Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

Boss samahani kuna kitu hapa ofisini hakipo sawa, wafanyakazi wengine wanashindwa tu kusema na ni muda mrefu sasa.... Ila naona kuacha kazi sio solution kuomba kazi kwingine sio solution, nimewaza Sana nikaona bora nikushirikishe huwenda unaweza fanya kitu!!!

Starting point tayari👆👆

Kamwe kwenye maelezo yake asiseme shida ni maslah maana hcho ndicho boss anachotegemea utamwambia,
Badala yake mpe sababu nyingine ambayo ni ya kiutendaji au management

Pia unaweza gusa swala la muda mnaoingia na kutoka n.k
(Note: hapa n unajitetea kwahyo hakikisha boss anatoa hii kauli
👉 Kumbe shida ndo hiyo, kwanini hukusema??
Safi kwa kumpa ndugu yangu starting point nimependa
 
Siku moja nliaga kazini kwenda kwenye matatizo binafsi ya kifamilia ,kama ilivyo sheria za kazi inaruhusiwa kumbe nmetarget kuiwahi imterview ya shirika moja la kimataifa huko unalipwa kwa umate umate wa dollars 😂, bana kufika kwenye oral interview na mahojiano pap boss wqngu huyu hapa yuko kwenye panel ya wasaili !!, Nilifanya lakini hajawahi niuliza kitu mpaka sasa na maisha yanaendelea , uwoga hautasaidia Kumbukeni ,You have family to feed ,and not community and bosses to impress!
 
Siku moja nliaga kazini kwenda kwenye matatizo binafsi ya kifamilia ,kama ilivyo sheria za kazi inatuhusiwa kumbe nmetarget kuiwahi imterview ya shirika moja la kimataifa huko unalipwa kwa umate umate wa dollars 😂, bana kufika kwenye oral interview na mahojiano pap boss wqngu huyu hapa yuko kwenye panel ya wasaili !!, Nilifanya lakini hajawahi niuliza kitu mpaka sasa na maisha yanaendelea , uwoga hautasaidia Kumbukeni ,You have family to feed ,and not community and bosses to impress!
😂😂😂😂😂😂😂kaka hukuzimia???
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Hiyo ofisi sio wazazi wako.... Muda wowote unaweza kuondoka au kuondolewa, kama umeona fursa kwingine omba kazi nenda.

Bosi kununa kidogo ushachachawa
 
Ulifanikiwa kupata huo mchongo? na vipi ulivorudi ofisini kwako ulikuwa una ujasiri wa kupishana na boss wako kwenye makorido
Sikupata ,na uzuri wa haya mashirika ya kimataifa wanakuambia kwa email kwanini hujapata ,Kigezo ilikuwa uzoefu kazini wao huhitaji 7+ yrs’hapo ndio walinizingua na kazini nilirudi kimya namajukum yakaendelea wala sijawahi kuilizwa , nngejibu nlikuwa nasearch green pasture 😁
 
Sikupata ,na uzuri wa haya mashirika ya kimataifa wanakuambia kwa email kwanini hujapata ,Kigezo ilikuwa uzoefu kazini wao huhitaji 7+ yrs’hapo ndio walinizingua na kazini nilirudi kimya namajukum yakaendelea wala sijawahi kuilizwa , nngejibu nlikuwa nasearch green pasture 😁
😁😁mambo ya green pasture sio, Big up nimeipenda sana experience yako
 
Kuingia saa moja asubuhi kutoka saa 1 na nusu jioni 🤔
Mambo mengine unafanya saa ngapi mkuu?

Turudi kwenye mada
Kuomba kazi sehemu nyingine sio kosa, kutafuta nafasi nzuri zaidi ni wajibu wake. Aache kuwaza kuhusu boss wake.

Asijisaliti nafsi yake na familia yake kwa kumuogopa boss ambaye nae anaweza kuacha kazi akaende sehemu nyingine au kama ni founder akafungua nyingine na hapo akaacha mwingine.

Kama boss anamuelewa amuongezee msharaha na kumpunguzia masaa ya kazi hayo aweze kufurahia hata huo msharaha 😂😂

Otherwise apige kazi akisikilizia mchongo wake aache kujishtukia.
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁

Huyo Bocy hafai
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
hiyo ndio ile dhana uoga wako ndio umaskini wako ndio inamtafuna huyo muungwana.....

nidhamu ya uoga inafanya anakua mtumwa mwa bosi wake, dah umaskini mwingine ni mzigo sana aise.....

wakati wengine tunatuma maombi ya kazi na tunaenda hadi kwa boss atusainie kabisaa ili kuambatanisha na ridhaa ya ofisi kabisa kwenye maombi ya kazi, yeye anaogopa kukutwa tu anatuma maombi, kweli?

uoga gani huo wa kinyonge hivyo? au hana elimu kwamba akitoka hapo hawez kuajiriawa wala kupata kazi kwingine, na hawezi kufanya kitu kingine kumuongezea kipato?

tafadhali sana,
nenda umueleze akamalizie kutuma hiyo application mara moja, mwambie na jana kuna ajira mpya zimetoka asiache kuaply akiwa hapo hapo ofisini, sawa?🐒

Boss akimwambia chochote ananiambie...

na sasa,
nawaombea Baraka na Neema za Mungu katika yote, awaondolee roho ya hofu na nidhamu ya woga, awavishe Roho ya ujasiri na kujiamini katika hali zote daima,
kwa Jina la Baba Mwana na Roho Mtakatifu, Aimen🙏
 
Back
Top Bottom