Britanicca, unaogopa kujiunga upinzani eti kwasababu haujakomaa?! Unataka nani aukomaze?!
Usisubiri kutafuniwa, tafuna/chakata mwenyewe. Pia usiogope suruba za TISS, hata ikiwa itapelekea kufa, hakuna faida ya kunyanyasika ukiwa hai kwa kuogopa suruba na kifo. Kataa unyonge, hata tiss pia wanakufa.
Hongera zake mzee Mayalla, hongera Pakal Mayalla hata mimi huwa nakuelewa sanaa.
Waafrika ndio maana wana kimbiazwa na maji ya kuwasha na mabomu ya machozi, uoga umewazidi mnoo. Ukiona watu wananyanyasika jione ni wewe, jitose utetee, tutakukumbuka siku moja.