data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Usifananishe saint francis na vitu vya ajabuDuh kwa hyo vijiti vya St Francis girls tutegemee kupungua?
Vip zile shulezake pendwa za TWIBHOKI na GRAINIYAKI yule mama mmilik sijui simu zilikuwa haziish kwa msonde sjui walikuwa marafik?
Uzuri yupo sekta ya elimu tutegemee mabadiriko toka kwake n mtu mwenye maono pia
Naunga mkono hoja 💯💯💯Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
Piga kimya tu... Kuna vitu ni deep! Si lazima ujue kila kitu.Mkuu, siku hizi humu JF kumejaa wajinga. Alichokiandika mleta mada wala hakina mantiki kabisa. Wala haelewi hata michakato ya mitihani inaendaje mpk matokeo kutolewa.
Na wajinga wenzie wanatoa maoni kama mazuzu. Hata hayajiulizi
Wazee wa mnyezi mungu bado mnalalamika wekezeni kwenye elimualikuwa anawafaulisha sana shule za makanisa ng'ombe huyu
Wewe ni mgeni hapa tz , mm najua njia zote zinazo tumika hata wanafunzi wa hizo shule huwa awajui kuwa wametafuniwa mitihani ,Una uhakika na hili unalosema?
Una akili wewe?? Kipindi cha JPM si ndio hizo shule zilikuwa zinaongoza mwanzo mwisho??Tuliwaambia kipindi cha jpm huu ujinga wa sant sijui nini kufaulisha wanafunzi wote ulipotea kabisa sasa umerudi tena kipindi cha mama
Nani kakudanganyaUna akili wewe?? Kipindi cha JPM si ndio hizo shule zilikuwa zinaongoza mwanzo mwisho??
St. Kayumba matokeo yatabaki kama yalivyo kule hakuna mtelezoVijiti vya St. Francis vikipungua japo kwa 1% tegemea maafa kwa St. Kayumba huko.
Msonde yupi? Km humjui mtu kaa kimya, Msonde alipomaliza chuo kikuu UD alibakizwa kufundisha kwa sababu alipata GPA kubwa sana.Msonde Alipomaliza kidato cha sita alipata point 3?inakuaje anazalisha A Tatu kwa mamia ya wanafunzi?
Msonde anastahili kuwa katibu Mkuu kiongoziWaliofanya kazi na Msonde wanaelewa namna uadilifu wake ulivyojitosheleza. Hakika atafika mbali sana.
Mlitaka afanyeje kama wamefaulu Kwa akili zao wafutiwe mtihani? Tukubali kuwa Kuna baadhi ya shule zinachukua wanafunzi wazuri na kuwafundisha vema, wanamiundombinu Bora, malezi mazuri, utafananisha na shule ambazo wanataka ada tu bila ya kuangalia aina ya wanafunzi wanaowatahini?Darasa eti linapata division 1 point 7 lote
Hapo lazima kuna shida somewhere
huyo mleta mada Majungu tu, msonde namjua atz, akikotoka mungu anajua, yupo mbali Sana kwa alikotokea.Mkuu, siku hizi humu JF kumejaa wajinga. Alichokiandika mleta mada wala hakina mantiki kabisa. Wala haelewi hata michakato ya mitihani inaendaje mpk matokeo kutolewa.
Na wajinga wenzie wanatoa maoni kama mazuzu. Hata hayajiulizi
Dogo UDSM imeingiaje hapo? Kuna vyuo nchi hii havina vigezo vya kutoa bachelor kutokana na lecturers walionao, mtu anafundishwa na undergraduate vyuo vingine vinagawa GPA lakini ukimkuta mtu anafanya kazi Hadi unajiuliza alipataje degreeKwa wanafunzi wengi waliosomea UDSM wana ujinga wa kuamini wanafunzi kufali sana ndio elimu bora. Unakuta Professa anajigamba eti katika course yangu wamesap 180 katika ya 194! Ujinga huo huo wa maprofesa wanaubebesha wanafunzi wao kama wewe blogger boy.