia kwenye makaratasi tu, sio ya Kilangi peke yake.

Mwaka 1974 aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Uganda alimwambia aliyekuwa rais Dictator Idi Amin kuwa serikali haikuwa kabisa na fedha ndipo Amin alipomwambia huyo Gavana kuwa:

"Print more money, the governments never go bankrupt because they're the ones who print money, so you just print more money".

Na huyo Gavana alifanya hichohicho alichoagizwa na rais wake na kilichofuata ni historia sasa ila tunakumbuka tuliyokuwepo.

Hivyo watu waoga hufanya kazi kulingana na matakwa ya bosi wao na wala hawawajibiki kufuata matakwa ya taaluma yao au hata weledi ila kwa wenzetu wazungu hili halipo kabisa...!!!!

Miaka ya nyuma wakati dikteta Al Bashir akiitawala Sudan, aliwahi kuamuru watu waliopatikana na hatia kwa makosa ya wizi wapelekwe hospitalini na madaktari wawakate mikono.

Walivyofikishwa hospitalini madaktari walikataa kutii amri hiyo wakidai ilikuwa ni kinyume cha maadili ya taaluma yao kumkamata mtu kiungo bila sababu za kitiba (Without Underlying Medical Grounds) lkn pamoja na kutishiwa kufungwa jela, madaktari walishikilia msimamo wao na kizaazaa kiliisha baada ya nchi za nje kuingilia na madaktari kuachiwa bila masharti.

Hivyo watu wenye misimamo kama madaktari wa Sudan kwa bahati mbaya Tanzania hatunao, tuna watu wanaoona fursa za kuteuliwa kama "Privilege" inayomfanya amuabudu aliyemteua na kusalimisha maadili ya taaluma yake. Tuna safari ndefu sana kuja ku-catch up na wengine.
 
Kuna Malalamiko kwamba uteuzi wake uligubikwa na uvunjifu mkubwa wa Katiba ya nchi , inasemekana pia hakuwa na sifa za kuteuliwa kuwa AG baada ya kuokotwa kutoka mahali kusikojulikana , sheria za nchi zinakataza kuokoteza popote AG.

Katika uongozi wa Kilangi ndio mahali sheria nyingi za kijinga zimeletwa bungeni na kupitishwa , ikiwemo hii mpya ya kumlinda "mhalifu" Ndugai asije kufungwa jela mwaka ujao , ni sheria inayoitia aibu nchi bila sababu yoyote ya msingi , kama Mahakama ni yao wanaogopa nini wahalifu wa makusudi kushitakiwa ?

Wachunguzi wa mambo wanaona kwamba pamoja na Mapungufu ya Mh Chenge wakati alipokuwa AG enzi zile lakini rekodi yake imevunjwa na Kilangi .

Ngoja tuone mwisho wake .
Nimeikuta sehemu
Screenshot_20200607-132551_1591525687635.jpeg
 
Huna akili ww
Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia nini? Sheria ipo wazi hii inamhusu kumshitaki kwa makosa ambayo yanahusu utendaji wake wa kazi.Ndio maana unapeleka mashitaka kwa Ag.
Lakini yeye binafsi kama akifanya ufisadi wapi imezuiwa kumshitaki?
 
Ndugu unataka afanye nn?n ngumu sana kukata.mkono unaokulisha,na kila aliejarbu kufanya hvyo yamemkuta huon hao waliokwenda kuungama kwa bwana mkubwa
 
Back
Top Bottom