Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Vunja bei hawezi filisika kirahisi, jamaa alisha jiimarisha sana kiuchumi, labda biashara kuyumba tuu ambacho ni kitu cha kawaida
Mkuu mtu yeyote anaweza kufilisika na kurudi kwenye ziro. Tena hizi biashara za kununua na kuuza (trading) ndo dakika sifuri unapotea. Cha muhimu kama kuna sehemu anakosea ashauriwe kwasababu kaajiri watu wengi.
 
Ukisoma kile kitabu cha the art of war kuna pahala anasema, jifanye mdahifu unapokua na nguvu na jifanye unanguvu unapokua mdahifu lakini pia kuna sehemu anasema adui unaejua udhaifu wake pita nae bila kujali matokeo ya vita mia alizowahi kupigana.

Nyakati nzuri za kumsoma adui ni nyakati amabazo unanguvu ila unajifanya dhaifu coz hizi nyakati ndio ambazo maadui zako watajitokeza zaidi kwakua wanahisi wanakuweza ila ukishasoma madhaifu yao basi unapita nao kama kipanga shwaaaaaaa unapiga kwenye mshono.

Kwahiyo sio kila unachokiona ndivo kilivo.
 
Big respect, Makoba aisee kipindi niko chuo, boom likitoka tu nipo hapo fasta nachukua mazaga. Noma sana kitambo
 
r

Roby 1 na vunjabei saiz wamegeukia biashara ya uuzaje wa dawa za binadamu kwa jumla ni miongoni mwa biashara zinazolipa sana kwa nchi zinazoendelea kama tanzania mwanzo walikuwa wahindi pekee saiz naona wabongo pa wapo na wanatengeneza faida sanaa
Rob one hapo K.koo nafaham maduka yake ya dawa matatu, hii biashara itakua inalipa.sana
 
Jamaa yuko sahihi ,ukiwa huku bongo watu ndo watakuambia habari za machimbo ila uhalisia kule viwanda viko vingi na acess ya kuvifikia ni rahisi pia
Wewe ndo unaonekana hujui kitu
Mwenzio hauoni ametokomea baada ya kuandika ushuzi kama unaorudia wewe kuandika hapa na akafundishwa ukweli? Umewahi kufika china kufunga mzigo?
 
Mwenzio hauoni ametokomea baada ya kuandika ushuzi kama unaorudia wewe kuandika hapa na akafundishwa ukweli? Umewahi kufika china kufunga mzigo?
Mpe mfano usimpeleke china mwambie kariakoo alisha wah kufunga mzingo?

kariakoo kuna machimbo ya vitu bei rahis na ukienda bila connection hutayapata na china ni hivyo hivyo.. ndiyo maana huku jf kuna nyuzi kibao watu wakiomba msaada wa machimbo kiriakoo ya vitu bei rahisi na wachache sana watakao kubali kukuonyesha
 
Mpe mfano usimpeleke china mwambie kariakoo alisha wah kufunga mzingo?

kariakoo kuna machimbo ya vitu bei rahis na ukienda bila connection hutayapata na china ni hivyo hivyo.. ndiyo maana huku jf kuna nyuzi kibao watu wakiomba msaada wa machimbo kiriakoo ya vitu bei rahisi na wachache sana watakao kubali kukuonyesha
Na madon hawajawahi kujitangaza ni ngumu sana kuwajua kama yeye vunja price ilikuwaje akatoa Siri ya kambi
 
Sasa baada ya Fredi kuwamotivate vijana kuwa China pesa ipo matokeo yake vijna wakamskiliza na wakaanza kufanya Research China wakayagundua machimbo ya nguo na viatu vya bei kitonga wakaanza kwenda wenyewe hata wale aliokuwa anawauzia wakawa wanaufuata mzigo wenyewe huko china mwisho wa siku akaengeneza upinzani mkubwa ambao ni chanzo cha kumfikisha hapo alipo.

Tell me this is just a myth ambayo umejitungia tu...

China hakuna sehemu inayouza vitu na haijulikani kwa sababu masoko yote makubwa yapo public...

Nimeishi China miaka ambayo kulikuwa na mwamko wa vijana na watu wengine kuja Guangzhou na baaye Yiwu na masoko mengine makubwa...

Waafrika wengi na hata Watanzania walikuwa wananunua vitu vya bei ya chini sana (sijui kwa sasa), wengine waliokuwa wanafanya biashara za electronics walikuwa wanafake brands, kuna jamaa simtaji jina aliuza sana hizi FTA dishes kwa kutumia brand ya Gulf n.k...

Wabongo wengi wametajirishwa na Guangzhou, Yiwu na viwanda vya Guangdong, lakini wengi kwa sasa si huyo Fred pekee wamepotea kiuchumi...

Sababu ni nini? Hilo wanaweza wakajibu wao wenyewe pekee...
 
Maduka yake ya nguo kutokufanya vizuri sioni kama na ishara ya kufilisika anaweza kuwa ameamua kuwezekeza kwenye biashara nyingine baada ya kukua mleta mada kamtaja GSM kama mfano kama anamjua vizuri Gharib alikua na duka la vitenge na mashuka pale mnazi mmoja enzi izo lkn sasa ivi hafanya tena iyo biashara kwa sababu amekua kibiashara hawezi kuendelea na biashara ile ile miaka yote.
 
Mpe mfano usimpeleke china mwambie kariakoo alisha wah kufunga mzingo?

kariakoo kuna machimbo ya vitu bei rahis na ukienda bila connection hutayapata na china ni hivyo hivyo.. ndiyo maana huku jf kuna nyuzi kibao watu wakiomba msaada wa machimbo kiriakoo ya vitu bei rahisi na wachache sana watakao kubali kukuonyesha
Wengi wanadhani kuwa ukienda china wewe ni kwenda tu kiwandani kirahisi....hapo kariakoo tu mpaka leo watu hawajui machimbo yalipo sembuse china
 
MAisha ni kupanda na kushuka leo unacho kesho hakipo, na ukiwa nacho usilete dharau kwa wengine.

Leo hii wema sepetu wa kwenda kufanya tangazo la biasha la sorojo kiungo cha kupikia maharagwe?

Kipindi hicho matangazo kama haya yalikuwa yanafanywa na kina bibi chau, bibi ambilike na akina muhogo mchungu.

Game ina change jmn oohh
 
Back
Top Bottom