Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kala za Lowasa akalamba za jiwe,jiwe akamsweka ndani kupitia mashahidi feki kina kingai, good luck,na mahitaIla Mbowe noma sana 😄😄😄😄
Kumbe wote walivuta MIKWANJA. Ndio maana walipokuwa wakinunuliwa wabunge na madiwani, waliufyata!Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.
Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.
Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.
Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.
Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.
Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.
Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.
Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Shule kidogo. Huyo alikuwa ni Operation Director wa Idara. Ukisikia Idara "imeua" ni lazima kuwa na video kama ushahidi Kwa aliyewatuma. Zilihigadhiwa kwenye flashi. Huyu jamaa ndiye alikuwa nazo haziachi ofisini wala nyumbani. Anazo kwenye gari huku Kigogo2014 anazitaka kuonesha Dunia kwamba Jiwe liuaji. Baada ya ajali kigogo alisema, "Meku naona .....ameacha flashi zote katika mikono salama". Niishie hapo.
Tiss High Degree alifarikiBalozi ni Slowslow huyo wa miguu sijui
Unapoona taasisi zetu takatifu zinatumika kujenga hoja hafifu namna hii maana yake ni kuwa kama nchi tumepoteza uelekeo.Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.
Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.
Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.
Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.
Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.
Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.
Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.
Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Umeelewa nilichoquote?Nyie wafuasi wa zumaridi mna shida sana,kwahiyo kila asemacho lissu ndi cha ukweli [emoji23][emoji23][emoji23] hii aibu kwa mtu kama wewe.
Anaitwa nyaulingo..kuna bwana mmoja ni kigogo wa idara ya usalama inadaiwa alipata ajali mbaya ya gari maeneo ya bagamoyo na kuumia miguu.
NyaulingoShule kidogo. Huyo alikuwa ni Operation Director wa Idara. Ukisikia Idara "imeua" ni lazima kuwa na video kama ushahidi Kwa aliyewatuma. Zilihigadhiwa kwenye flashi. Huyu jamaa ndiye alikuwa nazo haziachi ofisini wala nyumbani. Anazo kwenye gari huku Kigogo2014 anazitaka kuonesha Dunia kwamba Jiwe liuaji. Baada ya ajali kigogo alisema, "Meku naona .....ameacha flashi zote katika mikono salama". Niishie hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23] unataja billion kma unataja maandazi ya tandale ....kweli chama kinaundwa na watu mavi mavi ....sasa kwann msimkamate kigogo huko mitandaoni anaandika habar zenu Kila leoKama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.
Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.
Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.
Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.
Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.
Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.
Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.
Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Na matusi kibao ya kila aina !!Wakomunist na propaganda ni damu damu. Ila kwa hii inaonekana ni jinsi gani level ilivyoshuka chini. Ni muda sasa either CCM aachane na siasa za propaganda au wawafanyie training. Ikiwezekana mpelekwe China kwenye kitovu........!!
Kama ilikuwa hivyo, kwa nini wamsubirie TL mpaka kwenye ule wakati wa malumbano yake na Serikali kuhusiana na makininika?Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.
Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.
Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.
Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.
Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.
Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.
Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.
Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Alie msweka ndani mbowe ni jiwe au mama?Kala za Lowasa akalamba za jiwe,jiwe akamsweka ndani kupitia mashahidi feki kina kingai, good luck,na mahita
Huja malizia na kufariki baada ya ajali ya mguu..kuna bwana mmoja ni kigogo wa idara ya usalama inadaiwa alipata ajali mbaya ya gari maeneo ya bagamoyo na kuumia miguu.
Balozi ni Taratibu wa MalawiBalozi na mkosa miguu bagamoyo ni nani hawa watu?????
Nchi ngumu sana hii