Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Nimepitia uzi mwanzo mwisho.
Matukio yanajulikana , lakini hapa JF watu wanaongea kwa mafumbo, si aheri mtumiane ujumbe wassapu tu kieleweke mna habari za kwapani?
 
Endeleeni kupiga porojo.
20230318_181021.jpg
 
Mi sijasoma kitabu chochote ila nilijua tu mnyampaa ni Ile habari ya ivumayo haidumu ataumia tu one day japo alipigania uhai over 38 bullets akawin because what he was doing according to movies of the old kingdoms kama Tudor Monarchy was 'treason' kwa kumtukana au kumkashifu Rais openly Tena kwa majigambo na wakati mwingine kutunishiana misuli na Rais inatakuwa uende mavumbini tu hakuna namna! Nyerere aliwahi kusema unaweza kutikisa waziri Mkuu au makamu wa Rais iko poa tu ila ni mwiko kumtikisa Rais maana akitingishika nchi pia inatingishika na kuyumba na inaweza kuanguka mkafa ovyo ovyo!!

Baba Mwendazake nae siku moja Niko mitaani uzunguni nasikia huko bongo Mzee sijui kalipuka kwa sifa na kafukuza mawaziri mafisadi na wale mizigo mara tena kafukuza wakandarasi feki mara kaenda kuwadai kodi Yale makwepaji makubwa mahindi nikasema Mungu wangu muungalie huyu Mzee wa bush chuato sijui Bulldozer anajipalia makaa Bure kwa kuleta maendeleo yasiyotakiwa na wale waliojivisha mamlaka ya wao kuishi duniani milele!! Niliona kwa kutafakari sana ila sikujua itakuwa lini! Pole sana familia yake.
 
Duuuh, hivi kweli unadiriki kutunga uongo hadi wewe mwenyewe unajisikia aibu ..hivi kweli hata nyie mnaowalipa hawa pimbi hamuangalii hata japo ubora wa story? Huyu msimpe 7000 kabisa...huu uongo uko chini ya kiwango kabisaaaaa....asilipwe
Baki hivyo hivyo lakini huo ndio ukweli robo na Kwa taarifa Yako naweza kukulipa hizo buku 7 in us Dola Kwa wiki hapa Ontario.
 
Tundu Lissu ni mbwa koko kama mbwa wengine,tujadilini mambo ya msingi taifa linakwenda mrama,majizi yamerejea kwa kasi,mfumuko wa bei ya bidhaa unatisha,come with the way forward,sio kila siku kumjadili kilema msaliti


PATHETIC
Alikugusa kunako Nini mkuu sio Kwa chuki hizi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni rahisi mtu yoyote kusema ulichosema ww, labda Lisu atoke hadharani aseme hii hekaya yako.
Nyie wafuasi wa zumaridi mna shida sana,kwahiyo kila asemacho lissu ndi cha ukweli [emoji23][emoji23][emoji23] hii aibu kwa mtu kama wewe.
 
Duuuh, hivi kweli unadiriki kutunga uongo hadi wewe mwenyewe unajisikia aibu ..hivi kweli hata nyie mnaowalipa hawa pimbi hamuangalii hata japo ubora wa story? Huyu msimpe 7000 kabisa...huu uongo uko chini ya kiwango kabisaaaaa....asilipwe
Kama mabox ya kura feki zilizojazwa jina la gwajima na zingine mkumbo yanaletwa Live kwenya magari yaliyoandikwa PT, kama tume ya uchaguzi inaweza kuchapisha form Moja ya mgombaea urais wa ccm unadhani ni kitu Gani kinashindikana hapa nchini?
 
Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.

Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.

Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.

Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.

Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.

Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.

Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.

Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
FITINA !! Mmmh !
 
Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.

Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.

Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.

Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.

Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.

Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.

Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.

Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Wakomunist na propaganda ni damu damu. Ila kwa hii inaonekana ni jinsi gani level ilivyoshuka chini. Ni muda sasa either CCM aachane na siasa za propaganda au wawafanyie training. Ikiwezekana mpelekwe China kwenye kitovu........!!
 
Mlitumia njia ngumu isiyo na tija,manunuzi,utekaji,vitisho,mazuio ya mikutano, kufunga watu,kubambika kesi,kuua,kuzuia bunge,kuminya UHURU wa habari,nk na ndio kwanza upinzani ulipambana moto mkashindwa kuuzima hadi mkaiba kura na kupora uchaguzi, chek mama katumia njia nyepesi tena bila gharama wala stress ya kuwanyamazisha wapinzani na wametulia tu na 2025 hawatosimamisha mgombea.
 
Back
Top Bottom