Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Mwana kulitafuta mwana kulipata. Israel ameyataka mwenyewe kwa uchokozi wake atulie sasa apate anachostahili.

Wamewashindwa Hamas ambao hawana hata kifaru kimoja wala hawana ndege hata moja. Itakuwa Iran? Ngoja akutane na wanaume sasa mana kule Gaza anaua watoto na wanawake
 
Sema ww jamaashamba sana unashangaa ballistic missiles kupiga km 2000 nenda majukwaa ya upishi kule kashabikie vitunguu vinaharuf NZur Iran inauwe wa kurusha makombor ila sio kwmb Israel kapitwa anayo zaid yake apo middle east yeye ndio kinara na pia anazo nukes ulichokiona Jana kidog San kwake akiamua kupiga targets zake pale Gaza alikua anapiga public areas sabab hamas wamejichanhany na raia pia walitumia maeneo ya Rai kurusha makombola kiufupi waliwatoa mhanga watu wasio hatia ila sas akisem atumie ballistic missiles drones na fight jets kielekea Iran atakichafua zaidi maan Iran kuna maeneo ya kupiga kama nuclear sites military area n.k na itakuwa hell on earth
😂😂😂vichekesho kama hivi vina patikana wapi ..ogopa sana mtu ana jua una nukes na bado ana kushushia ghadhabu .unazani iran hadi leo hana , afu silaha za iran sio public ni self made, sio kama za myahudi tuna jua ni zile zile za mme wake USA
 
Niaje waungwana,

Inashangaza mpaka leo Israel pamoja na misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na kijamii inayopewa na wazungu lakini bado inashindwa kujisimamia yenyewe dhidi ya taifa lenye vikwazo vya silaha na uchumi ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka 70. Inachokoza wenye nguvu alaf inakimbilia kuomba wazungu haswa Marekani waisaidie kupambana na aliemchokoza. Hii inanikumbusha dogo fulan wa shule mbabe "mbuzi", aliekuwa anapenda kuchokoza wenzake shuleni au mtaani, alaf ukimgusa anaita kaka zake wakupige.

Siku 1 akajichanganya kwangu, na ukizingatia mimi nilikuwa napata training za karate, hivyo siku naruhusiwa kupigana na kila mtu kuhofia madhara ninayoweza kumsababishia nitakaemtwanga.

Basi siku hiyo dogo akafanya kila awezalo ili nimkanye akaite timu yake. Baada ya uvumilivu kunishinda nikamtia tu singi. Dogo baada ya kutoka shule akaenda kuita brother zake ambae walikuwa hawaishi mbali sana na shule. Ma brother walikuwa wa4, wote walikuwa wakubwa kwangu kiumri. Wanafunzi wenzangu haswa marafiki walinishauri nikimbie kwani ningepokea kipigo kikali kutoka kwao. Nikasema mimi sikimbii na nitachokifanya kwao ndio itakuwa mwisho wa wao kufika hapa kupiga watoto wa shule na mdogo wao kuchokoza wenzake.

Wale kaka zake baada ya kufika wakamuuliza dogo, dogo akani point mimi, ghafla hawa hapa wakataka kunikunja, aisee nilianza na yule aliekuwa wa kwanza kutaka kunishika, kwa speed ambayo hawakuitegemea niliwahi kuushika mkono wake nikakikunja kiganja chake kwa upande wa vidole, jamaa akaanza kulalamika kuwa namuumiza. Wale wengine wakataka kunivamia, nikasema hamtoweza kenge nyie, nilimsukuma yule niliemkunja kiganja, nika deal na wale wa3 waliobakia. Baada ya dakika kadhaa jamaa wakawa hoi wametepeta. Mmoja analia huku kashika pu.m.pu eti nimeuwa nyezo yake ya uzazi, mungine kashika kifua anadai anashindwa kupumua (huyu nilipiga chembe) ili kumkata pumzi haraka asiendelee kunisumbua, mungine yeye analia na chaga zake (mbavu) nilimgusa kwa konzi tu ila ndo hivyo nilimuachia madhara makubwa mbavuni (si unajua ile style ya kupiga pushap kwa kutumia vidole na konzi)

Toka siku hiyo pale shuleni kulikuwa na amani mpaka namaliza shule ile. Sasa hili lililofanywa na Iran ni onyo tu, lakini Israel ishakimbilia kuita wakubwa zake waje kumsaidia kupambana na Iran jeshi la mtu mmoja dhidi ya kundi zima la wamagharibi 😄😂😂. Na bado Iran inaonekana kuwa tishio kwao ukanda mzima ikiwemo Israel yenyewe, Marekani, Uingereza na vibaraka wao.

Kama Israel inajiona ina ubavu wa kupambana na taifa lenye uwezo mkubwa kijeshi, basi iruhusu Marekan na UK wajitengene na vita hiyo ili wabaki wao wawili, ili mwisho tuje tupate jibu kuwa nani ni mbabe wa kweli wa eneo hilo bila msaada wa nchi au mtu mungine. Hawezi kuomba pambano la ngumi alaf uje ulingoni ukiwa na baba yako, mjomba wako, shemeji yako na ndugu zako wote kwa pamoja kupiganan na mtu mmoja alaf baada ya kumchangia utembee kifua mbele eti umempiga.

Ili tuone nguvu zako inabidi upigane tu peke yako. Imagine taifa linatoa kabisa taarifa kuwa litafanya mashambulizi katika nchi yako ili ujiandae kuizuia, pia washirika Marekani, UK nk wakadai wamejipanga toka Iraq, Syria, na Lebanoon kuhakikisha shambulizi halifiki katika nchi lengwa, lakini wazee wa kazi wamepenya ngome zote hadi kufikia eneo husika ambalo ni Kilometres zaidi ya 2000. Je kama wangefanya shambulizi la ambush bila taarifa kama walivyofanya waoga Israel huko Lebanon hali ingekuaje kwao?

Niliwahi kuandika hapa kuwa Iran haijawahi kutishiwa nyau na taifa lolote lile. Ukimwaga mboga, yeye anamwaga ugali tena pipa zima hadi ushindwe mwenyewe.

Kwa ambao hawajawahi kusoma thread hiyo, pitia hizo nyuzi zilizopo pichani hapo chini ili ujifunze zaidi.

Israel kaingizwa cha kike kama mwenzake Ukraine. Sasa atajuta na kusaga meno. Iran sio Iraq, Syria wala Lebanon. I mean jamaa ni waajemi na sio waarab kama wengi wafikiriavyo. Na mziki wa waajemi unafahamika miaka na miaka kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hata biblia inalitambua hilo.
Mnajitekenya na kucheka kifuatacho kilio.
 
Sawa kabisa ila angalia Iran yupo na nani toka maandalizi yao ya vita, au umefuatilia hii vita kuanzia jana.
Rusia kamwambi dogo mtie konzi huyoo..
Vita kubwa haikwepeki. East ndio muda wao wakujipambania uwepo wao.
West ndio muda wao wakutaka kuonyesha kuwa wao bado ni wababe wa Dunia.
Hizi chokochoko kuanzia Ukrein hadi Iran ni maandalizi ya pambano kuu la kihistoria.
Afrika tulime viazi kwa wingi na mihogo ili tuangalie huu mtanange vizuri tukiwa nashibe.

Nyerere alisema tujifunze kujitegemea.
Magufuli pia akakazia ni lazima tujitegemee.
 
Haha hahahah,eti wasindikizaji tuuu,hii ngoma kama Israel atajichanganya atafutika kwenye uso wa dunia,hao Uk,France, UK 🇬🇧 na U S A si wa kuaamini haswa kikiumana,ila huku Iran,North Korea 🇰🇵, Syria 🇸🇾, Lebanon 🇱🇧, Iraq 🇮🇶 🇨China 🇨🇳, Russia 🇷🇺 Jordan 🇯🇴 sio mchezo wanaroho ngumu wanawezapigana hata kwa baiskeli
 
Marekani hii ya wazungu imeundwa na waingereza miaka 200 tu iliyopita chini ya kijana mwenye asili ya Uingereza hayati George Washington. So usitudanganye kuwa eti Marekani ndo Israel.

Labda useme kuwa Marekani na Uingereza wanaitumia na kuilinda Israel kwa masilahi yao wenyewe pale Mashariki ya kati utaeleweka. Lakini pia Marekani kwa sasa ina mchanganyiko wa raia kutoka maeneo mbali mbali ya dunia wakiwemo wahindi, wayahudi, wazungu wa nchi zingine za ulaya, wachina, waarab, waafrika weusi nk.

So Marekani sio na haitokuwa nchi ya waisrael. Hizi porojo za kutaka kuwaaminisha watu kuhusu Israel zinaanza kuwaumbuweni siku baaada ya siku.
marekani ina mchanganyiko wa mataifa mbali mbali ndio, lakini je ukiacha hao wazungu walioanzisha marekani hao waarabu na weusi na wachina wana sauti gani ya kimaamuzi kwenye hiyo nchi?

pili ambacho hujui ni kwamba taifa la israel limeanzishwa na wayahudi waliokua wanaishi amerca na UK (einsten na wenzake) na hao wayahudi baadhi yao walikua wako kwenye taasisi muhimu za kimaamuzi kwenye nchi hizo, na ndio maana hata katiba za marekani zinaongelea kuilinda israel kivovote, so unapoipiga israel ni kwamba unaipiga america sabab israel ni jimbo la 45 la amerca
 
Taifa la Mungu ni hyped , halina uwezo wowote watu wanapiga tu..Lazima ajiulize kwanza hapo hagusi tena kwa Iran ogopa hao watu ...
Hamas waliua watu 1400 na kuteka wengine , vp Iran kaua wayaud wangap ?

Nan aliwagusa kunako waisrael
 
Mbona unaandika mipasho mkuu?
Hukutuwekea ushahidi wa hizo nchi ulizotaja zikiisaidia Iran, hivyo habari yako haina ukweli wala mashiko.

Ila Israel hata mtoto wa miaka 6 anajua kama nchi hiyo inategemea kila kitu kutoka Marekani, UK, Ujerumani, Ufaransa nk. I mean uchumi wao, ulinzi wao, silaha zao na mambo mengine yao yanategemea huruma wa nchi hizo hapo juu. Hizo nchi zikifunga misaada kwa miaka 2 tu hiyo nchi itaweza kutekwa hata na vijana wa Hamas.
ushahidi wa nini unaohitaji, unavojua wewe technolojia ya kijeshi ya iran anaipata wapi? kama hujui sema nikupe darasa
 
marekani ina mchanganyiko wa mataifa mbali mbali ndio, lakini je ukiacha hao wazungu walioanzisha marekani hao waarabu na weusi na wachina wana sauti gani ya kimaamuzi kwenye hiyo nchi?

pili ambacho hujui ni kwamba taifa la israel limeanzishwa na wayahudi waliokua wanaishi amerca na UK (einsten na wenzake) na hao wayahudi baadhi yao walikua wako kwenye taasisi muhimu za kimaamuzi kwenye nchi hizo, na ndio maana hata katiba za marekani zinaongelea kuilinda israel kivovote, so unapoipiga israel ni kwamba unaipiga america sabab israel ni jimbo la 45 la amerca
Hizi ni propaganda uchwara. Hao walioanzisha Israel ni wazungu waliojivika ngozi ya uyahudi kwa masilahi ya Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na mataifa mengine ya Ulaya.

Wayahudi original walikuwepo hapo Mashariki ya kati miaka na miaka na wameishi na waarab kwa amani miaka yote. Kimbembe kilianza baada ya hao wazungu kwenda kupachikwa hapo kwa kisingizia cha waisrael wa mchongo kurudi katika nchi yao ya uongo. Kitu ambacho wenye akili wamekipinga na hata sheria za kimataifa zinajua wazi kuwa hao ni wayahudi wa mchongo ndo maana sheria zao zinasema wazi kuwa hao jamaa hapo Mashariki ya kati ni wavamizi.

Hao jamaa wangekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi wasingefanywa watumwa na wamisri, waajemi wa zamani kabla ya kristo (Persia empire) warumi, wagiriki, ottoman empire nk.

Hao jamaa ni weupe ndomaana hadi leo wanategemea kila kitu kutoka magharibi badala ya magharibi kutegemea chochote kutoka kwao. Fikiria mara mbili kabla ya kuandika, sio kulishwa matango pori na wewe kuja kujaribu kutulisha sisi wenye uwezo wa kufikiri. Israel ipo huru na inapokea misaada ya kijeshi na kiuchumi kutoka katika nchi zote zilizowapandikiza hapo Mashariki ya kati, lakini inaiogopa kweli kweli nchi iliyowekewa vikwazo zaidi ya miaka 50 iliyopita na ambayo haitegemei msaada wa sindano wala chumvi kutoka ulaya. Fikiria ulinzi wa anga wa nchi zaidi ya tano, yani Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Jordan umeshindwa kuzuia mzigo uliotumwa na nchi iliyowekewa vikwazo vya silaha miaka 50. Je ingekuwa haina vikwazo, na hizo nchi zisingemsaidia Israel kulinda anga lake hali ingekuaje?

Tena kwa kujiamini ilishambulia kwa kutoa taarifa ili ikiamini hata mkijiandaa kuizuia itapenya tu. Na kweli ilipenya tu. Sasa ingefanya shambulizi bila taarifa kama ilivyofanya aisrael huko Lebanon hali ingekuaje kwa waisrael wa mchongo?
 
Hizi ni propaganda uchwara. Hao walioanzisha Israel ni wazungu waliojivika ngozi ya uyahudi kwa masilahi ya Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na mataifa mengine ya Ulaya.

Wayahudi original walikuwepo hapo Mashariki ya kati miaka na miaka na wameishi na waarab kwa amani miaka yote. Kimbembe kilianza baada ya hao wazungu kwenda kupachikwa hapo kwa kisingizia cha waisrael wa mchongo kurudi katika nchi yao ya uongo. Kitu ambacho wenye akili wamekipinga na hata sheria za kimataifa zinajua wazi kuwa hao ni wayahudi wa mchongo ndo maana sheria zao zinasema wazi kuwa hao jamaa hapo Mashariki ya kati ni wavamizi.

Hao jamaa wangekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi wasingefanywa watumwa na wamisri, waajemi wa zamani kabla ya kristo (Persia empire) warumi, wagiriki, ottoman empire nk.

Hao jamaa ni weupe ndomaana hadi leo wanategemea kila kitu kutoka magharibi badala ya magharibi kutegemea chochote kutoka kwao. Fikiria mara mbili kabla ya kuandika, sio kulishwa matango pori na wewe kuja kujaribu kutulisha sisi wenye uwezo wa kufikiri. Israel ipo huru na inapokea misaada ya kijeshi na kiuchumi kutoka katika nchi zote zilizowapandikiza hapo Mashariki ya kati, lakini inaiogopa kweli kweli nchi iliyowekewa vikwazo zaidi ya miaka 50 iliyopita na ambayo haitegemei msaada wa sindano wala chumvi kutoka ulaya. Fikiria ulinzi wa anga wa nchi zaidi ya tano, yani Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Jordan umeshindwa kuzuia mzigo uliotumwa na nchi iliyowekewa vikwazo vya silaha miaka 50. Je ingekuwa haina vikwazo, na hizo nchi zisingemsaidia Israel kulinda anga lake hali ingekuaje?

Tena kwa kujiamini ilishambulia kwa kutoa taarifa ili ikiamini hata mkijiandaa kuizuia itapenya tu. Na kweli ilipenya tu. Sasa ingefanya shambulizi bila taarifa kama ilivyofanya aisrael huko Lebanon hali ingekuaje kwa waisrael wa mchongo?
makombora 99% yametunguliwa syria na jordan hayakufika israel, israel walijua makombora yametumwa kwao na walikua wanaendelea na shughuli zao kama kawaida si dharau hizi?
 
Hizi ni propaganda uchwara. Hao walioanzisha Israel ni wazungu waliojivika ngozi ya uyahudi kwa masilahi ya Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na mataifa mengine ya Ulaya.

Wayahudi original walikuwepo hapo Mashariki ya kati miaka na miaka na wameishi na waarab kwa amani miaka yote. Kimbembe kilianza baada ya hao wazungu kwenda kupachikwa hapo kwa kisingizia cha waisrael wa mchongo kurudi katika nchi yao ya uongo. Kitu ambacho wenye akili wamekipinga na hata sheria za kimataifa zinajua wazi kuwa hao ni wayahudi wa mchongo ndo maana sheria zao zinasema wazi kuwa hao jamaa hapo Mashariki ya kati ni wavamizi.

Hao jamaa wangekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi wasingefanywa watumwa na wamisri, waajemi wa zamani kabla ya kristo (Persia empire) warumi, wagiriki, ottoman empire nk.

Hao jamaa ni weupe ndomaana hadi leo wanategemea kila kitu kutoka magharibi badala ya magharibi kutegemea chochote kutoka kwao. Fikiria mara mbili kabla ya kuandika, sio kulishwa matango pori na wewe kuja kujaribu kutulisha sisi wenye uwezo wa kufikiri. Israel ipo huru na inapokea misaada ya kijeshi na kiuchumi kutoka katika nchi zote zilizowapandikiza hapo Mashariki ya kati, lakini inaiogopa kweli kweli nchi iliyowekewa vikwazo zaidi ya miaka 50 iliyopita na ambayo haitegemei msaada wa sindano wala chumvi kutoka ulaya. Fikiria ulinzi wa anga wa nchi zaidi ya tano, yani Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Jordan umeshindwa kuzuia mzigo uliotumwa na nchi iliyowekewa vikwazo vya silaha miaka 50. Je ingekuwa haina vikwazo, na hizo nchi zisingemsaidia Israel kulinda anga lake hali ingekuaje?

Tena kwa kujiamini ilishambulia kwa kutoa taarifa ili ikiamini hata mkijiandaa kuizuia itapenya tu. Na kweli ilipenya tu. Sasa ingefanya shambulizi bila taarifa kama ilivyofanya aisrael huko Lebanon hali ingekuaje kwa waisrael wa mchongo?
pia iran kila kitu kijeshi anategemea urusi yeye kama yeye bila urusi hakuna anachoweza, silaha zake zote ni modified version ya silaha za urusi, so kama israel anasaidiwa na marekani, iran anasaidiwa na urusi sasa shida hapo iko wapi?
 
Hizi ni propaganda uchwara. Hao walioanzisha Israel ni wazungu waliojivika ngozi ya uyahudi kwa masilahi ya Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na mataifa mengine ya Ulaya.

Wayahudi original walikuwepo hapo Mashariki ya kati miaka na miaka na wameishi na waarab kwa amani miaka yote. Kimbembe kilianza baada ya hao wazungu kwenda kupachikwa hapo kwa kisingizia cha waisrael wa mchongo kurudi katika nchi yao ya uongo. Kitu ambacho wenye akili wamekipinga na hata sheria za kimataifa zinajua wazi kuwa hao ni wayahudi wa mchongo ndo maana sheria zao zinasema wazi kuwa hao jamaa hapo Mashariki ya kati ni wavamizi.

Hao jamaa wangekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi wasingefanywa watumwa na wamisri, waajemi wa zamani kabla ya kristo (Persia empire) warumi, wagiriki, ottoman empire nk.

Hao jamaa ni weupe ndomaana hadi leo wanategemea kila kitu kutoka magharibi badala ya magharibi kutegemea chochote kutoka kwao. Fikiria mara mbili kabla ya kuandika, sio kulishwa matango pori na wewe kuja kujaribu kutulisha sisi wenye uwezo wa kufikiri. Israel ipo huru na inapokea misaada ya kijeshi na kiuchumi kutoka katika nchi zote zilizowapandikiza hapo Mashariki ya kati, lakini inaiogopa kweli kweli nchi iliyowekewa vikwazo zaidi ya miaka 50 iliyopita na ambayo haitegemei msaada wa sindano wala chumvi kutoka ulaya. Fikiria ulinzi wa anga wa nchi zaidi ya tano, yani Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Jordan umeshindwa kuzuia mzigo uliotumwa na nchi iliyowekewa vikwazo vya silaha miaka 50. Je ingekuwa haina vikwazo, na hizo nchi zisingemsaidia Israel kulinda anga lake hali ingekuaje?

Tena kwa kujiamini ilishambulia kwa kutoa taarifa ili ikiamini hata mkijiandaa kuizuia itapenya tu. Na kweli ilipenya tu. Sasa ingefanya shambulizi bila taarifa kama ilivyofanya aisrael huko Lebanon hali ingekuaje kwa waisrael wa mchongo?
kuhusu suala la israel ni wazungu au sio hiyo ni mada ingine nitakupa hilo darasa siku ingine, darasa la leo ni kuhusu makombora
 
of course iran huko aliko anatetemeka balaa, hajui kifuatacho kitakuwa nini. israel wamesema ndani ya saa 48 watajibu. uingereza na marekani wameshaweka sawa kushambulia wakitokea cyprus na baharini, the only weapon iran has as of now ni kufunga mlango wa ghuba yake ili meli zisipite, anakuwa kama wahuthi tu. and, do you believe israel itanyamaza kimya tu iran ionekane imeshinda? can that ever happen?
 
😂 Sijui kama watajibu
Mwenye kutambua vizuri nguvu za Iran president Biden ashamtaarifu Israel kuwa yeye hatokuwa nyuma ya shambulizi lolote litalofanywa na Israel maana anafahamu vizuri kuwa Israel ikithubutu kujibu. Safari hii Iran haitotoa taarifa, bali itaivamia Israel kupitia angani na ardhini mchana kwa usiku.

Biden ashamuonya Netanyahu kuwa kama yeye Netanyahu anajifanya kichaa basi Ayatullah ni mwendawazimu kabisa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom