kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
- Thread starter
- #61
sungura wangu wanakufa tu sijui shida niniKaribu sana Mimi ni daktari wa mifugo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sungura wangu wanakufa tu sijui shida niniKaribu sana Mimi ni daktari wa mifugo.
😁😁😁Sawa mkuuHuyo jamaa anaonekana ni wale wakung'ata na kupuliza, mwambie atimize wajibu wake na kilichompeleka hapo ni kazi na siyo tabasamu / kuchangamkiwa na bosi.
Safi kwa kumpa ndugu yangu starting point nimependaBoss samahani kuna kitu hapa ofisini hakipo sawa, wafanyakazi wengine wanashindwa tu kusema na ni muda mrefu sasa.... Ila naona kuacha kazi sio solution kuomba kazi kwingine sio solution, nimewaza Sana nikaona bora nikushirikishe huwenda unaweza fanya kitu!!!
Starting point tayari👆👆
Kamwe kwenye maelezo yake asiseme shida ni maslah maana hcho ndicho boss anachotegemea utamwambia,
Badala yake mpe sababu nyingine ambayo ni ya kiutendaji au management
Pia unaweza gusa swala la muda mnaoingia na kutoka n.k
(Note: hapa n unajitetea kwahyo hakikisha boss anatoa hii kauli
👉 Kumbe shida ndo hiyo, kwanini hukusema??
😂do or die sioTatizo za ajira zisizokuwa rasmi na ambazo hazina mikataba, hapo bila kulamba viatu vya boss atalala njaa.
😂😂😂😂😂😂😂kaka hukuzimia???Siku moja nliaga kazini kwenda kwenye matatizo binafsi ya kifamilia ,kama ilivyo sheria za kazi inatuhusiwa kumbe nmetarget kuiwahi imterview ya shirika moja la kimataifa huko unalipwa kwa umate umate wa dollars 😂, bana kufika kwenye oral interview na mahojiano pap boss wqngu huyu hapa yuko kwenye panel ya wasaili !!, Nilifanya lakini hajawahi niuliza kitu mpaka sasa na maisha yanaendelea , uwoga hautasaidia Kumbukeni ,You have family to feed ,and not community and bosses to impress!
😂boss anataka mpaka unakufa uwe ofisini kwake tu hataki kukuona ukikuaHawa mabosi wa kiswahili hawana tofauti na wanasiasa, hawajawahi kuwa serious ktk majukumu na proffesionalism, zaidi wanapenda kulambwa miguu.
Kikubwa nlitoka mzima !,na yeye aliniuliza swali muhimu 😂kaka hukuzimia???
Hiyo ofisi sio wazazi wako.... Muda wowote unaweza kuondoka au kuondolewa, kama umeona fursa kwingine omba kazi nenda.Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Ulifanikiwa kupata huo mchongo? na vipi ulivorudi ofisini kwako ulikuwa una ujasiri wa kupishana na boss wako kwenye makoridoKikubwa nlitoka mzima !,na yeye aliniuliza swali muhimu 😂
Nshukurani kwa ushauri mzuri nitampa aupitieHiyo ofisi sio wazazi wako.... Muda wowote unaweza kuondoka au kuondolewa, kama umeona fursa kwingine omba kazi nenda.
Bosi kununa kidogo ushachachawa
Wengine elimu zetu ndogo nisamehe bure nina four ya 39, nashukuru kupitia jukwaa hili nimepata mawazo mazuri sana, mchango wako nitautumia kujifunza kuandika vizuli kaka.Umeandika kama unawaandikia watoto wenzako
Sikupata ,na uzuri wa haya mashirika ya kimataifa wanakuambia kwa email kwanini hujapata ,Kigezo ilikuwa uzoefu kazini wao huhitaji 7+ yrs’hapo ndio walinizingua na kazini nilirudi kimya namajukum yakaendelea wala sijawahi kuilizwa , nngejibu nlikuwa nasearch green pasture 😁Ulifanikiwa kupata huo mchongo? na vipi ulivorudi ofisini kwako ulikuwa una ujasiri wa kupishana na boss wako kwenye makorido
😁😁mambo ya green pasture sio, Big up nimeipenda sana experience yakoSikupata ,na uzuri wa haya mashirika ya kimataifa wanakuambia kwa email kwanini hujapata ,Kigezo ilikuwa uzoefu kazini wao huhitaji 7+ yrs’hapo ndio walinizingua na kazini nilirudi kimya namajukum yakaendelea wala sijawahi kuilizwa , nngejibu nlikuwa nasearch green pasture 😁
Hakika hakuna namna.😂do or die sio
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
hiyo ndio ile dhana uoga wako ndio umaskini wako ndio inamtafuna huyo muungwana.....Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
ni muhimu zaidi matatizo binafsi yakatafutiwa namna ya kutatuliwa kibinafsi,Lucas Mwashambwa Tlaatlaah wanaweza kuongezea nyama zaidi hapo. Hayo ndiyo maeneo yao.