Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Acha bana, ina maana panadol ya bristapack ya Kariakoo ina tofautiana na ya Mwenge?
Unadhani bei anayonunulia kwa jumla anakuuzia kwa bei ile ile? Ukienda kununua Panadol kkoo na Mwenge inawezekana ikawa the same price kwasababu unaenda kununua vidonge kadhaa kwaajili ya kumeza na atakuuzia kwa bei sawa na tegeta
 
Hivi hata unemuelewa au umekimbilia kujibu, amesema kaka ake na whozu - Frank knows sio whozu
 
Uko sahihi. Biashara ya nguo ni kama takataka mbele ya biashara yoyote inayohusiana na afya. Wauza madawa na vifaa tiba wana hela ndefu mno. Faida ya vitu vyao huwa ni zaidi ya 200% ya bei ya kununulia.
 
Wewe ni mtu mjinga mno.
 
Nimesoma huu uzi ila kusema kuwa Fred alikuwa miongoni mwa vijana wa mwanzo kwenda China ninakataa. Watu kibao kabla ya 2010 walishaenda China. Hiyo 2010 Fred alikuwa mwanafunzi. Pia hakuna siri yoyote kubwa kuhusu machimbo ya China. Wafanyabiashara za nguo huenda na samples na kutengenezewa kulingana na samples. Pia kudumu kama kinara kwenye biashara ya nguo au nyingine yoyote sio jambo rahisi hata ukiwa low profile kiasi gani. Wafanyabiashara smart hufanya mabadiliko kuendana na uhitaji wa soko au hujiondoa kabisa kwenye hizo biashara haraka na kuhamia kwenye zingine. Kuna mama fulani Arusha alikuwa ni miongoni mwa wafanyabiashara wa mwanzo kuanza kununua na kuuza bidhaa za Dubai hasa phone and accessories.. ila kufikia mwaka 2008 aliacha hizo biashara na kununua mashine za kufyatua matofali. Ghafla tena akaanza kukimbiza huo upande na kununua malori kadhaa za kubeba matofali yake. Kimsingi jimama halichuji kabisa kifedha. Huenda Vunjabei naye ameshaanza kuhamisha mtaji kwenda kwingine. Kama ni kweli anafilisika itajulikana tu. Mimi nampongeza Fred kwa kuchakata mbususu ya Mheshimiwa Jokate.
 
Wamesoma EGM. Fred alipiga ONE na huyo Frank alipiga TWO. Kwa darasani Fred ni hatari.
Sifahamu ila najua walikuwa wanafunzi wangu na walikuwa wanatoroka sana kwenda majani mapana na wenzake akina Kipesha, Bulldog, John, yule mtoto wa shimbo Geofrey, Amani na wenzake. Walikuwa wanaishi bweni la chai Cube namba 16 na 17.

Nilikuwa nawaomba fimbo hao wakitoroka na kuwahimiza kisha kuwashika mi na mwalimu Msocha.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Hayo ya matokeo siyajui mkuu.
 
Wewe ni mwalimu wa hovyo kama hujui performance za wanafunzi wako. Wewe unajua mabaya yao tu? Mzee wa hovyo kweli kweli.
 
Na mimi nilisoma usagara wakati huo machali wenu wana upwiru wa mademu.
 
Sio kweli kwamba eti hakua msiri,tukubaliane tu kwamba dunia imekua kijiji,na biashara zimerahisishwa siku hzi...hakuna sehemu utajifanya uko peke yako..watu wanajua kutafuta fursa..zamani mtu ukimtajia china alikua anawaza atafikaje atafanyaje..lakini kila kitu kimerahisishwa na ndio maana wengi wanaenda.
 
Kosa kubwa la Fred ilikuwa kufungua ofisi nyingi wakati bado hajasimama vizuri na kuwa na mameneja wazuri.
 
Umewahi kufuata biashara china au unajiropokea tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…