Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Kakopy kopy na kuunga unga tu
Unaona niliyojibu Kwa mtu

Wala siyo ,hayo ni baadhi ya maneno ya kweli ambayo hata Pascal Mayalla aliwahi kuyaandika sehem,

Siwezi na sina ubavu wa kumtisha PASCO ,
Najua mchango wa pascal hapa jamiiJamiif, akitoweka hapa nadhani hata Mimi kuja hapa ntapunguza maana namsoma Sana, Sana Sana,

Nimechukua maneno ya Kati Kati ya thread yake moja ili yajadiliwe , unajua pascla anaandika zhreat ndefu mno, ambazo watanzania wengi ni wavivu kusoma, sasa vipengele kama hivi muhim nimegindua kwamba watu hawakuwahi kupasoma hapo,

Any way pia Wenda na Pascal Mayalla ni wale wa kijitonyama wastaafu ?haha
 
Mkuu
Ushausoma uzi original wa mayalla??
Ndiyo ule wa Tiss kutesa watu ?
Wala siyo ,hayo ni baadhi ya maneno ya kweli ambayo hata Pascal Mayalla aliwahi kuyaandika sehem,

Siwezi na sina ubavu wa kumtisha PASCO ,
Najua mchango wa pascal hapa jamiiJamiif, akitoweka hapa nadhani hata Mimi kuja hapa ntapunguza maana namsoma Sana, Sana Sana,

Nimechukua maneno ya Kati Kati ya thread yake moja ili yajadiliwe , unajua pascla anaandika zhreat ndefu mno, ambazo watanzania wengi ni wavivu kusoma, sasa vipengele kama hivi muhim nimegindua kwamba watu hawakuwahi kupasoma hapo,

Any way pia Wenda na Pascal Mayalla ni wale wa kijitonyama wastaafu ?haha
 
haya buana!
wenye baba zenu malodi!
mie niliishia kuwa chipukizi,na zile bunduki zetu za mbao!
ila naona tangu juzi kuna watu mnatanguliza mpira mbele ya pasco ili aubutue!mwenyewe kastuka,kaweka jezi yake begani,kifua wazi na miluzi mingi huyoo anatoka!
 
Kila nikisoma maandishi hayo juu nakumbuka pia yaliyomkuta babu yangu ambaye alipata majanga kwa Oder ya Mwalimu Nyerere kuwa lazima ataifishwe.
Blackbold: Hili neno limenifanya niwe mgeni wa kiswahili. Mkuu, ebu fafanua, inawezekanaje binadamu akataifishwa?
 
Pascal tangu aitwe na bunge yuko kimya sana hadi anatupa hofu.Pascal njoo hadharani humu tujue kama uko salama
 
Mkuu andiko lako ni nzuri na lenye kusisimua lakini andiko lako limekosa mantiki......

Labda tu ungeweka wazi kuwa kulingana na mtiririko wa hayo matukio uliyoyaoanisha ulikuwa unalenga nini.....!!?
Amepigapiga chenga tu. Lengo ni kumtaja Mulokozi
 
Watu wa kando ya ziwa wote wapo Hugo mkuu
Muwe na uhakika. Mnavyochuna watu ngozi huwa ni ibada huko Mbeya?Ndiyo ninyi mnawaambiaga watoto wenu wasioe au kuolewa na hasa watu wa Mara wakati ninyi ni katili kwelikweli. Na tumeishi nanyi tunawajua. Acheni ubaguzi na ukabila wanyamanyafu!!
 
Pamoja na kwamba TANU ,CCM kuyafanya hayo sijawahi kuwaza kujiunga upinzani japo mimi siyo CCM,

Upinzani haujaimarika sana mpaka kutushawishi kujiunga.
Sasa nani akuimarishie upinzani wewe tu uje kujiunga?
 
  • Thanks
Reactions: etb
Back
Top Bottom