Kilevi gani kizuri kwa wanaoanza?

Hio pombe kuna jamaa alikua nayo,amekaa sehemu na jamaa zake,akamtuma mdogo wake akailete,dogo kufika tamaa zake akamimina kidogo ashtue ndio apeleke,ndio ikawa mwisho wa yule dogo kuishi...
Ndio maana umechorewa na fuvu kabisa.

Hiyo ukionja hata kifuniko kimoja ni sawa na kunywa maji ya betri au sulphuric acid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…