chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,507
Huyu Masai Hana muda sana tangu aingie au kujiunga social media kama Instagram na TikTok ila followers wanazid Kwa Kasi ya 5G,na Hana hata miaka 4 .
Diamond, Millard, Wema, Shilole na wengine hasipokuwa wabunifu anaenda kuwapita followers Kama upepo
Je huyu ni nan? Ana mvuto gani mpaka aongoze kuwa na followers TikTok kuliko wote Tanzania pia Instagram ana followers million kumi
Au followers wake wengi ni wahindi 🤣🤣🤣🤣
Diamond, Millard, Wema, Shilole na wengine hasipokuwa wabunifu anaenda kuwapita followers Kama upepo
Je huyu ni nan? Ana mvuto gani mpaka aongoze kuwa na followers TikTok kuliko wote Tanzania pia Instagram ana followers million kumi
Au followers wake wengi ni wahindi 🤣🤣🤣🤣