Kile kiapo cha damu hiki hapa

Sumu inatokana na kuwa ile damu haikua designed kuliwa au kurudi kwenye njia ya chakula.
Ni uchafu.Ni zaidi ya kula kinyesi.
Ok menstrual blood ni dawa.Ila katika jamii yangu ni sumu.Nasikja inaua taratibu na utakufa zaidi ya mgonjwa wa UKIMWI
We hapa naona uko spiritual... Damu ni uhai.so unapo kunywa dam inakua umeingiza uhai mwingine ndani yko...kwa hiyo hapo kuna vitu lazima viende tofauti..kiuhalisia
 
Tunaviita viapo vya siri vyenye agano la damu,vinaapwa na drug cartels kama sinaloa ,criminal gangs kama The bloods na Aryan brotherhood,secret societies kama Rosicrucians,Jesuits na freemasons
 
Tunaviita viapo vya siri vyenye agano la damu,vinaapwa na drug cartels kama sinaloa ,criminal gangs kama The bloods na Aryan brotherhood,secret societies kama Rosicrucians,Jesuits na freemasons
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
What will happen if nikaenda againt na kiapo tulichokubaliana niliisikia hiyo kitu week 2 zilizopita nataka nijue curse yake inakuwaje nikienda kinyume na kiapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…