Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa huyu Musa c kahangaika sana
 
Unamaanisha 600K niTZS 600,000 Kwa mwezi au 6,000,000? Kama ni laki 6 mshahara hapana Bora niuze genge. Hebu nifafanulie mkuu.
 
600k?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa Ni lazima kuongezewa mkataba!!?
Mbona Ni Mambo ya kawaida sio kila mtu anapoondoka kwenye kituo Cha kazi Basi kafukuzwa na kwanza hatujui mkataba wao upo vp

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Sio lazima kuongezewa, Na asiyeongezewa ni kwa sababu za kutohitajika, ndio kutemwa huko

Kama kweli issue ni mikataba
 
600k🤔🤔🤔 hapana hapa tunapigwa, Maulidi sio mtangazaji mzuri ila pia sio wa kulipwa 600k
Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake
 
Unataka niambia Maulidi alienda Wasafi alikuwa hajui anaenda kulipwa 600k, na kama n hvyo basi mshahara aliokuwa akilipwa huko EFM ulikuwa ni mdogo kuliko huo alioufuata usafini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…