ngopyolo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 1,940
- 1,517
Ndo ninyi mlikuwa mnashika mikia darasaniMi sijaelewa kitu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ninyi mlikuwa mnashika mikia darasaniMi sijaelewa kitu hapa
Mmh ndugu yangu, hebu pitia kumbukumbu zako vizuri. Wajerumani wameacha kututawala mnamo mwaka 1919 nadhani baada ya vita ya kwanza ya dunia. Rekebisha ndugu.Nakosea bwana ilikuwa 1919-1945 lakin wajerumani ndo walikuwapo kabla ya waingereza
Kama unakumbuka Mzee mlokozi baada ya kwenda vita ya pili ya dunia alikaa pale bagamoyo akapewa bendera 2 na watawala kwamba ukiona meli inakuja ina bendera ya waingereza inyooshe hii ili msiendelee kushanbuliwa, ukiona wana ya namna hii ni ya wajerumani basi Sisi ndo tutakuwa tumeshinda nyoosha hii
HahaNdo ninyi mlikuwa mnashika mikia darasani
Ndiyo nimerekebishaMmh ndugu yangu, hebu pitia kumbukumbu zako vizuri. Wajerumani wameacha kututawala mnamo mwaka 1919 nadhani baada ya vita ya kwanza ya dunia. Rekebisha ndugu.
KabisaHiyo ndo kazi ya kijitonyama toka kitambo sana ,sema watoto wa leo hawajui kitu,wameishia kutoa lawama na kulialia hovyo
HakikaMkuu kwa akili zangu hizi fupi nimekuelewa kuwa haya masuala ya walinzi wa amani kufanya haya yanayofanywa hawajaanza leo yalianza muda sana ila japo kwa sasa kama yanazidi
Pasco Alisha zungumza hayo MD mrefu japo si kiundani kwa haiwezi kuwa tatizomimi nafikili unataka pasco aanze kumulikwa kwa kalibu kabisa.
huu ni uchochezi dhidi ya pasco.
poaPasco Alisha zungumza hayo MD mrefu japo si kiundani kwa haiwezi kuwa tatizo
Hivi hii mutu bado nanyea debe?Umeandika kama mtemi Deo Nalimi Kisandu
Hivi kuna mtu anayeyakumbuka haya bado anaishi ..............!!?Nakosea bwana ilikuwa 1919 lakin wajerumani ndo walikuwapo kabla ya waingereza
Kama unakumbuka Mzee mlokozi baada ya kwenda vita ya pili ya dunia alikaa pale bagamoyo akapewa bendera 2 na watawala kwamba ukiona meli inakuja ina bendera ya waingereza inyooshe hii ili msiendelee kushanbuliwa, ukiona wana ya namna hii ni ya wajerumani basi Sisi ndo tutakuwa tumeshinda nyoosha hii