TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Mboga hiyoHuyu Masai Hana MDA sana tangu aingie au kujiunga social media kama Instagram na TikTok ila followers wanazid Kwa Kasi ya 5G,na Hana hata miaka 4...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboga hiyoHuyu Masai Hana MDA sana tangu aingie au kujiunga social media kama Instagram na TikTok ila followers wanazid Kwa Kasi ya 5G,na Hana hata miaka 4...
nadhani ni muhimu sana wakafanya kazi yao, ikiwa wamebaini ya kwamba kuna changamoto ya kimaudhui, kimaadili, kanuni, vigezo na masharti mahususi kulingana na utaratibu,Tlaatlaah Uzi wako wameufyekelea mbali🥺...yani moderators hawapendi m nifurahi ...
Siyo kirahisi. Creators wa mitandaoni ni kama watengeneza vipindi vya televisheni zamani.Watu wanalilia comments na likes alooh.
Mimi naamin jamii inayotegemea pesa kwa njia nyepes nyepes hata kama kweli wanazipata bado ni jamii inayokwenda kufa kwa kishindo cha wakoma.
Wamekatishaaa🤣🤣nadhani ni muhimu sana wakafanya kazi yao, ikiwa wamebaini ya kwamba kuna changamoto ya kimaudhui, kimaadili, kanuni, vigezo na masharti mahususi kulingana na utaratibu,
binafsi sina tatizo kabisa na hilo madam Nyamwi255 🐒
ama wamekatisha Furaha yako ghafla 🤣
Too many Stupidy in one commentWatu wanalilia comments na likes alooh.
Mimi naamin jamii inayotegemea pesa kwa njia nyepes nyepes hata kama kweli wanazipata bado ni jamii inayokwenda kufa kwa kishindo cha wakoma.
alaa..Wamekatishaaa🤣🤣
wabongo bhana🤣🤣🤣🤣Kwani wa india sio watu?Huyo wengi walio mfuata ni wa India.
Leo nyoka halambi ungaKili umekuja na huku kutafuta followers au sio.....
Kwan wahindi Sio watu? Tena ndio advantage kwake maana anakuwa kimataifaIndia ndiyo nchi yenye watu wengi kuliko zote duniani.
Kwani shida Iko wapi mbona fresh TUHapo mgawanyo wa followers wake uko hivi
Wahindi : 10,099, 914
Watanzania : 86
jumla Followers 10,100,000.
Awekeze kwenye kujifunza kihindi na ahamie India atengeneze pesa
Kwani mimi nimesema wahindi si watu?Kwan wahindi Sio watu? Tena ndio advantage kwake maana anakuwa kimataifa
Yani mkuu katika yote umeliona hilo? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Huyo sophia amelowa ni nani?
Tanzania ni rahisi sana watu kupata followers kwenye social media. Hii ni kwa sababu mtanzania akiwa na simu ana-follow na ku-subscribe kwa kila kitu kinachokuja mbele yao. Yaani unakuta mtu ana-follow watu maarufu wote. Halafu pia watu wanabadilisha badilisha sana namba za simu.Hapo mgawanyo wa followers wake uko hivi
Wahindi : 10,099, 914
Watanzania : 86
jumla Followers 10,100,000.
Awekeze kwenye kujifunza kihindi na ahamie India atengeneze pesa
Hujasema,ila nimeuliza swali tu unijibu..ivi wahindi ni watu au Sio watu?? hakuna sehem nimeandika kuwa umesema wahindi SI watuKwani mimi nimesema wahindi si watu?
HahahahaTanzania ni rahisi sana watu kupata followers kwenye social media. Hii ni kwa sababu mtanzania akiwa na simu ana-follow na ku-subscribe kwa kila kitu kinachokuja mbele yao. Yaani unakuta mtu ana-follow watu maarufu wote. Halafu pia watu wanabadilisha badilisha sana namba za simu.