Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
iyo noma tena ina hangover ya ajabuHanson's choice, kunywa hiyo inanukia Nazi flani ivi
Duh! Haya sasa mauaji.
Ndio maana umechorewa na fuvu kabisa.Duh! Haya sasa mauaji.
Inatakiwa kabla hujaanza kuinywa uandike wosiaNdio maana umechorewa na fuvu kabisa.
Hiyo ukionja hata kifuniko kimoja ni sawa na kunywa maji ya betri au sulphuric acid.
Uhalifu dhidi ya binadamuπ€£π€£
Hiyo ni whiskyAnza na jack daniels huku una bangi ya arusha pembeni
hii ina bei gani mkuu
Na akianza haachiHahahahha atapata ukaribisho murua.
Hatari mno..inaumbuaNi kama juice UkiNywa Ukiwa umekaa hulewi useme ngoja niamke sasa aloo πππ
Wanywaji na walevi waandamizi na wabobezi Karibuni. Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini.
Wekeni na sifa zake.
Wewe una leseni ndogo sana kwenye mitulinga.iyo noma tena ina hangover ya ajabu
Nimeshakunywa nimerudi maskani.Njoo hapa meza kuu
Smirnoff, sema wengi ata hawajawahi kunywa hapo wanaenda na trend.
Ndio maana umechorewa na fuvu kabisa.
Hiyo ukionja hata kifuniko kimoja ni sawa na kunywa maji ya betri au sulphuric acid.
Nimeacha mkuu.Achana na pombe mkuu