Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Kilichofanya Tundu Lissu apigwe risasi hadharani hiki hapa

Hizi siasa thus mdee na wenzake nao wakalamba, Mbowe anajua michezo yote ya covid-19,Mbowe ni kengeza aisee yaani analamba na kufuta fasta, Mbowe ni mfanyabiashara wa siasa anacheza na akili sana.
 
Tukio la Dodoma lilipangwa kishamba Sana na watu washamba Sana types yaa bashite na musiba walio kuwa na uwezo wa kupata silaha tu
 
Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.

Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.

Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.

Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.

Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.

Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.

Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.

Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Kumbe wote walivuta MIKWANJA. Ndio maana walipokuwa wakinunuliwa wabunge na madiwani, waliufyata!
 
Shule kidogo. Huyo alikuwa ni Operation Director wa Idara. Ukisikia Idara "imeua" ni lazima kuwa na video kama ushahidi Kwa aliyewatuma. Zilihigadhiwa kwenye flashi. Huyu jamaa ndiye alikuwa nazo haziachi ofisini wala nyumbani. Anazo kwenye gari huku Kigogo2014 anazitaka kuonesha Dunia kwamba Jiwe liuaji. Baada ya ajali kigogo alisema, "Meku naona .....ameacha flashi zote katika mikono salama". Niishie hapo.

Jiwe alitaka ushahidi wa video na sio maneno kwamba mkosoaji ameshachukuliwa na mtoa roho.
Stupid unaua mwanadamu mwenzio kisa tumbo then na wewe unakufa nini zaidi ya kuukimbiza upepo.
 
Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.

Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.

Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.

Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.

Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.

Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.

Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.

Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Unapoona taasisi zetu takatifu zinatumika kujenga hoja hafifu namna hii maana yake ni kuwa kama nchi tumepoteza uelekeo.

I less care who paid any amount. The core concept ni movement iendelee kwa sababu bila hivyo nchi itazama. Tujengeane uwezo wa kuwa na hoja za kitaifa badala ya hizi ishu za kutunga
 
Shule kidogo. Huyo alikuwa ni Operation Director wa Idara. Ukisikia Idara "imeua" ni lazima kuwa na video kama ushahidi Kwa aliyewatuma. Zilihigadhiwa kwenye flashi. Huyu jamaa ndiye alikuwa nazo haziachi ofisini wala nyumbani. Anazo kwenye gari huku Kigogo2014 anazitaka kuonesha Dunia kwamba Jiwe liuaji. Baada ya ajali kigogo alisema, "Meku naona .....ameacha flashi zote katika mikono salama". Niishie hapo.
Nyaulingo
 
Haya mambo ya kuchezea pesa zetu ndio utuondoleaa moyo uzalendo.
Thus nasi tukizipata hatuziachi.
Matatizo kibao mnapeleka pesa pasipo tija
 
Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.

Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.

Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.

Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.

Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.

Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.

Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.

Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
[emoji23][emoji23][emoji23] unataja billion kma unataja maandazi ya tandale ....kweli chama kinaundwa na watu mavi mavi ....sasa kwann msimkamate kigogo huko mitandaoni anaandika habar zenu Kila leo
 
Wakomunist na propaganda ni damu damu. Ila kwa hii inaonekana ni jinsi gani level ilivyoshuka chini. Ni muda sasa either CCM aachane na siasa za propaganda au wawafanyie training. Ikiwezekana mpelekwe China kwenye kitovu........!!
Na matusi kibao ya kila aina !!
 
Kama ikipata wasaa wa kusoma kitabu kinaitwa "Zero Fail" (2021) utaelewa nini hasa ninachozumgumza. Kitabu hicho kinaainisha matukio ambayo Idara ya Ujasisi na Ulinzi wa Marekani imewahi ku-fail kama kifo Cha JF Kenedy. Kuna mengi katika kitabu nadhani nitayasema nikiandika Uzi kuhusu uhalisia wa kifo Cha Magufuli.

Ila kwa Leo nidokoe kidogo tu kwamba USA wana utaratibu kupitia kitabu cha CIA al-maarufu Blue Book ambamo hutoa taarifa ya Vifo kadhaa waliyoshiriki na kufanikisha. Huweza kuchukua hata miaka 5 Hadi 10 kutegemeana na hatari ya kutoa taarifa mapema.

Naomba ku-devlare interest kwamba mimi na CCM ni uji na mgonjwa. Ni kada kindakindaki. Kuna mambo muda fulani ukipita ni lazima kusemwa.

Niliwahi kuhudhuria kikao fulani cha kuwapiga bei viongozi wa upinzani kama mbuzi wa shughuli hususan Chadema. Kikao kilifanyikia Greatwall Restaurant nadhani pale ni Masaki. Kilifanyika muda wa saa sita usiku kikiongozwa viongozi waandamizi wa chama akiwemo Mangula ambaye hakukubaliana na hoja hiyo Hali iliyompelekea kuwa na uhusiano usio na afya na Jiwe Hadi Jiwe alipoitoroka Dunia.

Katika kikao hiki ilitakiwa kila kiongozi wa chama hicho bei yake ni shilingi ngapi Ili walipwe waunge mkono juhudi. Bei ya Mbowe ilikuwa ni 5b wajumbe wakaguna ikafikia 3. Mnyika ilipendekezwa 1b mjumbe mmoja akasema hapana, huyo dogo ana njaa apewe 600m ikapita. Mdee alipigwa bei 500 m, John Heche 400m, John Mrema 270m nakadhalika.

Kimbembe kikawa Kwa Lissu. Kila mmoja aliinama chini baada ya yule Balozi wetu Malawi kupendekeza 10b wajumbe wakasema hapana. Ni ndogo sana. Basi wa suti nyeusi aliacha miguu kwenya ajali Bagamoyo akaomba apewe muda akamdadisi. Kikao kilichofuata sikuhudhuria ila nilipata taarifa kuwa Lissu alikataa hela yoyote na ndio ikawa chanzo cha kuhukumiwa "kifo". Mbowe alipokea lakini akakataa kuunga mkono juhudi jambo lililofanya awe "gaidi" maana kala mzigo akatimkia Nairobi.

Malipo ya wengine yaliliwa na Balozi na Mkosa miguu Bagamoyo bila Jiwe kujua. Laiti kama Lissu angepokea walau 15b Leo asingekuwa mlemavu. Cha ajabu safari hii kalamba 3 katulia kimya. Hakuna Cha kelele wala nini. Wenzie wanapigishwa miayo.

Ama kweli wajinga ndio waliwao. Bavicha Amkeni, ndoa ishafungwa ungeni mkono kila jambo la CCM mpone. Ova!
Kama ilikuwa hivyo, kwa nini wamsubirie TL mpaka kwenye ule wakati wa malumbano yake na Serikali kuhusiana na makininika?
Kwa kusoma post humu jukwaani, kuna uwezekano mkubwa hata sisi raia tusiokuwa na utaalamu wowote, tukaweza kuwapata baadhi ya wahusika wa tukio laTL. Naona wanaanza kujitokeza taratibu
 
Back
Top Bottom