Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Trela gani wewe mnafiki Iran kazabuliwa kofi la uso na israel kaishia kumsukuma israel na kutoa majigambo mashambulizi yamepanguliwa wala hakuna madhara ni upuuzi mtupu
Tunasubiri mwisho wa Ayattula kama mlivyo tuahidi?
Eti Iran akirusha hata jiwe ndani ya Israel ndo mwisho wa Ayatulla ,hivi mnadhani vita ni rahisi kama mnavyo chambaga vinyeo venu?
 
Israeli akijibu msije mkaanza kulia kwamba anaua watoto na wanawake
Israel ilianza kulia lia toka wiki iliyopita kabla hata ya kushambuliwa. Yani kuambiwa kuwa italipiziwa kisasi tayari ikakimbilia kwa bwana zake Marekani, UK na nchi zingine za magharibi kuomba msaada.

Yani Israel ni nchi ya hovyo sana ambayo haina uwezo wa kupigana vita peke yake. Inachokoza alaf inakimbilia kuomba isaidiwe silaha na bwana zake. Haina tofauti na Ukraine.

Tukija kwa Iran wakati Israel inaishi kwa kutegemea silaha na ulinzi kutoka nchi zingine, yenyewe (Iran) kwanza ina vikwazo vya zaidi ya miaka 70, lakini inajitegemea yenyewe kwa kila kitu. Haijawahi kuomba hata kisu kutoka Marekani au UK. Inajisimamia yenyewe kwa kutengeneza silaha zake ambazo nyingi zimeleta matokea mazuri katika vita vya Russia na Ukraine. Inajitegemea kuimarisha uchumi wake na uwezo wake wa kijeshi. So sio rahisi kuiyumbisha. Kumbuka hapo Iran peke yake inaenda kupigana na nchi zaidi ya tatu yani Israel, USA na UK huku pia msaada wa kimya kimya kwa nchi hizo ukija kwa mbali kutokea katika nchi za European. Lakini nakuhakikishia kuwa Iran haitoomba poo. Itapambana bila msaada wa yoyote hadi mwisho.

Hilo ni taifa kamili lenye uwezo kamili. Sio wale vijana elf 20 wa hamas ambao Israel imeenda kupambana nao kwa midege ya kivita, mivifaru, mimeli na bado msaada mkubwa wa kijeshi wanaopata kutoka Marekani haujasaidia kuwamaliza hao vijana elf 20 ambao hawamiliki hata kifaru ki1 cha vita.
 
Niaje waungwana,

Inashangaza mpaka leo Israel pamoja na misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na kijamii inayopewa na wazungu lakini bado inashindwa kujisimamia yenyewe dhidi ya taifa lenye vikwazo vya silaha na uchumi ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka 70. Inachokoza wenye nguvu alaf inakimbilia kuomba wazungu haswa Marekani waisaidie kupambana na aliemchokoza. Hii inanikumbusha dogo fulan wa shule mbabe "mbuzi", aliekuwa anapenda kuchokoza wenzake shuleni au mtaani, alaf ukimgusa anaita kaka zake wakupige.

Siku 1 akajichanganya kwangu, na ukizingatia mimi nilikuwa napata training za karate, hivyo siku naruhusiwa kupigana na kila mtu kuhofia madhara ninayoweza kumsababishia nitakaemtwanga.

Basi siku hiyo dogo akafanya kila awezalo ili nimkanye akaite timu yake. Baada ya uvumilivu kunishinda nikamtia tu singi. Dogo baada ya kutoka shule akaenda kuita brother zake ambae walikuwa hawaishi mbali sana na shule. Ma brother walikuwa wa4, wote walikuwa wakubwa kwangu kiumri. Wanafunzi wenzangu haswa marafiki walinishauri nikimbie kwani ningepokea kipigo kikali kutoka kwao. Nikasema mimi sikimbii na nitachokifanya kwao ndio itakuwa mwisho wa wao kufika hapa kupiga watoto wa shule na mdogo wao kuchokoza wenzake.

Wale kaka zake baada ya kufika wakamuuliza dogo, dogo akani point mimi, ghafla hawa hapa wakataka kunikunja, aisee nilianza na yule aliekuwa wa kwanza kutaka kunishika, kwa speed ambayo hawakuitegemea niliwahi kuushika mkono wake nikakikunja kiganja chake kwa upande wa vidole, jamaa akaanza kulalamika kuwa namuumiza. Wale wengine wakataka kunivamia, nikasema hamtoweza kenge nyie, nilimsukuma yule niliemkunja kiganja, nika deal na wale wa3 waliobakia. Baada ya dakika kadhaa jamaa wakawa hoi wametepeta. Mmoja analia huku kashika pu.m.pu eti nimeuwa nyezo yake ya uzazi, mungine kashika kifua anadai anashindwa kupumua (huyu nilipiga chembe) ili kumkata pumzi haraka asiendelee kunisumbua, mungine yeye analia na chaga zake (mbavu) nilimgusa kwa konzi tu ila ndo hivyo nilimuachia madhara makubwa mbavuni (si unajua ile style ya kupiga pushap kwa kutumia vidole na konzi)

Toka siku hiyo pale shuleni kulikuwa na amani mpaka namaliza shule ile. Sasa hili lililofanywa na Iran ni onyo tu, lakini Israel ishakimbilia kuita wakubwa zake waje kumsaidia kupambana na Iran jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la wamagharibi 😄😂😂. Na bado Iran inaonekana kuwa tishio kwao ukanda mzima ikiwemo Israel yenyewe, Marekani, Uingereza na vibaraka wao.

Kama Israel inajiona ina ubavu wa kupambana na taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, basi iruhusu Marekan na UK wajitengene na vita hiyo ili wabaki wao wawili, ili mwisho tuje tupate jibu kuwa nani ni mbabe wa kweli wa eneo hilo bila msaada wa nchi au mtu mungine. Hawezi kuomba pambano la ngumi alaf uje ulingoni ukiwa na baba yako, mjomba wako, shemeji yako na ndugu zako wote kwa pamoja kupiganan na mtu mmoja alaf baada ya kumchangia utembee kifua mbele eti umempiga.

Ili tuone nguvu zako inabidi upigane tu peke yako. Imagine taifa linatoa kabisa taarifa kuwa litafanya mashambulizi katika nchi yako ili ujiandae kuizuia, pia washirika Marekani, UK nk wakadai wamejipanga toka Iraq, Syria, na Lebanoon kuhakikisha shambulizi halifiki katika nchi lengwa, lakini wazee wa kazi wamepenya ngome zote hadi kufikia eneo husika ambalo ni Kilometres zaidi ya 2000. Je kama wangefanya shambulizi la ambush bila taarifa kama walivyofanya waoga Israel huko Lebanon hali ingekuaje kwao?

Niliwahi kuandika hapa kuwa Iran haijawahi kutishiwa nyau na taifa lolote lile. Ukimwaga mboga, yeye anamwaga ugali tena pipa zima hadi ushindwe mwenyewe.

Kwa ambao hawajawahi kusoma thread hiyo, pitia hizo nyuzi zilizopo pichani hapo chini ili ujifunze zaidi.

Israel kaingizwa cha kike kama mwenzake Ukraine. Sasa atajuta na kusaga meno. Iran sio Iraq, Syria wala Lebanon. I mean jamaa ni waajemi na sio waarab kama wengi wafikiriavyo. Na mziki wa waajemi unafahamika miaka na miaka kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hata biblia inalitambua hilo.
Maelezo mareefu Pumba tupu zime jaa embu tueleze target 5 zilizo shambuliwa usiku wa leo na kuweza kuathirika kwa kiasi kikubwa baada ya ayo mashambulizi..
Ukileta na idadi ya vifo vilivyo tokea itapendeza zaidi
 
Israel ilianza kulia lia toka wiki iliyopita kabla hata ya kushambuliwa. Yani kuambiwa kuwa italipiziwa kisasi tayari ikakimbilia kwa bwana zake Marekani, UK na nchi zingine za magharibi kuomba msaada.

Tukija kwa Iran wakati Israel inaishi kwa kutegemea silaha na ulinzi kutoka nchi zingine, yenyewe (Iran) kwanza ina vikwazo vya zaidi ya miaka 70, lakini inajitegemea yenyewe kwa kila kitu. Haijawahi kuomba hata kisu kutoka Marekani au UK. Inajisimamia yenyewe kwa kutengeneza silaha zake ambazo nyingi zimeleta matokea mazuri katika vita vya Russia na Ukraine. Inajitegemea kuimarisha uchumi wake na uwezo wake wa kijeshi. So sio rahisi kuiyumbisha. Kumbuka hapo Iran peke yake inaenda kupigana na nchi zaidi ya tatu yani Israel, USA na UK huku pia msaada wa kimya kimya kwa nchi hizo ukija kwa mbali kutokea katika nchi za European. Lakini nakuhakikishia kuwa Iran haitoomba poo. Itapambana bila msaada wa yoyote hadi mwisho.

Hilo ni taifa kamili lenye uwezo kamili. Sio wale vijana elf 20 wa hamas ambao Israel imeenda kupambana nao kwa midege ya kivita, mivifaru, mimeli na bado msaada mkubwa wa kijeshi wanaopata kutoka Marekani haujasaidia kuwamaliza hao vijana elf 20 ambao hawamiliki hata kifaru ki1 cha vita.
Hoja nyingine za kitoto sana,
Iran ni nchi kubwa mara mbili ya Tanzania ikiwa tajiri wa mafuta, gesi na rasilimali nyingine za madini wakati Israel ni sawa na nusu tu ya mkoa wa Dodoma huku sehemu kubwa ikiwa jangwa.
 
Maelezo mareefu Pumba tupu zime jaa embu tueleze target 5 zilizo shambuliwa usiku wa leo na kuweza kuathirika kwa kiasi kikubwa baada ya ayo mashambulizi..
Ukileta na idadi ya vifo vilivyo tokea itapendeza zaidi
We mjaluo vipi? Huna tv ? Simu ya shemeji hii? Watu mia wameuawa Jana usiku alafu unaleta ushuzi humu?
 
Habari za ivi punde, Makamanda wa Iranian Revolution Guard yameoinya USA asiingilie mbungi lao na Israel kwani watashambulia base zao zote za mashariki ya kati na Jordan nae akae kwa kutulia kwani kituo kinachofuata kisije kikawa wao. Jordan na Saudia inasemekana ndio wamezuia madude mengi ambayo ilibidi yagonge Israel
 
Hoja nyingine za kitoto sana,
Iran ni nchi kubwa mara mbili ya Tanzania ikiwa tajiri wa mafuta, gesi na rasilimali nyingine za madini wakati Israel ni sawa na nusu tu ya mkoa wa Dodoma huku sehemu kubwa ikiwa jangwa.
Imesahau kuandika kuwa Iran ina vikwazo na haitegemei misaada kutoka kwa yoyote kwa zaidi ya miaka 50, ila Israel haina vikwazo, imeachwa itengeneze silaha itakavyo na inasaidiwa kijeshi na kiuchumi na mataifa yenye nguvu na uchumi mkubwa, lakini bado inalia lia.

Ok vipi ilipopambana na Hamas ambayo haina kifaru hata ki1 cha vita? Kulikuwa na umuhimu gani wa Israel kulia lia iendelee kuongezewa msaada wa silaha na ulinzi ili ipambane na kakundi ka Hamas kaliko jichokea?
 
Niaje waungwana,

Inashangaza mpaka leo Israel pamoja na misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na kijamii inayopewa na wazungu lakini bado inashindwa kujisimamia yenyewe dhidi ya taifa lenye vikwazo vya silaha na uchumi ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka 70. Inachokoza wenye nguvu alaf inakimbilia kuomba wazungu haswa Marekani waisaidie kupambana na aliemchokoza. Hii inanikumbusha dogo fulan wa shule mbabe "mbuzi", aliekuwa anapenda kuchokoza wenzake shuleni au mtaani, alaf ukimgusa anaita kaka zake wakupige.

Siku 1 akajichanganya kwangu, na ukizingatia mimi nilikuwa napata training za karate, hivyo siku naruhusiwa kupigana na kila mtu kuhofia madhara ninayoweza kumsababishia nitakaemtwanga.

Basi siku hiyo dogo akafanya kila awezalo ili nimkanye akaite timu yake. Baada ya uvumilivu kunishinda nikamtia tu singi. Dogo baada ya kutoka shule akaenda kuita brother zake ambae walikuwa hawaishi mbali sana na shule. Ma brother walikuwa wa4, wote walikuwa wakubwa kwangu kiumri. Wanafunzi wenzangu haswa marafiki walinishauri nikimbie kwani ningepokea kipigo kikali kutoka kwao. Nikasema mimi sikimbii na nitachokifanya kwao ndio itakuwa mwisho wa wao kufika hapa kupiga watoto wa shule na mdogo wao kuchokoza wenzake.

Wale kaka zake baada ya kufika wakamuuliza dogo, dogo akani point mimi, ghafla hawa hapa wakataka kunikunja, aisee nilianza na yule aliekuwa wa kwanza kutaka kunishika, kwa speed ambayo hawakuitegemea niliwahi kuushika mkono wake nikakikunja kiganja chake kwa upande wa vidole, jamaa akaanza kulalamika kuwa namuumiza. Wale wengine wakataka kunivamia, nikasema hamtoweza kenge nyie, nilimsukuma yule niliemkunja kiganja, nika deal na wale wa3 waliobakia. Baada ya dakika kadhaa jamaa wakawa hoi wametepeta. Mmoja analia huku kashika pu.m.pu eti nimeuwa nyezo yake ya uzazi, mungine kashika kifua anadai anashindwa kupumua (huyu nilipiga chembe) ili kumkata pumzi haraka asiendelee kunisumbua, mungine yeye analia na chaga zake (mbavu) nilimgusa kwa konzi tu ila ndo hivyo nilimuachia madhara makubwa mbavuni (si unajua ile style ya kupiga pushap kwa kutumia vidole na konzi)

Toka siku hiyo pale shuleni kulikuwa na amani mpaka namaliza shule ile. Sasa hili lililofanywa na Iran ni onyo tu, lakini Israel ishakimbilia kuita wakubwa zake waje kumsaidia kupambana na Iran jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la wamagharibi 😄😂😂. Na bado Iran inaonekana kuwa tishio kwao ukanda mzima ikiwemo Israel yenyewe, Marekani, Uingereza na vibaraka wao.

Kama Israel inajiona ina ubavu wa kupambana na taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, basi iruhusu Marekan na UK wajitengene na vita hiyo ili wabaki wao wawili, ili mwisho tuje tupate jibu kuwa nani ni mbabe wa kweli wa eneo hilo bila msaada wa nchi au mtu mungine. Hawezi kuomba pambano la ngumi alaf uje ulingoni ukiwa na baba yako, mjomba wako, shemeji yako na ndugu zako wote kwa pamoja kupiganan na mtu mmoja alaf baada ya kumchangia utembee kifua mbele eti umempiga.

Ili tuone nguvu zako inabidi upigane tu peke yako. Imagine taifa linatoa kabisa taarifa kuwa litafanya mashambulizi katika nchi yako ili ujiandae kuizuia, pia washirika Marekani, UK nk wakadai wamejipanga toka Iraq, Syria, na Lebanoon kuhakikisha shambulizi halifiki katika nchi lengwa, lakini wazee wa kazi wamepenya ngome zote hadi kufikia eneo husika ambalo ni Kilometres zaidi ya 2000. Je kama wangefanya shambulizi la ambush bila taarifa kama walivyofanya waoga Israel huko Lebanon hali ingekuaje kwao?

Niliwahi kuandika hapa kuwa Iran haijawahi kutishiwa nyau na taifa lolote lile. Ukimwaga mboga, yeye anamwaga ugali tena pipa zima hadi ushindwe mwenyewe.

Kwa ambao hawajawahi kusoma thread hiyo, pitia hizo nyuzi zilizopo pichani hapo chini ili ujifunze zaidi.

Israel kaingizwa cha kike kama mwenzake Ukraine. Sasa atajuta na kusaga meno. Iran sio Iraq, Syria wala Lebanon. I mean jamaa ni waajemi na sio waarab kama wengi wafikiriavyo. Na mziki wa waajemi unafahamika miaka na miaka kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hata biblia inalitambua hilo.
Kitu wanachosahau, ni kwamba hata Iran ana washirika wake. Ukiachikia mbali uwezo wake, ikitokea kachangiwa, hata yeye nyuma yake ana watu walio tayari kumpa kampani,na wana nguvu zaidi.

Hivi,ukiangalia kwa sasa hali ya Ukraine: USA huyo huyo,ambaye alikuwa kifua mbele,si ndo ameshashindwa? Nchi ipo gizani,rais anadai bunge halipitishi msaada. Je,limeshindwa kwa Ukraine,litakubali kwa Israel,ambayo ni wazi imekuwa ikichokoza Iran?
Mi naonaga ikitokea Israel ikaingia vitani rasmi, mtaona Palestina ikiimba kwa shangwe. Huenda ndo ikafutika.
 
Kitu wanachosahau, ni kwamba hata Iran ana washirika wake. Ukiachikia mbali uwezo wake, ikitokea kachangiwa, hata yeye nyuma yake ana watu walio tayari kumpa kampani,na wana nguvu zaidi.

Hivi,ukiangalia kwa sasa hali ya Ukraine: USA huyo huyo,ambaye alikuwa kifua mbele,si ndo ameshashindwa? Nchi ipo gizani,rais anadai bunge halipitishi msaada. Je,limeshindwa kwa Ukraine,litakubali kwa Israel,ambayo ni wazi imekuwa ikichokoza Iran?
Mi naonaga ikitokea Israel ikaingia vitani rasmi, mtaona Palestina ikiimba kwa shangwe. Huenda ndo ikafutika.
Huenda huu ndio ukawa mwanzo wa Palestina kupata uhuru wake kutoka kwa mabeberu wa "kiyahudi wa mchongo".
 
Back
Top Bottom