[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa huyu Musa c kahangaika sanaYeye alitangulia kutoka EFM kabla ya kitenge akaenda azam (ufm). Kitenge alivyoenda wasafi, na Mussa Kawambwa akaja akitokea ufm.
Kwa hiyo wakakutana watu waliowahi kufanya kazi sehemu moja.
Baada ya miezi miwili sijui mitatu, Mussa akapiga U TURN akarudi UFM.
Na wewe olewa mkuu, naona una donge hatariKuliwa biriani
Nami nataka kujuaHiv Musa hussen kwanini alitoka
Clouds??
Alikua amefit Sana pale yaniNami nataka kujua
Alifit mnooooo dah pengo lake halijazibikaAlikua amefit Sana pale yani
Alipoondoka na kapotea mazima
Ndo mwijaku na josemarah
Wakachukua nafac yake
Infect alikua amefit kwenye vipindAlifit mnooooo dah pengo lake halijazibika
hii ni gahawa na siyo kahawa 😁😁
Wewe ulishaolewa??Na wewe olewa mkuu, naona una donge hatari
Halaula🤣🤣🤣🤣🤣. Lini hiyo? Wake watatu wote? Hapana iko Shida.Nachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
Unamaanisha 600K niTZS 600,000 Kwa mwezi au 6,000,000? Kama ni laki 6 mshahara hapana Bora niuze genge. Hebu nifafanulie mkuu.Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Kwa misingi hiyo hata mshahara wa 600K ni vuga tu maana analipwa vizuri TISS.TISS wa kiwango cha kimataifa, lazima apige misele sana
Diamond kampiga dongo MO kisa Manara kuondoka, ila MO hajampiga dongo diamond kisa Kitenge kaondoka!
600k?[emoji3][emoji3][emoji3]Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Sijasema[emoji1]Kwamba ni bachelor kwa Sasa...
Sio lazima kuongezewa, Na asiyeongezewa ni kwa sababu za kutohitajika, ndio kutemwa hukoSasa Ni lazima kuongezewa mkataba!!?
Mbona Ni Mambo ya kawaida sio kila mtu anapoondoka kwenye kituo Cha kazi Basi kafukuzwa na kwanza hatujui mkataba wao upo vp
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Wana uwanja mpana wa kuingiza pesa za pembeniYaani 600k ndo mshahara wa Kitenge!??? Aisee... hivi watangazaji ndo wanalipwa pesa ndogo hivi kweli!??
Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake600k🤔🤔🤔 hapana hapa tunapigwa, Maulidi sio mtangazaji mzuri ila pia sio wa kulipwa 600k
Unataka niambia Maulidi alienda Wasafi alikuwa hajui anaenda kulipwa 600k, na kama n hvyo basi mshahara aliokuwa akilipwa huko EFM ulikuwa ni mdogo kuliko huo alioufuata usafini.Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake