Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Tatizo lako unaonekana hujui tofauti kati ya upinzani na kutete haki wanao penda kufanya siasa za upinzani waache wafanye bila kuwabeza ni haki yao kikatiba na wale ambao hawako kwenye vyama lakini wanakelwa na uvunjwaji wa haki za binadamu na wanapaza sauti kukemea uovu huo wabarikiwe. Wewe unao ona uovu na kuwa beza wale wanao pinga uovu huo ulaaniwe.
 
Britanicca, unaogopa kujiunga upinzani eti kwasababu haujakomaa?! Unataka nani aukomaze?!

Usisubiri kutafuniwa, tafuna/chakata mwenyewe. Pia usiogope suruba za TISS, hata ikiwa itapelekea kufa, hakuna faida ya kunyanyasika ukiwa hai kwa kuogopa suruba na kifo. Kataa unyonge, hata tiss pia wanakufa.

Hongera zake mzee Mayalla, hongera Pakal Mayalla hata mimi huwa nakuelewa sanaa.

Waafrika ndio maana wana kimbiazwa na maji ya kuwasha na mabomu ya machozi, uoga umewazidi mnoo. Ukiona watu wananyanyasika jione ni wewe, jitose utetee, tutakukumbuka siku moja.
 
Kwanza hli bandiko lako umekopy na kupest
Lkn pia lengo lako kwenye bandiko lako ni nini

Nmeona kuna utitiri wa nyuzi kuhusu TISS
Lkm pia naona amsha amsha za Mange Kimambi za kufanya mapinduzi zikiingia humu toka instagram

My take:uongoz wa Jf uwe na tahadhari
Jf ishawindwa sana na utawala

Sisi wengine sio makada humu, tunanufaika kwa vitu vingi tu
Sasa uongoz uangalie hii trending isije kuhusishwa na tuhuma za kusaidia "vuguvugu la mapinduz" (uhain)

Kuja kuhamaki waanzishaji wa nyuzi walitumwa kuiingiza mkenge JF

Tukakosa vingi kwa kishungi!
 
Mie hapa sijaelewa unaelezea nini, historia ya baba yake pasko au pasko mwenyewe
 
Back
Top Bottom