Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Hukuona viwanda wewe 🤣🤣🤣

Shida za Sasa hasa umeme ni matokeo ya yule shujaa wa wajinga Kushindwa kuwekeza kwenye vyanzo vinginevyo Sasa Tanesco ikatoe wapi megawatt xilizopungua?
 
Dah...ngosha umechafukwa!🤣
kichaa weweusituletee ujinga wako humu baada ya kudanga huoni chini ya bibi kidude nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaaf
....
 
Wewe nimpumbavu na mjinga ...kwanza lQ yako ni finyi ....sasa wewe ni lini utakuwa raisi ukajenge kwenu?? nchi watu wamo 60M+ ,hatutaki upendeleo...cake ya nchi nayawote ....kenge mpuuzi wewe.
Hilo neno IQ toka ulisikie unalitaja tu?. Mwenye IQ hata ya wastani gani anaweza kujibu kwa kupuyanga kama wewe hivyo?. Umepanick utafikiri nimekuambia nitakubadirisha umama wako uwe wa kiume?
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Alijua kuwa ni mtupu ndio maana alizuia uhuru wa habari na kuunda timu kubwa ya sifa, ameharibu zaidi kuliko kujenga!
 
Hilo neno IQ toka ulisikie unalitaja tu?. Mwenye IQ hata ya wastani gani anaweza kujibu kwa kupuyanga kama wewe hivyo?. Umepanick utafikiri nimekuambia nitakubadirisha umama wako uwe wa kiume?
Ila wewe ndio umepanick baada kusikia marehemu alikuwa katali pia ali undermine the rule of law.Zero freedom of press ,freedom of expression ,extra judicial killings etc..wewe ndio unataka kubadirisha umma jumla namleta post ili wote tuimbe mapimbio yenu eti jiwe alikuwa mtu mzuri wakati Tz ilikuwa unreported world.Ndio nikasema lQ yako ipo narrow & shallow ...kwakifupi wewe ni imbecile.
 
Simlaumu....

Alipitia njia za KIKOMUNISTI kulirudisha taifa katika mstari wake... wananchi tulitopea katika mazoea MABOVU.....

Ukweli humuacha mtu huru

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji120]
 
Kitendo cha wewe kuendelea kuhangaika na Marehemu inaonesha Marehemu alifanya mengi mazuri kipindi cha uhai wake.
Hata Bokassa, lddi Amini nama dictator wote baado watu wanawataja wakikumbukwa mateso yawo ...Sembusa ka Jiwe
 
Hukuona viwanda wewe 🤣🤣🤣

Shida za Sasa hasa umeme ni matokeo ya yule shujaa wa wajinga Kushindwa kuwekeza kwenye vyanzo vinginevyo Sasa Tanesco ikatoe wapi megawatt xilizopungua?
Kweri kabisa eti shujaa mtu alikuwa ignorant & salvage.
 
Ila wewe ndio umepanick baada kusikia marehemu alikuwa katali pia ali undermine the rule of law.Zero freedom of press ,freedom of expression ,extra judicial killings etc..wewe ndio unataka kubadirisha umma jumla namleta post ili wote tuimbe mapimbio yenu eti jiwe alikuwa mtu mzuri wakati Tz ilikuwa unreported world.Ndio nikasema lQ yako ipo narrow & shallow ...kwakifupi wewe ni imbecile.
Wakuwahishe milembe. Nilijua nabishana na mzima?.
 
Ngoja na huyu Bibie ajivutevute katika kutupa KATIBA MPYA atakuja tena mtu dizaini ile na hii Katiba 77 itampa nguvu tutaanza kulia tena na kusaga meno.

Nadhani Kinana na Nape na wengineo wengi bado wanakumbuka sisi Wapinzani bado hatujasahau.
Wanakumbuka sana lakini sasa wamevimbiwa wamesahau kila kitu, system inawafaidisha sasa lakini hawajui wanapita tuu, haya mambo yanahitaji watu wa kujitolea na vision kubwa ili next generations zije kuishi vizuri na haki, njaa na ujinga vitu vya ovyo sana
 
Wanakumbuka sana lakini sasa wamevimbiwa wamesahau kila kitu, system inawafaidisha sasa lakini hawajui wanapita tuu, haya mambo yanahitaji watu wa kujitolea na vision kubwa ili next generations zije kuishi vizuri na haki, njaa na ujinga vitu vya ovyo sana
Magufuli alisema KATIBA MPYA sio kipaumbele chake hawa nao wanasema Wananchi wapewe semina ili wajifunze hii Katiba ya 77 ya mfumo wa Chama kimoja ambayo ilitungwa na CCM.
 
Huyu ndiyo chanzo cha shida zote tunazopitia hivi sasa
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Sawa alikua na madhaifu yake lakini unakosea kusema hakufanya lolote. Hakuna Rais ambaye hajafanya kitu kama kuna sehemu kulikua na changamoto iseme ili aliyepo nae arekebishe tusonge mbele otherwise hata huyu aliyepo akiondoka utasema hivyohivyo hakufanya kitu.
JamiiForums mobile app
 
Naskia hakukua na migao ya umeme sijui ni kweli
 
Hata vitu alivyofanya vilikuwa vinaonekana kuliko nyie mmejaza wapigaji wanajitafunia nchi kwa urefu wa kamba zao.

Kuna fry over ya ubungo. Wengine watakuja lile daraja. Mmeshindwa nini nyie kutengeneza madaraja kama hayo manne tu mbeya mawili mafiat na uyole,kwanza,morogoro. Wanaosema madaraja wamefeli pia ona ilivyoipendezesha dar.
2. Barabara ile ya kimara. Kumbuka foleni ilivyokuwa kabla hajaitanua hiyo barabara.
3. Barabara kufungua mkoa kwa mkoa kuingilika kwa barabara.
4. Alirudisha uwajibikaji ofisi za Umma. (Ona sasa unaingia ofisi ya Umma kama huna mkono mrefu hawana habari kipindi chako kulikuwa na hofu.
5. Alidhibiti utafunaji mali za Umma. Lakini siku hizi wale kwa urefu wa kamba zao.
6. Umeme ulishaanza kuwa historia kukatikatika mpaka wengi waliuza magerator yao ksbb yalikosa kazi. (Ona sasa umeme umetia fora ukatikaji toka Tz ipate Uhuru.
7. Alipunguza gharama za ulipaji huduma za umeme kwa kwa kiwango kikubwa ili kila mmoja mpaka masikini awe na hiyo nishati. (Ona alivyoondoka tu kuingiza umeme bei juu sana,imekuwa ni anasa,imebaki kwa matajiri.
Ni mengi mazuri yake kuliko mapungufu. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa kuoanisha Kwanza mazuri ndipo muunganishe na mabaya,na mlinganishe na yanayoendelea sasa .
=}mapungufu yake ni machache kama kuminya democracy. Lakini vinginevyo mwamba angetusogeza sana sana kwa Tanzania hii ilimhitaji sana sana kiongozi wa namna ile.
MWISHO ALISEMA IMEKWISHA MTANIKUMBUKA.
Usichokijua ni sawa na usiku wa giza. Akili yako Bado finyu sana. Ile Barbara ya kimara imeanza kujengwa tangu enzi za kikwete jpm kaja kumaliza vivyo hivyo Samia amemaliza miradi yote ya jpm. Jpm amekufa miradi haijafikia hata 30 percent.Au ulitaka Samia aiterekeze aanzishe vya kwake? Hana roho mbaya kama mwendazake ambaye alitelekeza miradi yote ya jk na kuanzisha vyake ilu kupata misifa na kutwa kumtukana jk wakati wakati wa jk hakuna mwalimu Wala daktari hakupa ajira ukimaliza tu subili mwakani unapata ajira tena bila kuomba. Kila kitu jpm ndo alikuja kuharibu ndo akajaza machinga kibao mtaani wasomi. Rais Gani unamaliza five years hujaajiri yeyote wakati kilaa mwaka wanagraduate.
 
Hata vitu alivyofanya vilikuwa vinaonekana kuliko nyie mmejaza wapigaji wanajitafunia nchi kwa urefu wa kamba zao.

Kuna fry over ya ubungo. Wengine watakuja lile daraja. Mmeshindwa nini nyie kutengeneza madaraja kama hayo manne tu mbeya mawili mafiat na uyole,kwanza,morogoro. Wanaosema madaraja wamefeli pia ona ilivyoipendezesha dar.
2. Barabara ile ya kimara. Kumbuka foleni ilivyokuwa kabla hajaitanua hiyo barabara.
3. Barabara kufungua mkoa kwa mkoa kuingilika kwa barabara.
4. Alirudisha uwajibikaji ofisi za Umma. (Ona sasa unaingia ofisi ya Umma kama huna mkono mrefu hawana habari kipindi chako kulikuwa na hofu.
5. Alidhibiti utafunaji mali za Umma. Lakini siku hizi wale kwa urefu wa kamba zao.
6. Umeme ulishaanza kuwa historia kukatikatika mpaka wengi waliuza magerator yao ksbb yalikosa kazi. (Ona sasa umeme umetia fora ukatikaji toka Tz ipate Uhuru.
7. Alipunguza gharama za ulipaji huduma za umeme kwa kwa kiwango kikubwa ili kila mmoja mpaka masikini awe na hiyo nishati. (Ona alivyoondoka tu kuingiza umeme bei juu sana,imekuwa ni anasa,imebaki kwa matajiri.
Ni mengi mazuri yake kuliko mapungufu. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa kuoanisha Kwanza mazuri ndipo muunganishe na mabaya,na mlinganishe na yanayoendelea sasa .
=}mapungufu yake ni machache kama kuminya democracy. Lakini vinginevyo mwamba angetusogeza sana sana kwa Tanzania hii ilimhitaji sana sana kiongozi wa namna ile.
MWISHO ALISEMA IMEKWISHA MTANIKUMBUKA.
Kwani we unaabudu umaskini. Anza kufikiria kuwa tajiri. Umeme siyo kwa ajiri ya maskini mana atashangaa tu bila kuuumia kuzalisha. Bora bei ilivyopanda ili maskini akili imkae sawa.
 
eyesinthedark (1).jpg

Bora kukaa gizani kuliko kuwindwa kama Digidigi na Wasiojulikana

Nani kama Maharage?
 
Back
Top Bottom