Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujifariji. Ila Netanyahu leo amelala udongoni chini ya handaki 😂😂😂.Mkipigwa muanze tena kuzililia Jumuia za Kimataifa ziingilie kati. Hamchelewi kukimbilia UN na kuandamana kila kona.
Hivyo vikombora si vimesambaratishwa vikiwa angani? Israel akijibu msije kuanza kulia lia hapa.
Angalia Hapa Waisrel wanaliaImagine Israel iliomba msaada wa ndege za kivita, meli, vifaru na silaha zingine mbali mbali ili ipambane tu na hamas.
Sasa watauweza kweli mziki wa Iran?
Ukweli ni kwamba Israel ni kikundi cha watu walioshindwa maisha huko Ulaya miaka 80 iliyopita. Sasa wakatafutiwa sehem ya kupelekwa ndo wakaja kupachikwa hapo kwa masilahi ya Marekani, UK na nchi zingine za magharibi. Hata hivyo wana vichwa vigumu, pamoja na mafunzo yote wanayopewa ya kujisimamia na kujilinda lakini bado hawana uwezo wa kufanya hivyo.Kupitia mgogoro wa Russia na Ukraine kisha huu wa mashariki ya kati, tumeyajua mengi mnooo tuliyokuwa tukidanganywa
Kiufupi Israel bila Marekani ni weupe mnooo tofauti na sifa wanazopewaga vijiweni
Sipati picha Iran ingekuwa haina vikwazo sijui ingekuajeUkweli ni kwamba Israel ni kikundi cha watu walioshindwa maisha huko Ulaya miaka 80 iliyopita. Sasa wakatafutiwa sehem ya kupelekwa ndo wakaja kupachikwa hapo kwa masilahi ya Marekani, UK na nchi zingine za magharibi. Hata hivyo wana vichwa vigumu, pamoja na mafunzo yote wanayopewa ya kujisimamia na kujilinda lakini bado hawana uwezo wa kufanya hivyo.
Ni weupe mwilini, kichwani na akilini.
Bila kusahau Syria.Israel Inashambuliwa kutoka Yemen, Lebanon, Gaza na Iran pia, washirika wake lazima wamuunge mkono.
Iran anajisimamia mwenyewe hategemei msaada wa nchi yoyote tofauti na Israel ambae marekani akistisha msaada hawezi,hizo ndege zimezuiwa na washurika wa Israel marekani na uingeleza vipi wakimwacha ajisimamie mwenyeweMkipigwa muanze tena kuzililia Jumuia za Kimataifa ziingilie kati. Hamchelewi kukimbilia UN na kuandamana kila kona.
Hivyo vikombora si vimesambaratishwa vikiwa angani? Israel akijibu msije kuanza kulia lia hapa.
Aibu naona mimi Israel kachanwa bikra na IranTrela gani wewe mnafiki Iran kazabuliwa kofi la uso na israel kaishia kumsukuma israel na kutoa majigambo mashambulizi yamepanguliwa wala hakuna madhara ni upuuzi mtupu
Si huwa mna tuambia kuwa Israel inaweza kupigana na dunia nzima na kuwa mataifa ya Magharibi ndo yanaitegemea Israel?Israel Inashambuliwa kutoka Yemen, Lebanon, Gaza na Iran pia, washirika wake lazima wamuunge mkono.
Angalia Hapa Waisrel wanalia
Walizoea kuona wenzie wakilia
View: https://twitter.com/ESSA_A1I/status/1779304880114446625?t=b7XvYJolTym7hmZcb_U_JQ&s=19
iran sio jeshi la mtu mmoja, yupo urusi, china, north korea, washia wote. na pia teknolojia ya silaha zote anapata kutoka urusiAlievamiwa ndani kwake na kufanyiwa uharibifu kwake na yule anaevizia pembeni nani aliepigwa kofi?
Hiki ni kichwa cha habari tu. Ila habari kamili itakuja kwa jinsi kijana atavyotaka kuvimbishwa kichwa na kaka zake. Jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la magharibi 😂😂😂
ambacho hujui ni kwamba israel ndo marekani mwenyewe, ni sawa na kusema mtoto bila baba hakuna kitu, bila kujua kwamba baba na mtoto ni kitu kimoja, so acha kuongea kitu ambacho hakiwezekaniKupitia mgogoro wa Russia na Ukraine kisha huu wa mashariki ya kati, tumeyajua mengi mnooo tuliyokuwa tukidanganywa
Kiufupi Israel bila Marekani ni weupe mnooo tofauti na sifa wanazopewaga vijiweni
Nani alikuambia hivyo??Si huwa mna tuambia kuwa Israel inaweza kupigana na dunia nzima na kuwa mataifa ya Magharibi ndo yanaitegemea Israel?