Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Hapa ndo panapo dhiirisha uwenda wazimu wenu espcly nyie mnao shabikia huo upande leo link source inayo onesha taarifa ya vifo 100 ukishindwa maanake una pumuliwa kisogoni na Maayatollah
We mjaluo vipi? Huna tv ? Simu ya shemeji hii? Watu mia wameuawa Jana usiku alafu unaleta ushuzi humu?
 
Habari za ivi punde, Makamanda wa Iranian Revolution Guard yameoinya USA asiingilie mbungi lao na Israel kwani watashambulia base zao zote za mashariki ya kati na Jordan nae akae kwa kutulia kwani kituo kinachofuata kisije kikawa wao. Jordan na Saudia inasemekana ndio wamezuia madude mengi ambayo ilibidi yagonge Israel
Ngoja Israel ajibu then muanze kulia kwamba anaua wanawake na watoto
 
Niaje waungwana,

Inashangaza mpaka leo Israel pamoja na misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na kijamii inayopewa na wazungu lakini bado inashindwa kujisimamia yenyewe dhidi ya taifa lenye vikwazo vya silaha na uchumi ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka 70. Inachokoza wenye nguvu alaf inakimbilia kuomba wazungu haswa Marekani waisaidie kupambana na aliemchokoza. Hii inanikumbusha dogo fulan wa shule mbabe "mbuzi", aliekuwa anapenda kuchokoza wenzake shuleni au mtaani, alaf ukimgusa anaita kaka zake wakupige.

Siku 1 akajichanganya kwangu, na ukizingatia mimi nilikuwa napata training za karate, hivyo siku naruhusiwa kupigana na kila mtu kuhofia madhara ninayoweza kumsababishia nitakaemtwanga.

Basi siku hiyo dogo akafanya kila awezalo ili nimkanye akaite timu yake. Baada ya uvumilivu kunishinda nikamtia tu singi. Dogo baada ya kutoka shule akaenda kuita brother zake ambae walikuwa hawaishi mbali sana na shule. Ma brother walikuwa wa4, wote walikuwa wakubwa kwangu kiumri. Wanafunzi wenzangu haswa marafiki walinishauri nikimbie kwani ningepokea kipigo kikali kutoka kwao. Nikasema mimi sikimbii na nitachokifanya kwao ndio itakuwa mwisho wa wao kufika hapa kupiga watoto wa shule na mdogo wao kuchokoza wenzake.

Wale kaka zake baada ya kufika wakamuuliza dogo, dogo akani point mimi, ghafla hawa hapa wakataka kunikunja, aisee nilianza na yule aliekuwa wa kwanza kutaka kunishika, kwa speed ambayo hawakuitegemea niliwahi kuushika mkono wake nikakikunja kiganja chake kwa upande wa vidole, jamaa akaanza kulalamika kuwa namuumiza. Wale wengine wakataka kunivamia, nikasema hamtoweza kenge nyie, nilimsukuma yule niliemkunja kiganja, nika deal na wale wa3 waliobakia. Baada ya dakika kadhaa jamaa wakawa hoi wametepeta. Mmoja analia huku kashika pu.m.pu eti nimeuwa nyezo yake ya uzazi, mungine kashika kifua anadai anashindwa kupumua (huyu nilipiga chembe) ili kumkata pumzi haraka asiendelee kunisumbua, mungine yeye analia na chaga zake (mbavu) nilimgusa kwa konzi tu ila ndo hivyo nilimuachia madhara makubwa mbavuni (si unajua ile style ya kupiga pushap kwa kutumia vidole na konzi)

Toka siku hiyo pale shuleni kulikuwa na amani mpaka namaliza shule ile. Sasa hili lililofanywa na Iran ni onyo tu, lakini Israel ishakimbilia kuita wakubwa zake waje kumsaidia kupambana na Iran jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la wamagharibi 😄😂😂. Na bado Iran inaonekana kuwa tishio kwao ukanda mzima ikiwemo Israel yenyewe, Marekani, Uingereza na vibaraka wao.

Kama Israel inajiona ina ubavu wa kupambana na taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, basi iruhusu Marekan na UK wajitengene na vita hiyo ili wabaki wao wawili, ili mwisho tuje tupate jibu kuwa nani ni mbabe wa kweli wa eneo hilo bila msaada wa nchi au mtu mungine. Hawezi kuomba pambano la ngumi alaf uje ulingoni ukiwa na baba yako, mjomba wako, shemeji yako na ndugu zako wote kwa pamoja kupiganan na mtu mmoja alaf baada ya kumchangia utembee kifua mbele eti umempiga.

Ili tuone nguvu zako inabidi upigane tu peke yako. Imagine taifa linatoa kabisa taarifa kuwa litafanya mashambulizi katika nchi yako ili ujiandae kuizuia, pia washirika Marekani, UK nk wakadai wamejipanga toka Iraq, Syria, na Lebanoon kuhakikisha shambulizi halifiki katika nchi lengwa, lakini wazee wa kazi wamepenya ngome zote hadi kufikia eneo husika ambalo ni Kilometres zaidi ya 2000. Je kama wangefanya shambulizi la ambush bila taarifa kama walivyofanya waoga Israel huko Lebanon hali ingekuaje kwao?

Niliwahi kuandika hapa kuwa Iran haijawahi kutishiwa nyau na taifa lolote lile. Ukimwaga mboga, yeye anamwaga ugali tena pipa zima hadi ushindwe mwenyewe.

Kwa ambao hawajawahi kusoma thread hiyo, pitia hizo nyuzi zilizopo pichani hapo chini ili ujifunze zaidi.

Israel kaingizwa cha kike kama mwenzake Ukraine. Sasa atajuta na kusaga meno. Iran sio Iraq, Syria wala Lebanon. I mean jamaa ni waajemi na sio waarab kama wengi wafikiriavyo. Na mziki wa waajemi unafahamika miaka na miaka kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hata biblia inalitambua hilo.
Maneno mengi kama mwanamke wa kizaramo
 
Hapa ndo panapo dhiirisha uwenda wazimu wenu espcly nyie mnao shabikia huo upande leo link source inayo onesha taarifa ya vifo 100 ukishindwa maanake una pumuliwa kisogoni na Maayatollah
Kuna vitu viingine sio mpaka umezeshwe link! Hapo ni kuangalia kwa macho tu na kukadiria! ahsante kwa kushiriki
 
ambacho hujui ni kwamba israel ndo marekani mwenyewe, ni sawa na kusema mtoto bila baba hakuna kitu, bila kujua kwamba baba na mtoto ni kitu kimoja, so acha kuongea kitu ambacho hakiwezekani
Hizoo ss ndo muendelezo wa stori za vijiweni, Israel ni mtoto wa America, haishi bila kumtegemea America
Akitishiwa kidogoo mbio kwa Baba ake kushtakii
 
Halafu utakuja kesho hapa tena kutia huruma kwa kichapo itakayopokea Iran
Umekimbilia kujibu kwa mihemko kabla ya kusoma vizuri na kitafakar kile unachoandika.

Kama hamas ambao hawana kifaru chochote wamesababisha Israel itumie madege yao ya kivita, vifaru na meli na mizinga mbali mbali kupambana nao bila mafanikio, itakuwa Iran yenye uwezo wa kuipa hata Russia silaha ifanye maangamizi huko Ukraine?

Tunajua kwamba Iran inaenda kuingia vitani na Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na nchi zingine za magharibi (maana Israel haijawahi kujisimamia peke yake bila mataifa hayo kumpa ulinzi na silaha) lakini nakuhakikishia kuwa nchi hiyo moja ambayo inapambana na mataifa zaidi ya matano itaidhibiti Israel na washirika wake mwanzo mwisho.

Nchi gani ambayo haiwezi kuingia vitani mpaka ipewe kwanza silaha na nchi zingine. Alaf leo wewe unatapika hapa kama hujui kwamba nchi hiyo inaishi kwa kusaidiwa na nchi zingine.
 
Israel bwege sana katuachia msara Wayahudi wa Bongo tujieleze sana .pepar tiger anachoo weza ni kupiga majengo tu gaza .na wasi wasi hata zile Air strike za nje huwa ana fanya US
Israel ni 'white elephant' mkuu. Haina uwezo wowote kijeshi, kiintelejensia wala kiuchumi. Ni mi kwara tu ya watu wa taifa la Mungu.
 
Sema ww jamaashamba sana unashangaa ballistic missiles kupiga km 2000 nenda majukwaa ya upishi kule kashabikie vitunguu vinaharuf NZur Iran inauwe wa kurusha makombor ila sio kwmb Israel kapitwa anayo zaid yake apo middle east yeye ndio kinara na pia anazo nukes ulichokiona Jana kidog San kwake akiamua kupiga targets zake pale Gaza alikua anapiga public areas sabab hamas wamejichanhany na raia pia walitumia maeneo ya Rai kurusha makombola kiufupi waliwatoa mhanga watu wasio hatia ila sas akisem atumie ballistic missiles drones na fight jets kielekea Iran atakichafua zaidi maan Iran kuna maeneo ya kupiga kama nuclear sites military area n.k na itakuwa hell on earth
 
Israel ina maadui gani wa maana walio mzunguka?
Kwahiyo Hamas na Hizbulah ndo maadui wanao ifanya mpaka Israel itegemea misaada kujilinda?

Vipi kuhusu Iran mwenye maadui tena wenye nguvu kubwa kuanzia za kijeshi na kiuchumi duniani mbona anajilinda kwa kujitegemea mwenyewe?
Vipi kuhusu Urusi aliye zungukwa na maadui mbona hategemei misaada?
Maswali mazuri kabisa na yenye akili. Tunasubiri jibu lenye kueleweka.
 

View: https://x.com/MyLordBebo/status/1779451572889481456


Missiles zina penya alicho fanya iran ni kama anacho fanya russia ana peleka drone, Iron dome zina kua bussy afu missiles zina fata kwenye hii video missiles zina tembea kama kawaida wana baki kudeal na drone

Wanaudanganya umma kuwa eti shambulio halikuleta madhara ili kujifariji na kuficha ukweli, na wakati Netanyahu na familia yake walilala chini ya maandaki 😂😂😂
 
Kuna vitu viingine sio mpaka umezeshwe link! Hapo ni kuangalia kwa macho tu na kukadiria! ahsante kwa kushiriki
Iran ni mtemi, kamwe hafanyagi mzaha katika kauli zake. Akisema atafanya na anafanya tena kwa wakati ule ule 😂😂😂

Nchi za magharibi zishaanza kumlialia mtoto wao 😂😂😂
 
Trela gani wewe mnafiki Iran kazabuliwa kofi la uso na israel kaishia kumsukuma israel na kutoa majigambo mashambulizi yamepanguliwa wala hakuna madhara ni upuuzi mtupu
Hii ilikua ishara tu maana ndo mara ya kwanza Iran kafanya shambulizi kutokea kwake direct badala ya kutumia proxies, inamaanisha yuko tayari kwa lolote pia, anajua wayahudi watataka kujibu hii inaweza ikapelekea vita kamili.......naamini kila mtu kamsoma mwenzake kivyake hasa upande wa air defense ndo maana gps zilianza kuleta shida mapema
 
Niaje waungwana,

Inashangaza mpaka leo Israel pamoja na misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na kijamii inayopewa na wazungu lakini bado inashindwa kujisimamia yenyewe dhidi ya taifa lenye vikwazo vya silaha na uchumi ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka 70. Inachokoza wenye nguvu alaf inakimbilia kuomba wazungu haswa Marekani waisaidie kupambana na aliemchokoza. Hii inanikumbusha dogo fulan wa shule mbabe "mbuzi", aliekuwa anapenda kuchokoza wenzake shuleni au mtaani, alaf ukimgusa anaita kaka zake wakupige.

Siku 1 akajichanganya kwangu, na ukizingatia mimi nilikuwa napata training za karate, hivyo siku naruhusiwa kupigana na kila mtu kuhofia madhara ninayoweza kumsababishia nitakaemtwanga.

Basi siku hiyo dogo akafanya kila awezalo ili nimkanye akaite timu yake. Baada ya uvumilivu kunishinda nikamtia tu singi. Dogo baada ya kutoka shule akaenda kuita brother zake ambae walikuwa hawaishi mbali sana na shule. Ma brother walikuwa wa4, wote walikuwa wakubwa kwangu kiumri. Wanafunzi wenzangu haswa marafiki walinishauri nikimbie kwani ningepokea kipigo kikali kutoka kwao. Nikasema mimi sikimbii na nitachokifanya kwao ndio itakuwa mwisho wa wao kufika hapa kupiga watoto wa shule na mdogo wao kuchokoza wenzake.

Wale kaka zake baada ya kufika wakamuuliza dogo, dogo akani point mimi, ghafla hawa hapa wakataka kunikunja, aisee nilianza na yule aliekuwa wa kwanza kutaka kunishika, kwa speed ambayo hawakuitegemea niliwahi kuushika mkono wake nikakikunja kiganja chake kwa upande wa vidole, jamaa akaanza kulalamika kuwa namuumiza. Wale wengine wakataka kunivamia, nikasema hamtoweza kenge nyie, nilimsukuma yule niliemkunja kiganja, nika deal na wale wa3 waliobakia. Baada ya dakika kadhaa jamaa wakawa hoi wametepeta. Mmoja analia huku kashika pu.m.pu eti nimeuwa nyezo yake ya uzazi, mungine kashika kifua anadai anashindwa kupumua (huyu nilipiga chembe) ili kumkata pumzi haraka asiendelee kunisumbua, mungine yeye analia na chaga zake (mbavu) nilimgusa kwa konzi tu ila ndo hivyo nilimuachia madhara makubwa mbavuni (si unajua ile style ya kupiga pushap kwa kutumia vidole na konzi)

Toka siku hiyo pale shuleni kulikuwa na amani mpaka namaliza shule ile. Sasa hili lililofanywa na Iran ni onyo tu, lakini Israel ishakimbilia kuita wakubwa zake waje kumsaidia kupambana na Iran jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la wamagharibi 😄😂😂. Na bado Iran inaonekana kuwa tishio kwao ukanda mzima ikiwemo Israel yenyewe, Marekani, Uingereza na vibaraka wao.

Kama Israel inajiona ina ubavu wa kupambana na taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, basi iruhusu Marekan na UK wajitengene na vita hiyo ili wabaki wao wawili, ili mwisho tuje tupate jibu kuwa nani ni mbabe wa kweli wa eneo hilo bila msaada wa nchi au mtu mungine. Hawezi kuomba pambano la ngumi alaf uje ulingoni ukiwa na baba yako, mjomba wako, shemeji yako na ndugu zako wote kwa pamoja kupiganan na mtu mmoja alaf baada ya kumchangia utembee kifua mbele eti umempiga.

Ili tuone nguvu zako inabidi upigane tu peke yako. Imagine taifa linatoa kabisa taarifa kuwa litafanya mashambulizi katika nchi yako ili ujiandae kuizuia, pia washirika Marekani, UK nk wakadai wamejipanga toka Iraq, Syria, na Lebanoon kuhakikisha shambulizi halifiki katika nchi lengwa, lakini wazee wa kazi wamepenya ngome zote hadi kufikia eneo husika ambalo ni Kilometres zaidi ya 2000. Je kama wangefanya shambulizi la ambush bila taarifa kama walivyofanya waoga Israel huko Lebanon hali ingekuaje kwao?

Niliwahi kuandika hapa kuwa Iran haijawahi kutishiwa nyau na taifa lolote lile. Ukimwaga mboga, yeye anamwaga ugali tena pipa zima hadi ushindwe mwenyewe.

Kwa ambao hawajawahi kusoma thread hiyo, pitia hizo nyuzi zilizopo pichani hapo chini ili ujifunze zaidi.

Israel kaingizwa cha kike kama mwenzake Ukraine. Sasa atajuta na kusaga meno. Iran sio Iraq, Syria wala Lebanon. I mean jamaa ni waajemi na sio waarab kama wengi wafikiriavyo. Na mziki wa waajemi unafahamika miaka na miaka kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hata biblia inalitambua hilo.
Hivi kweli tumekuwa wa kushangilia vita bila kujali madhara yake.Africa tuna shida kubwa sana aisee
 
Niaje waungwana,

Inashangaza mpaka leo Israel pamoja na misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na kijamii inayopewa na wazungu lakini bado inashindwa kujisimamia yenyewe dhidi ya taifa lenye vikwazo vya silaha na uchumi ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka 70. Inachokoza wenye nguvu alaf inakimbilia kuomba wazungu haswa Marekani waisaidie kupambana na aliemchokoza. Hii inanikumbusha dogo fulan wa shule mbabe "mbuzi", aliekuwa anapenda kuchokoza wenzake shuleni au mtaani, alaf ukimgusa anaita kaka zake wakupige.

Siku 1 akajichanganya kwangu, na ukizingatia mimi nilikuwa napata training za karate, hivyo siku naruhusiwa kupigana na kila mtu kuhofia madhara ninayoweza kumsababishia nitakaemtwanga.

Basi siku hiyo dogo akafanya kila awezalo ili nimkanye akaite timu yake. Baada ya uvumilivu kunishinda nikamtia tu singi. Dogo baada ya kutoka shule akaenda kuita brother zake ambae walikuwa hawaishi mbali sana na shule. Ma brother walikuwa wa4, wote walikuwa wakubwa kwangu kiumri. Wanafunzi wenzangu haswa marafiki walinishauri nikimbie kwani ningepokea kipigo kikali kutoka kwao. Nikasema mimi sikimbii na nitachokifanya kwao ndio itakuwa mwisho wa wao kufika hapa kupiga watoto wa shule na mdogo wao kuchokoza wenzake.

Wale kaka zake baada ya kufika wakamuuliza dogo, dogo akani point mimi, ghafla hawa hapa wakataka kunikunja, aisee nilianza na yule aliekuwa wa kwanza kutaka kunishika, kwa speed ambayo hawakuitegemea niliwahi kuushika mkono wake nikakikunja kiganja chake kwa upande wa vidole, jamaa akaanza kulalamika kuwa namuumiza. Wale wengine wakataka kunivamia, nikasema hamtoweza kenge nyie, nilimsukuma yule niliemkunja kiganja, nika deal na wale wa3 waliobakia. Baada ya dakika kadhaa jamaa wakawa hoi wametepeta. Mmoja analia huku kashika pu.m.pu eti nimeuwa nyezo yake ya uzazi, mungine kashika kifua anadai anashindwa kupumua (huyu nilipiga chembe) ili kumkata pumzi haraka asiendelee kunisumbua, mungine yeye analia na chaga zake (mbavu) nilimgusa kwa konzi tu ila ndo hivyo nilimuachia madhara makubwa mbavuni (si unajua ile style ya kupiga pushap kwa kutumia vidole na konzi)

Toka siku hiyo pale shuleni kulikuwa na amani mpaka namaliza shule ile. Sasa hili lililofanywa na Iran ni onyo tu, lakini Israel ishakimbilia kuita wakubwa zake waje kumsaidia kupambana na Iran jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la wamagharibi 😄😂😂. Na bado Iran inaonekana kuwa tishio kwao ukanda mzima ikiwemo Israel yenyewe, Marekani, Uingereza na vibaraka wao.

Kama Israel inajiona ina ubavu wa kupambana na taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, basi iruhusu Marekan na UK wajitengene na vita hiyo ili wabaki wao wawili, ili mwisho tuje tupate jibu kuwa nani ni mbabe wa kweli wa eneo hilo bila msaada wa nchi au mtu mungine. Hawezi kuomba pambano la ngumi alaf uje ulingoni ukiwa na baba yako, mjomba wako, shemeji yako na ndugu zako wote kwa pamoja kupiganan na mtu mmoja alaf baada ya kumchangia utembee kifua mbele eti umempiga.

Ili tuone nguvu zako inabidi upigane tu peke yako. Imagine taifa linatoa kabisa taarifa kuwa litafanya mashambulizi katika nchi yako ili ujiandae kuizuia, pia washirika Marekani, UK nk wakadai wamejipanga toka Iraq, Syria, na Lebanoon kuhakikisha shambulizi halifiki katika nchi lengwa, lakini wazee wa kazi wamepenya ngome zote hadi kufikia eneo husika ambalo ni Kilometres zaidi ya 2000. Je kama wangefanya shambulizi la ambush bila taarifa kama walivyofanya waoga Israel huko Lebanon hali ingekuaje kwao?

Niliwahi kuandika hapa kuwa Iran haijawahi kutishiwa nyau na taifa lolote lile. Ukimwaga mboga, yeye anamwaga ugali tena pipa zima hadi ushindwe mwenyewe.

Kwa ambao hawajawahi kusoma thread hiyo, pitia hizo nyuzi zilizopo pichani hapo chini ili ujifunze zaidi.

Israel kaingizwa cha kike kama mwenzake Ukraine. Sasa atajuta na kusaga meno. Iran sio Iraq, Syria wala Lebanon. I mean jamaa ni waajemi na sio waarab kama wengi wafikiriavyo. Na mziki wa waajemi unafahamika miaka na miaka kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hata biblia inalitambua hilo.
Hii vita inaweza kuwa kubwa sana. Tuombe Mungu mambo yaishe kidiplomasia.
 
Back
Top Bottom