Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

Unamaanisha Iran au Israel mkuu? Maana Netanyahu ameshafyata baada ya shambulizi la uhakika jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
shambulizi la uhakika je limeleta madhara gani israel? na je shambulizi la israel lilileleta madhara gani kwa iran? madhara ya shambulizi ndo litatufanya tujue kwamba ni la uhakika au la
 
Umempa historia nzuri sana ambayo wengi wao hawaijui. Hio ni waajemi sio waarab, wayahudi wala wahindi.

Wakiamua kukiwasha wanakiwasha na hakuna wa kuwazuia kufanya wanachotaka kufanya. Wawaulize Marekani kule Iraq walifanywaje na hao jamaa.
hao iran hata juzi tu walipigwa na pakistan na wakatulia ndo ije kua amerca?
 
Oh kumbe nguvu za Israel zinategemea mataifa mengine ya Marekani na Uingereza? Mimi nilizani taifa la Mungu litasimama lenyewe kujipigania kama wanavyosimama wanaume Iran.

Sasa wewe ukipigana na kundi la watu zaidi ya watatu alaf ukapigwa au ukawapiga kwa pamoja ni nani kati yako wewe uliepigana peke yako na wale waliokuchangia ataonekana ana nguvu. Kiuhalisia utaonekana wewe ndo una nguvu kwa sababu umekubali kuingia mapambanoni na watu zaidi ya watatu bila uoga wala hofu yoyote ya kuomba poo.

Hivyo Iran kupambana na hizo nchi zote ulizotaja peke yake ni ushindi mkubwa kwa Iran labda kama vita hii ingekuwa ni ya Israel peke yake na Iran bila USA na UK kuingilia ndo tungesema kweli Israel iko vizuri.
iran tu alipigana na iraq karibia miaka saba sijui, nchi moja tu ilimtoa jasho acha kuongea porojo
 
una uhakika iran inasimama yenyewe? iran silaha zake zote ni za urusi unalijua hilo? ebu nitajie silaha ambazo iran imezigundua yenyewe
Tunachojua na kinachojulikana duniani kote ni silaha za Iran kufanya maangamizi makubwa huko Ukraine baada ya Mrusi kumuomba Mu Iran silaha hizo ili zimsaidie kuibomoa ngome ya Ukraine aliyopewa na bwana wake Mmarekani. Hili hata Wamarekani wenyewe, Nato, Ukraine na Umoja wa mataifa walilipigia kelele.

Sasa hilo swala lako unaloandika hapa ni la dhana tu, halina ukweli wala ushahidi wowote. Kwanza unachotakiwa kujua ni kwamba Iran ambayo ilikuwa inajulikana kama Persia hapo zamani, ni moja kati ya nchi zilizokuwa na himaya kubwa kama vile Himaya ya Roma (Roman Empire) Himaya ya Ottoman (Ottoman Empire) sasa ya Iran ilikuwa Persia Empire ambayo ni ya muda mrefu, namaanisha ni ya kale kabla ya kuzaliwa Yesu wala roman empire kuanzishwa. Hivyo hiyo nchi ina historia ndefu mno ya miaka zaidi ya elf 3 kabla hata hiyo Russia haijaundwa. Hata biblia inalitambua taifa la waajemi na utawala wake. Ndiomaana hapo Mashariki ya kati wazungu wote wakishirikiana na hao wayahudi wa mchongo wamekuwa wakipambana usiku na mchana kuidhibiti, lakini wameshindwa.

1. Wameiwekea vikwazo vikali mno vya kiuchumi kwa zaidi ya miaka 50, lakini bado ina uchumi imara zaidi hata ya nchi yako Tanzania.

2. Wameiwekea vikwazo vya kutengeneza, na kununua silaha, lakini bado inatengeneza silaha bora na za kisasa zinazowanyima usingizi wamarekani, waisrael, waingereza nk. Tena anatengeneza silaha za kujilinda na za kuuza kama zinavyouza nchi nyingine. Silaha hizo ndo zilizobadilisha hali ya vita huko Ukraine baada ya waukaine kujifanya wanazijua silaha za Russia, sasa Putin akawaletea chombo ya muajemi ambayo imebadilisha hali ya vita. Sasa waukraine na wamarekani wao wamefyata na kuanza kutumia mbinu za magaidi kuvamia na kuuwa watu kwenye mikusanyiko ya sherehe.

Wamejaribu kuitengenezea maadui wa mchongo kama vile Saudi Arabia nk, lakini leo hii Saudi Arabia na Iran wamepatana baada ya Saudia kushtuka kuwa anaingizwa chaka makusudi na jirani yake ili waje watwangane na Israel na washirika wake wapate pa kuanzia.

Fikiria sasa kama hali hiyo ya vikwazo ingeikuta Israel japo kwa miaka mitano tu, leo hii ingekuaje. Kama nchi inapokea misaada ya kijeshi na silaha kutoka Marekani, Uingereza, Ujerumani nk kila mwaka lakini bado imeendelea kuomba misaada ya kupambana na kakundi ka Hamas ambako hakana meli wala kifaru, je wangekuwa na vikwazo au kunyimwa misaada ya silaha na kijeshi miaka miwili tu si ndo wangechakazwa hata na wavaa misuli wa Houth.

Waajemi sio watu wa kuchezewa kijana. Unatakiwa utumie fikra huru kupima uwezo wa kivita kati ya nchi na nchi.
 
sio iran tuu..hata egypt hata zipo dola za africa zilizotawala before christ so usilete zilipendwa hapa.

pia kuhusu iran kusuply drone kwa rusia ni kitu cha kawaida mana drone zao ni cheap kuliko drone za urusi, tech ya drone sasa ivi ishasambaa dunia nzima kila mtu anawez kutengeneza

nenda kawachomoe sasa tukuone

hao persin kama ni wakali mbona hawana chochote saa hii? unaleta mambo ya historia hata sisi si tulikua na chief mkwawa?
Hata ukitokwa povu kiasi gani, haitobadili ukweli wa kile kilichofanyika. Iran ishamchapa mtu kwake tena kwa kumpa taarifa mapema na sio kuvizia kama ifanyavyo Israel huko Lebanon.

Na bwana wake Biden ashakataa kuingilia mzozo wa kuthubutu kupiga eneo lolote la Iran. maana anaujua vizuri moto wa Iran. Iran ishapiga kwa kidume chenu na huyo kidume wenu kafyata mkia.
 
hao iran hata juzi tu walipigwa na pakistan na wakatulia ndo ije kua amerca?
Mbona hujasema jinsi Israel ilivyochakazwa na Hezbullah mwaka 2006, mpaka Bush akalazimisha wakae mezani wayamalize. Alaf inashangaza kuona nchi tatu Marekani, Israel na Uingereza zinapambana na nchi moja alaf bado unafungua kopo kuisema nchi inayoonesha uwezo wa kudhibiti mataifa makubwa matatu kwa wakati mmoja.

Marekani na Uingereza wakae pembeni waachie wanaume wawili waingie ulingoni. Swala la nchi tatu kupambana dhidi ya nchi 1 inaonesha wazi kuwa nchi wanayoisaidia (Israel) haiwezi kupambana yenyewe.
 
shambulizi la uhakika je limeleta madhara gani israel? na je shambulizi la israel lilileleta madhara gani kwa iran? madhara ya shambulizi ndo litatufanya tujue kwamba ni la uhakika au la
Utaumia sana mwaka huu. Kwa bahati mbaya umeamua kushangilia taifa bovu linategemea nchi nyingine kuipigania na kuilinda.

Kwa kujiamini mwenye nguvu (Iran) alitoa taarifa mapema kabla ya shambulizi, jamaa Marekani, UK, Ufaransa na vibaraka wengine wakapanga mitambo yao ya kuzuia shambulizi kuanzia Iraq, Saudi Arabia, Jordan, Syria nk. Lakini kama wasemavyo waswahili kuwa mwenye nguvu mpishe. Mitambo ya bwana zenu ikayapisha makombora ya wenye nguvu. Makombora hayo yakapenya ngome zenu mbovu na kwenda hadi kule yalipokusudiwa kufika na kufanya maangamizi makubwa hadi Biden akaahirisha safari yake.

Kama makombora yaliweza kupenya maeneo yote mliyoziba tena baada ya kupewa taarifa mapema ya shambulizi, hamuoni tu kama mko uchi kama safari nyingine wataamua kufanya shambulizi bila taaarifa kama afanyavyo muoga Israel inapotaka kushambulia vinchi vya hovyo kama Syria. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Utaumia sana mwaka huu. Kwa bahati mbaya umeamua kushangilia taifa bovu linategemea nchi nyingine kuipigania na kuilinda.

Kwa kujiamini mwenye nguvu (Iran) alitoa taarifa mapema kabla ya shambulizi, jamaa Marekani, UK, Ufaransa na vibaraka wengine wakapanga mitambo yao ya kuzuia shambulizi kuanzia Iraq, Saudi Arabia, Jordan, Syria nk. Lakini kama wasemavyo waswahili kuwa mwenye nguvu mpishe. Mitambo ya bwana zenu ikayapisha makombora ya wenye nguvu. Makombora hayo yakapenya ngome zenu mbovu na kwenda hadi kule yalipokusudiwa kufika na kufanya maangamizi makubwa hadi Biden akaahirisha safari yake.

Kama makombora yaliweza kupenya maeneo yote mliyoziba tena baada ya kupewa taarifa mapema ya shambulizi, hamuoni tu kama mko uchi kama safari nyingine wataamua kufanya shambulizi bila taaarifa kama afanyavyo muoga Israel inapotaka kushambulia vinchi vya hovyo kama Syria. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
mzee inaonesha huna uelewa, mitambo ya kuzuia makombora haiwezagi kuzuia makombora yote, mfano yamerushwa mamkombora 100 kuna machache yatapenya tuu.. mfano kuna nchi ina ulinzi mzuri wa anga hapa duniani kama urusi? lakini mbona pamoja na urusi kua na mitambo mikali kabisa ya kuzuia makombora tena ya kisasa, drone hua zinapenya hadi kufika moscow? makombora yaliyotumwa 300 asilimia 99 yote yametunguliwa angani hayajafika hata anga ya israel
 
Mbona hujasema jinsi Israel ilivyochakazwa na Hezbullah mwaka 2006, mpaka Bush akalazimisha wakae mezani wayamalize. Alaf inashangaza kuona nchi tatu Marekani, Israel na Uingereza zinapambana na nchi moja alaf bado unafungua kopo kuisema nchi inayoonesha uwezo wa kudhibiti mataifa makubwa matatu kwa wakati mmoja.

Marekani na Uingereza wakae pembeni waachie wanaume wawili waingie ulingoni. Swala la nchi tatu kupambana dhidi ya nchi 1 inaonesha wazi kuwa nchi wanayoisaidia (Israel) haiwezi kupambana yenyewe.
nishakuambia iran mwenyewe anasaidiwa ulimwengu wa sasa hakuna nchi inayoenda kupigana vitani peke yake mzee.. iran mwenyewe ana washirika wake kibao tu wapo nyuma yake.. mfano nchi zote za kishia zipo nyuma ya iran, urusi, north korea, syria, zote hizo zinamsaidia iran kwa wanajeshi na silaha acha porojo, kwa hiyo ulitaka israel asisaidiwe ili iweje? wivu wa kike huo
 
Israel inayofikiri ina teknolojia bado inaomba msaada wa kijeshi na silaha toka kwa bwana zake wazungu. Iran inasimama yenyewe bila msada wa yoyote na bado inapambana na mataifa zaidi ya matano peke yake.
mzee iran haina technolojia yeyote tutajie technolojia ilizovumbua hapa acha kuongea porojo, nucler inasaidiwa na urusi na north korea, makombora yote inasaidiwa na urusi, kipi ilichotengeneza yenyewe ebu kitaje hapa acha kuongea mipasho mzee njoo na fact! kila kitu amepewa na urusi anachofanya yeye ni kumodify na kuandika jina la kiarabu
 
Hata ukitokwa povu kiasi gani, haitobadili ukweli wa kile kilichofanyika. Iran ishamchapa mtu kwake tena kwa kumpa taarifa mapema na sio kuvizia kama ifanyavyo Israel huko Lebanon.

Na bwana wake Biden ashakataa kuingilia mzozo wa kuthubutu kupiga eneo lolote la Iran. maana anaujua vizuri moto wa Iran. Iran ishapiga kwa kidume chenu na huyo kidume wenu kafyata mkia.
imemchapa wapi si utoe uthibitisho? toa madhara ambayo yametokana na makombora ya iran nchini israel, yeye israel kapiga ubalozi na ameuwa watu zaidi ya saba tena magenerali wa juu.. haya sema madhara aliyoyafanya iran kwa israel ni yapi? kama siku makombora yanarushwa watu nchini israel walikua zao night club wanakula bata si dharau hizi aseeπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tunachojua na kinachojulikana duniani kote ni silaha za Iran kufanya maangamizi makubwa huko Ukraine baada ya Mrusi kumuomba Mu Iran silaha hizo ili zimsaidie kuibomoa ngome ya Ukraine aliyopewa na bwana wake Mmarekani. Hili hata Wamarekani wenyewe, Nato, Ukraine na Umoja wa mataifa walilipigia kelele.

Sasa hilo swala lako unaloandika hapa ni la dhana tu, halina ukweli wala ushahidi wowote. Kwanza unachotakiwa kujua ni kwamba Iran ambayo ilikuwa inajulikana kama Persia hapo zamani, ni moja kati ya nchi zilizokuwa na himaya kubwa kama vile Himaya ya Roma (Roman Empire) Himaya ya Ottoman (Ottoman Empire) sasa ya Iran ilikuwa Persia Empire ambayo ni ya muda mrefu, namaanisha ni ya kale kabla ya kuzaliwa Yesu wala roman empire kuanzishwa. Hivyo hiyo nchi ina historia ndefu mno ya miaka zaidi ya elf 3 kabla hata hiyo Russia haijaundwa. Hata biblia inalitambua taifa la waajemi na utawala wake. Ndiomaana hapo Mashariki ya kati wazungu wote wakishirikiana na hao wayahudi wa mchongo wamekuwa wakipambana usiku na mchana kuidhibiti, lakini wameshindwa.

1. Wameiwekea vikwazo vikali mno vya kiuchumi kwa zaidi ya miaka 50, lakini bado ina uchumi imara zaidi hata ya nchi yako Tanzania.

2. Wameiwekea vikwazo vya kutengeneza, na kununua silaha, lakini bado inatengeneza silaha bora na za kisasa zinazowanyima usingizi wamarekani, waisrael, waingereza nk. Tena anatengeneza silaha za kujilinda na za kuuza kama zinavyouza nchi nyingine. Silaha hizo ndo zilizobadilisha hali ya vita huko Ukraine baada ya waukaine kujifanya wanazijua silaha za Russia, sasa Putin akawaletea chombo ya muajemi ambayo imebadilisha hali ya vita. Sasa waukraine na wamarekani wao wamefyata na kuanza kutumia mbinu za magaidi kuvamia na kuuwa watu kwenye mikusanyiko ya sherehe.

Wamejaribu kuitengenezea maadui wa mchongo kama vile Saudi Arabia nk, lakini leo hii Saudi Arabia na Iran wamepatana baada ya Saudia kushtuka kuwa anaingizwa chaka makusudi na jirani yake ili waje watwangane na Israel na washirika wake wapate pa kuanzia.

Fikiria sasa kama hali hiyo ya vikwazo ingeikuta Israel japo kwa miaka mitano tu, leo hii ingekuaje. Kama nchi inapokea misaada ya kijeshi na silaha kutoka Marekani, Uingereza, Ujerumani nk kila mwaka lakini bado imeendelea kuomba misaada ya kupambana na kakundi ka Hamas ambako hakana meli wala kifaru, je wangekuwa na vikwazo au kunyimwa misaada ya silaha na kijeshi miaka miwili tu si ndo wangechakazwa hata na wavaa misuli wa Houth.

Waajemi sio watu wa kuchezewa kijana. Unatakiwa utumie fikra huru kupima uwezo wa kivita kati ya nchi na nchi.
iran hana uchumi wowote wa kutisha mzee bado mtoto mdogo sana kama uchumi tuu amepitwa na nigeria nchi tena ya africa nchi ya juzi hapa huo upersian wake wa miaka 3000 nyuma umemsaidia nini? nigeria tu hapa haina hata miaka 100 imempita iran uchumi??
 
mzee inaonesha huna uelewa, mitambo ya kuzuia makombora haiwezagi kuzuia makombora yote, mfano yamerushwa mamkombora 100 kuna machache yatapenya tuu.. mfano kuna nchi ina ulinzi mzuri wa anga hapa duniani kama urusi? lakini mbona pamoja na urusi kua na mitambo mikali kabisa ya kuzuia makombora tena ya kisasa, drone hua zinapenya hadi kufika moscow? makombora yaliyotumwa 300 asilimia 99 yote yametunguliwa angani hayajafika hata anga ya israel
Wewe ulikwepo wakati hiyo 99% ya makombora yanatunguliwa hewani, au ulisikia kupitia media za magharibi?
 
nishakuambia iran mwenyewe anasaidiwa ulimwengu wa sasa hakuna nchi inayoenda kupigana vitani peke yake mzee.. iran mwenyewe ana washirika wake kibao tu wapo nyuma yake.. mfano nchi zote za kishia zipo nyuma ya iran, urusi, north korea, syria, zote hizo zinamsaidia iran kwa wanajeshi na silaha acha porojo, kwa hiyo ulitaka israel asisaidiwe ili iweje? wivu wa kike huo
1. Kwanza kila mtu anajua kuwa Israel inasaidiwa na Marekani kwa maneno na kwa vitendo. Ushahidi upo kupitia kauli zao wenyewe Marekani na Israel. Hii unayosema wewe kuhusu Iran kusaidiwa ni fikra tu na mawazo yako, lakini hakuna ushahidi wa kuthibitisha hilo, ungekuwa mahakamani ungeshindwa kesi kwa kusema jambo kihisia tu bila ushahidi wa maneno wala vitendo.

2. Iran imewekewa vikwazo vikali vya kiuchumi na silaha kwa zaidi ya miaka 50, hivyo hata ikitokea kusaidiwa sio mbaya sana. Sasa Israel haijawahi kuwekewa vikwazo vya uchumi wala silaha. Kaachwa atengeneze silaha na kujenga uchumi wake atakavyo kwa miaka yote ambayo Iran imewekewa vikwazo vya kiuchumi na utengenezaji wa silaha + jumlisha misaada ya fedha, kijeshi na silaha mbali mbali, lakini bado anaonekana kuhitaji msaada mungine wa silaha na fedha hata anapopambana na kikundi cha Hamas chenye vijana wasiozidi elf 20, na tena kisichokuwa na kifaru wala ndege ya kivita πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Sasa jiulize kama Iran isingewekewa hivyo vikwazo vya kiuchumi na silaha leo hii ingekuwa wapi? Kwa sababu kuwekewa vikwazo kwa muda wa miaka zaidi ya 50, na bado una uthubutu wa kutengeneza silaha na kuzaa nje plus kuwa tayari kupambana na nchi tatu Israel, Marekani na Uingereza sio jambo dogo. Hiyo Venezuela ambayo imewekewa vikwazo vidogo tu vya kiuchumi na sio vya silaha, hata miaka 7 haijafika tayari raisi wao ashaanza kuomba poo kwa Marekani, pia Cuba na yenyewe iliwekewa vikwazo vya uchumi tu peke yake na sio silaha miaka kama 30 tu, lakini na yenyewe imeomba poo pia. Ila nchi iliyowekewa vikwazo vikali vya kiuchumi na silaha zaidi ya miaka 50 haijaomba poo, ndio kwanza inarusha makombora katika nchi zinazoogopeka duniani. Huku ni kujiamini kwa hali ya juu.

Nina imani Israel ikinyimwa tu misaada ya kijeshi na silaha bila hata kuiwekea vikwazo kwa muda wa miaka mitano tu itakuwa ya hovyo na ya kinyonge zaidi ya Rwanda.
 
mzee iran haina technolojia yeyote tutajie technolojia ilizovumbua hapa acha kuongea porojo, nucler inasaidiwa na urusi na north korea, makombora yote inasaidiwa na urusi, kipi ilichotengeneza yenyewe ebu kitaje hapa acha kuongea mipasho mzee njoo na fact! kila kitu amepewa na urusi anachofanya yeye ni kumodify na kuandika jina la kiarabu
Naona nabishana na myahudi wa gongo la mboto. Kwa vile hauna lengo la kuujua ukweli acha nikuache uendelee kulishwa matango pori na hao wa upande uliochagua.

Nimekuwekea kipande tu kidogo tu cha picha kuhusu kile kinachotengenezwa na Iran, ila najua kitakushinda kuelewa sababu ya lugha. Kama Iran haitengenezi silaha kwanini wazungu wahangaike kuiwekea vikwazo, si wangeiacha tu?

Kwaheri.
 

Attachments

  • 4by09a898207011utv5_800C450.jpeg
    4by09a898207011utv5_800C450.jpeg
    47.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240415-200859.jpg
    Screenshot_20240415-200859.jpg
    428.5 KB · Views: 1
1. Kwanza kila mtu anajua kuwa Israel inasaidiwa na Marekani kwa maneno na kwa vitendo. Ushahidi upo kupitia kauli zao wenyewe Marekani na Israel. Hii unayosema wewe kuhusu Iran kusaidiwa ni fikra tu na mawazo yako, lakini hakuna ushahidi wa kuthibitisha hilo, ungekuwa mahakamani ungeshindwa kesi kwa kusema jambo kihisia tu bila ushahidi wa maneno wala vitendo.

2. Iran imewekewa vikwazo vikali vya kiuchumi na silaha kwa zaidi ya miaka 50, hivyo hata ikitokea kusaidiwa sio mbaya sana. Sasa Israel haijawahi kuwekewa vikwazo vya uchumi wala silaha. Kaachwa atengeneze silaha na kujenga uchumi wake atakavyo kwa miaka yote ambayo Iran imewekewa vikwazo vya kiuchumi na utengenezaji wa silaha + jumlisha misaada ya fedha, kijeshi na silaha mbali mbali, lakini bado anaonekana kuhitaji msaada mungine wa silaha na fedha hata anapopambana na kikundi cha Hamas chenye vijana wasiozidi elf 20, na tena kisichokuwa na kifaru wala ndege ya kivita πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Sasa jiulize kama Iran isingewekewa hivyo vikwazo vya kiuchumi na silaha leo hii ingekuwa wapi? Kwa sababu kuwekewa vikwazo kwa muda wa miaka zaidi ya 50, na bado una uthubutu wa kutengeneza silaha na kuzaa nje plus kuwa tayari kupambana na nchi tatu Israel, Marekani na Uingereza sio jambo dogo. Hiyo Venezuela ambayo imewekewa vikwazo vidogo tu vya kiuchumi na sio vya silaha, hata miaka 7 haijafika tayari raisi wao ashaanza kuomba poo kwa Marekani, pia Cuba na yenyewe iliwekewa vikwazo vya uchumi tu peke yake na sio silaha miaka kama 30 tu, lakini na yenyewe imeomba poo pia. Ila nchi iliyowekewa vikwazo vikali vya kiuchumi na silaha zaidi ya miaka 50 haijaomba poo, ndio kwanza inarusha makombora katika nchi zinazoogopeka duniani. Huku ni kujiamini kwa hali ya juu.

Nina imani Israel ikinyimwa tu misaada ya kijeshi na silaha bila hata kuiwekea vikwazo kwa muda wa miaka mitano tu itakuwa ya hovyo na ya kinyonge zaidi ya Rwanda.
wivu wa kike umekutawala kuhusu israel kusaidiwa, nishakuambia kwamba iran nayo inasaidiwa na washirika wake ndo mana ipo hapo ilipo, isingepata misaada nayo ingekua kama hao wakina venezuela, iran bila misaada haina lolote mzee ni sawa na kapu bovu
 
1. Kwanza kila mtu anajua kuwa Israel inasaidiwa na Marekani kwa maneno na kwa vitendo. Ushahidi upo kupitia kauli zao wenyewe Marekani na Israel. Hii unayosema wewe kuhusu Iran kusaidiwa ni fikra tu na mawazo yako, lakini hakuna ushahidi wa kuthibitisha hilo, ungekuwa mahakamani ungeshindwa kesi kwa kusema jambo kihisia tu bila ushahidi wa maneno wala vitendo.

2. Iran imewekewa vikwazo vikali vya kiuchumi na silaha kwa zaidi ya miaka 50, hivyo hata ikitokea kusaidiwa sio mbaya sana. Sasa Israel haijawahi kuwekewa vikwazo vya uchumi wala silaha. Kaachwa atengeneze silaha na kujenga uchumi wake atakavyo kwa miaka yote ambayo Iran imewekewa vikwazo vya kiuchumi na utengenezaji wa silaha + jumlisha misaada ya fedha, kijeshi na silaha mbali mbali, lakini bado anaonekana kuhitaji msaada mungine wa silaha na fedha hata anapopambana na kikundi cha Hamas chenye vijana wasiozidi elf 20, na tena kisichokuwa na kifaru wala ndege ya kivita πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Sasa jiulize kama Iran isingewekewa hivyo vikwazo vya kiuchumi na silaha leo hii ingekuwa wapi? Kwa sababu kuwekewa vikwazo kwa muda wa miaka zaidi ya 50, na bado una uthubutu wa kutengeneza silaha na kuzaa nje plus kuwa tayari kupambana na nchi tatu Israel, Marekani na Uingereza sio jambo dogo. Hiyo Venezuela ambayo imewekewa vikwazo vidogo tu vya kiuchumi na sio vya silaha, hata miaka 7 haijafika tayari raisi wao ashaanza kuomba poo kwa Marekani, pia Cuba na yenyewe iliwekewa vikwazo vya uchumi tu peke yake na sio silaha miaka kama 30 tu, lakini na yenyewe imeomba poo pia. Ila nchi iliyowekewa vikwazo vikali vya kiuchumi na silaha zaidi ya miaka 50 haijaomba poo, ndio kwanza inarusha makombora katika nchi zinazoogopeka duniani. Huku ni kujiamini kwa hali ya juu.

Nina imani Israel ikinyimwa tu misaada ya kijeshi na silaha bila hata kuiwekea vikwazo kwa muda wa miaka mitano tu itakuwa ya hovyo na ya kinyonge zaidi ya Rwanda.
iran inasaidiwa mzee soma hapo

The Arms Control Association, a Washington-based non-governmental organisation, says Iran's missile programme is largely based on North Korean and Russian designs and has also received Chinese assistance.

 
Back
Top Bottom